Kenya at 50 - Celebrating Kenya's 50th birthday and the many faces of Kenya

Kenya at 50 - Celebrating Kenya's 50th birthday and the many faces of Kenya

Kwa akili yako potofu watoto wa huko (kwa mfano) Senegal au Ivory Coast hawana akili kwa sababu hawajui Kiingereza?
Wao wako afadhali maana wanatumia Kifaransa na kwa kweli ni lugha unayoweza tumia tokea chekechea hadi chuoni bila kuchakachua na Kingereza, ila Kiswahili kina mapungufu kiasi kwamba umaarufu wake umebakia kutumika na wajasiria mali kule Uswahilini. Hata hivyo ulimwengu uko mbioni kutumia Kingereza na kote, labda hii taarifa itakusaidia Evelyn Leopold: Does French Stand a Chance Against a Global English-language Tsunami?
Kingereza kimefanya uchumi wetu ubaki kuongoza EAC yote, kampuni nyingi multi-nationals zimeweka makao yake makuu Nairobi. Watalii wanatujia kwa mamilioni ila hatuna mbuga nyingi kama nyie.
 
Kwa hiyo kwa akili yako fupi wajerumani hawajaendelea. Achana na kasumba ya wakoloni. Jikomboe kifikra! Kenya bado sana katika ulimwengu wa leo.
Tatizo lenyu huwa hamsomi, naomba fungua link kwanza usome kabla hujatoa kauli yoyote. Kingereza ni muhimu sana kwa nchi zinazoendelea, soma jamaa na kama una matatizo ya uelewa nitakutafsiria.
 
Tatizo lenyu huwa hamsomi, naomba fungua link kwanza usome kabla hujatoa kauli yoyote. Kingereza ni muhimu sana kwa nchi zinazoendelea, soma jamaa na kama una matatizo ya uelewa nitakutafsiria.
Wewe usifikiri watu wote tuna akili kama kasuku. Huo "utafiti" usome mwenyewe mpaka uchoke!
 
Wewe usifikiri watu wote tuna akili kama kasuku. Huo "utafiti" usome mwenyewe mpaka uchoke!
Wenye akili kama Kasuku ama IQ za kitoto ndio hawawezi elewa huo utafiti wa Euromonitor, shirika linalofahamika dunia yote. Na utafiti umechapishwa na gazeti la The Guardian. Nenda Uswahilini ukanywe kahawa, mambo haya huwezi yaelewa.
 
Wenye akili kama Kasuku ama IQ za kitoto ndio hawawezi elewa huo utafiti wa Euromonitor, shirika linalofahamika dunia yote. Na utafiti umechapishwa na gazeti la The Guardian. Nenda Uswahilini ukanywe kahawa, mambo haya huwezi yaelewa.
Yaani kwako wewe The Guardian ndio kipimo cha ukweli? Duh! Unaposema Euromonitor linafahamika dunia yote, ni dunia gani unayoiongelea? Kenya?
 
Hivi wewe unajisumbua kutafuta hizi makala kwa lengo gani? Sio kila mtu ana mawazo duni kama unavyojifikiria. Mwisho wake utachoka kutetea hicho Kiingereza ambacho mpaka leo bado hujakimudu sawa sawa. Majanga!
 
Hivi wewe unajisumbua kutafuta hizi makala kwa lengo gani? Sio kila mtu ana mawazo duni kama unavyojifikiria. Mwisho wake utachoka kutetea hicho Kiingereza ambacho mpaka leo bado hujakimudu sawa sawa. Majanga!
Hizo links zilikua kwa ajili ya manufaa yako wewe ila naona huwezi kabisa nufaika, humo ndani kuna taarifa tokea kwa Watanzania wenzio ambao tayari wameona hatari ya kukomaa na Kiswahili haswa enzi hizi za ushindani wa kisasa.
 
Hizo links zilikua kwa ajili ya manufaa yako wewe ila naona huwezi kabisa nufaika, humo ndani kuna taarifa tokea kwa Watanzania wenzio ambao tayari wameona hatari ya kukomaa na Kiswahili haswa enzi hizi za ushindani wa kisasa.
Endelea kusujudu Kiingereza hadi hapo utakapojitambua!
 
Askari Kanzu na lawmaina78 mnanifurahisha sana.sina shaka kuna siku mtakuja kuwa marafiki .
Nimewahi kuwa na mijadala na Wabongo, lakini huyu kiboko kweli. Lazima awe mzee fulani mwenye itikadi kali sana na kama ana watoto, jameni lazima wawe wanapitia majanga. Ulimwengu wa sasa lazima uwe mjanja wa lugha kadhaa na haswa zilizostawi.
 
Nimewahi kuwa na mijadala na Wabongo, lakini huyu kiboko kweli. Lazima awe mzee fulani mwenye itikadi kali sana na kama ana watoto, jameni lazima wawe wanapitia majanga. Ulimwengu wa sasa lazima uwe mjanja wa lugha kadhaa na haswa zilizostawi.
Haha ha haa. Wewe mkenya ni kituko!
 
Back
Top Bottom