KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

Miaka 10 ndrichi kwa ushenzi wa mpumbavu mmoja hivi halafu anakuja kukuomba msamaha eeeeh!
 
Mahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba mtu anasema mahakama ilikataa wito wa mtuhumiwa wa kupima DNA kwa kusema ni ghali sana, ingawa mtuhumiwa alisema atagharamia. Mahakama ikagoma na hivyo ikatoa maamuzi ya one-sided
 
Mungu yupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…