KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

Eti..!!?Askofu wa Church of East Africa? alafu ana waumini 23!! ? Africa will remain the continent full of adventures.
 
Najaribu kuwaza kwa sauti kama shekhe angesilimu na kubadiri msikiti kuwa kanisa ingekuwa vp
 
Waumini wenyewe anao 23 ameshindwa kuwacontrol
 
Imani yetu si kwenye mavazi
Kumwabudu katika roho na kweli
Ijue kweli nayo kweli itakuweka huru
 
Uyo jamaa angalau kapata muelekeo kwa sababu alianzisha dhehebu lake likamshinda. Natumai amefika kweny destiny yake, isije tokea akaanzisha dhehebu jingine trip hii la kiislamu.
 
Huyo hakukuwa askofu ,alikuwa mbwa mwitu kavalia ngozi ya kondoo na hatimaye amejitokeza wazi ,alioyatenda hayo yaliandikwa kwenye kitabu kitukufu cha mungu Bibilia , Amemkana Yesu hadharani lakini siku inakuja ambapo Yesu pia atamkana mbele ya Babake .laiti asingalijuwa Yesu ,Ameipoteza nafsi yake kwa tamaa za ulimwengu.
 
Miaka 65? Nina wasiwasi ametishiwa jambo. Serikali ya Kenya imfuatilie.
 
ebana hiyo ndo maana ya muhadhara??[emoji3] [emoji13] mpk huku jf kuna vilaza sikuiz
 
wake 32 ni wap huko mzee?
 
Akapimwe mkojo
 
Uyo jamaa angalau kapata muelekeo kwa sababu alianzisha dhehebu lake likamshinda. Natumai amefika kweny destiny yake, isije tokea akaanzisha dhehebu jingine trip hii la kiislamu.
afu aone cha mtemakuni..hakunaga upuuz huku
 
Kwani mkristo ana sifa gani? ni zipi sifa za kuwa mkristo na si mkristo jina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…