KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

Mama zenu na nani? Usituchanye na tamaa za mali za ki kikuyu.

Uovu afanye mmoja utujumuishe sote?

Punguani wahed.
 
mimi huyo mwanamke wala hanisumbui nasumbuka na bint tu maana watoto ndio ndugu zangu investments zako mwanamke ni partner wako in that investment.
Nawezaje ku deal na usaliti wa mwanangu mwenyewe shinikizo no shinikizo hako kabi t u akasamehe na kuki di own kabisa maana alichofanya ni degree ya juu ya uovu minus kukuua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi huyo bint itabidi achukue hukum ya babaake
 
fedheha ya huyo mama dorcas, utasemaje fedheha nyengine kwa mama zetu?!!!!, hamuamki tu kujua kuwa dunia ya leo kila mtu abebeshwe mslaba wake, kosa la huyo mama ni la huyo mama isiwe sababu ya wanawake woote wakose usingizi na wasijiamini kuwa wao ni watu wema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mama alitengana na mume wake tena kwa ujinga wake Wa kutokutaka kumsamehe mume wake alipoomba kumsamehe baada ya mwanaume kumzushia kuwa analiwa na jirani,baada ya kuachana yule mwanamke akatamani mshahara Wa mumewe wakati na yeye alikuwa na mshahara akaenda kumsema kwa ofisin kuwa hatoi pesa za ada na matunzo kwa watoto ili apate nusu mshahara Wa mumewe
 
Muacheni amalize kifungo....
Alifungwa miaka kumi na ameshatumikia miaka kumi
Hapana, alifungwa kifungo cha maisha na hadi sasa ameshatumikia miaka kumi. Kifungo cha maisha ni hadi utakapokufa labda kama kitapunguzwa kwa msamaha wa Raisi.
 
Unajua maana ya "fedheha"? Labda hujanielewa

Hapi ni Aibu kwenu nyinyi kama wanawake, na hamna kupinga ata kama kosa kafanya mama dorcas, yafaa tuishi nanyi kwa akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…