KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

KENYA: Askofu asilimu na wafuasi wake, ageuza kanisa lake kuwa msikiti

😀😀😀😀...wala usijali na hujakosea....nilichotaka kusema Ukristu una unafiki kiaina wakati tunazini nje kinoma (sisemi kuoa mke zaidi ya mmoja huwezi zini..la hasha yapunguza matamanio kwetu wanaume)...haya mfano Father haoi....mind you ni active man huyo....nk. Waislamu kama umegundua sio watu wa show kama ndugu zangu...kuna mambo tunafanya wakristu kujiboost tu huku hatuna future....mfano budget ya harusi TZS 50m say...halafu labda hata kiwanja maharusi hawana. Hiyo ni budget ya simulizi za "after wedding"..."harusi ilinoga...ooh nilikunywa bia nyingi zijapata kuona...wamefunika nk". Ndoa ni ya wawili...kutafuta sifa kwa jamii ni kama kutafuta mikosi at times....kuna watu wanalala njaa eti nyie mwa-tie knot for TZS 50m budget kwa pombe na keki...na picha lukuki...............mbaya zaidi after 6 months mnapigana chini.

Hapo kwenye red ndio kuna points,huwa nawaambia jamaa zangu sio kila anaekuja kwenye hio harusi yenu amefurahia wengine wanakuja na mazongo yao mnashangaa mnaishi mwaka matatizo ndani kila siku mwisho wa siku ndoa chali
 
Mpumbav mmoja huyo, tangu lini Mungu akafanyiwa utafiti.... Dini na imani si mambo ya kisayansi. Mambo haya hayana uthibitisho.
 
Mwenyezi mungu amemuonyesha njia kabla umauti, inshaallah amuongoze kwayo yeye na ah'ali zake. Dini ni nyingi duniani, si kosa kujifunza zote ili uzijue dini za wanadam na dini ya mungu
Zote ni imani tu.
 
wekeni basi picha ya hicho wanachokiita " kanisa lake" unaweza kukuta ni banda la nyasi
 
Yesu akawaambia, mimi ndimi njia na kweli na UZIMA, MTU haji kwa BABA ila kwa njia ya mimi, Yn 14:6. YESU ndiyo njia ya kwenda kwa MWENYEZI MUNGU, kwanini uhangaike, mwamini YESU maana wa MUNGU upAte uzima wa milele
 
Karibu sana utekeleze maagizo ya allah [emoji117]
c86654401cdee14d8055d30b18e18dd6.jpg
ili ufuzu ukazawadiwe mahulu 72 wenye makalio ft.40 ujiuji kiuno kama nyigu, macho kama vikombe...yalah [emoji8] [emoji39]
Povuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ushoga na usagaji utakimbiza wengi[emoji23][emoji2][emoji2][emoji23]
 
Mkuu wale maaskofu uchwara wa kujianzishia madhehebu. Huoni alikuwa anamiliki hadi kanisa [emoji3].
Kajianzishia kamradi kake,ghafla anakuwa askofu wa mradi wake sio? 😀😀
 
Kaama dini??
Mungu hakuwahii kuumba dini kuwa kigezo cha kuingia ktk Ufalme wa Mungu..nampenda Yesu kwasababu hakuwahi kuhubiri dini hata siku1,ila alihubiri Ufalme wa Mungu pekee,na Yesu(mfalme)hakuanzsha hiyo dini ya ukristu,ukristu n.k so sitishiki mtu akiwa mkristo alafu akaruhusu ushoga,au ndoa Za jinsia moja..najua uyo yupo ktk dini ila hayupo ktk Ufalme wa Mungu,so sitishiki na dini wala nini...Mungu alirejesha Ufalme wake hapa duniani ndomaana Bwana wetu Yesu hakuwahi kuhubiri dini Bali kila alipohubiri alihubiri Ufalme Ufalme...l
Mathayo 4:17
 
Back
Top Bottom