KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

Haki ipi wakati lifestyle yake ishaaribika uyo Jaji na mwanamke wachukuliwe hatu ikibidi wanyongwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's why Mungu alituagiza tuwe na kiasi ktk kila jambo 7bu mali zikiwa nyingi nazo ni tabu tupu.
huyu mzee alikua ana maduka mengi ya spare hapa mjini...ndo hizo tamaa za mali... sasa huyo mama mdg akambonyeza huyu shogangu coz ni watu waloshibana...ali.chongea mchongo mumewe...sasa hv mama anaishi makongo juuu anahela had anaumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kama mimi ndio huyo mzee, siku nikiachiwa namchinja kabisa huyo mama ili nirudi nilipokuwa [gerezani] nikaendelee na maisha yangu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa kama baba na mwanadamu asiye mkamilifu... Ningemsaheme binti yangu ili kuponya majeraha na maumivu ya pande zote mbili... Lakini pia kuikinga familia yangu na laana ya kusema uongo, kusingizia, roho ya tamaa, visasi na roho mbaya

Jr[emoji769]
Sahihi, kwa maana kosa hilo linweza kujirudia kizazi cha tano hadi cha sita. Kilangila.
 
siku zote nasema,mshauri wa wanawake ni kipofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamii ya Wachaga-Kikuyu.
Kwa dunia ya leo uovu kama huu hauna uhusiano wowote na kabila, utaifa wala rangi ya mtu. Shetani akimwingia mwanadamu, anaweza kumuongoza afanye lolote. Kilangila.
 
Hasira, hasara. Kilangila.
 
hhaahaahahaa kunauma sana...sana sana
halafu sasa, ukisingiziwa kweli bila hata kuujua mchongo husika mara nyingi unasamehe, ukiona mtu analipiza kisasi ujue kwenye mchongo alikuwepo au anaujua ila hakushiriki watu wakamuweka na yeye.
huyo baba kabla hajakutanishwa na bintiye alihojiwa kwanza na akasema yeye hana tatizo na mwanaye kabisa na aje aongee nae na atamsamehe na amemsamehe kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C' men, nilivyo ongelea hivyo nimemaanisha mambo mengi sana, ikiwemo "Haki"

Hivi wapelelezi wa hayo matukio walijiridhisha kama ni kweli kwa kumpima huyo msichana DNA ikadhibitika ni kweli aliingiliwa na huyo mzazi wake wa kiume?

Nikupe mfano wa akili ya mwafrica ilivyo ya kipumbafu "Wale walio kuwa wanatuhumiwa kwa mauwaji njombe walibambikiwa kesi hadi wakamtumia rais barua, rais akaitisha uchunguzi na kubaini ni kweli walibambikiwa kesi, hakuna mpelelezi aliyepoteza mda wake kupeleleza watuhumiwa ambacho kingefuata hapo ni kula mvua ya miaka 30+

R.kelly, ronald ulio wataja wapo magereza?

Ukivuna bangi iache wiki moja kwanza kabla ya kuanza kuivuta
 
Hasira, hasara. Kilangila.
Hasira sio siku zote zinakuwa hasara, kwani unajua roho ya huyo mzee ilivyokuwa baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha? Binafsi hata mtu aninyang'anye 10,000 mbele ya ushahidi uliotolewa kuwa ni hela yake wakati ni yangu kihalali then baada ya muda aje nayo anirudishie siwezi kubali.

1. Kitendo cha kutiana aibu kwa kosa la ubakaji tena kwa mtoto wa damu kwa miaka yote hiyo.

2. Hukumu ya kifungo cha maisha ni sawa na kifo

3. Dharau alizopata huyo mzee zidi ya jamii iliyomzunguka kwa miaka yote hiyo.

Huyo mzee ni bora kummalizia huyo mwanamke na kurudi zake gerezani maana tangu alipohukumiwa kifungo cha maisha naamini huyo mzee alijihesabia kama tayari ameshakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…