vijora
Member
- Sep 29, 2017
- 43
- 30
mwisho ni wake4Hao aliohamia nao uislam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwisho ni wake4Hao aliohamia nao uislam.
Kasome maandiko. Hata 10 kwa siku moja unalipa mahari, unaoa, unataliki. Mbona mwatufanya ka hatuijui hii dini nyie.mwisho ni wake4
😀😀😀😀...wala usijali na hujakosea....nilichotaka kusema Ukristu una unafiki kiaina wakati tunazini nje kinoma (sisemi kuoa mke zaidi ya mmoja huwezi zini..la hasha yapunguza matamanio kwetu wanaume)...haya mfano Father haoi....mind you ni active man huyo....nk. Waislamu kama umegundua sio watu wa show kama ndugu zangu...kuna mambo tunafanya wakristu kujiboost tu huku hatuna future....mfano budget ya harusi TZS 50m say...halafu labda hata kiwanja maharusi hawana. Hiyo ni budget ya simulizi za "after wedding"..."harusi ilinoga...ooh nilikunywa bia nyingi zijapata kuona...wamefunika nk". Ndoa ni ya wawili...kutafuta sifa kwa jamii ni kama kutafuta mikosi at times....kuna watu wanalala njaa eti nyie mwa-tie knot for TZS 50m budget kwa pombe na keki...na picha lukuki...............mbaya zaidi after 6 months mnapigana chini.
Mkuu wale maaskofu uchwara wa kujianzishia madhehebu. Huoni alikuwa anamiliki hadi kanisa [emoji3].Nilidhani askofu wa Roma au KKKT..
Zote ni imani mkuu.....Amepotoka Yesu ndie njia kweli na uzima alikoenda amepotea
Zote ni imani tu.Mwenyezi mungu amemuonyesha njia kabla umauti, inshaallah amuongoze kwayo yeye na ah'ali zake. Dini ni nyingi duniani, si kosa kujifunza zote ili uzijue dini za wanadam na dini ya mungu
Mbona kuna matajiri na masikini?Mbona watu wasioumjua ndio matajiri wakubwa?Mbona wanaomtumikia wako hohehahe?Tafakari.Basi huyo Mungu ana upendelea.. Achague wake wakuwaokoa wengine awaache
Povuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu sana utekeleze maagizo ya allah [emoji117]ili ufuzu ukazawadiwe mahulu 72 wenye makalio ft.40 ujiuji kiuno kama nyigu, macho kama vikombe...yalah [emoji8] [emoji39]![]()
Povuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Kila goti litapigwa kwa Jesus
Povuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amepotoka Yesu ndie njia kweli na uzima alikoenda amepotea
Kajianzishia kamradi kake,ghafla anakuwa askofu wa mradi wake sio? 😀😀Mkuu wale maaskofu uchwara wa kujianzishia madhehebu. Huoni alikuwa anamiliki hadi kanisa [emoji3].
Ndio hivyo mkuu, watu wanapiga pesa za wajinga wajinga mkuu.Kajianzishia kamradi kake,ghafla anakuwa askofu wa mradi wake sio? 😀😀
Allah akbarrrTakbirrrrrrrrrrrrrrrrrr!
[emoji120] [emoji120] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] mwanangu umeuaaa