KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

duh hii hatari
kwenye sinema ya ANDHA KANOON (SHERIA KIPOFU) mwigizaji. mkuu Amita Bachan alitumikia kifungo chake miaka 20, akiwa huru mitaani akakutana na aliyesemekana kuuawa hadi kupelekea kufungwa; mzee wa watu yuko jukwaani anaomba kura kuiongoza serikali ya mtaa. ghafla macho yakakutana na sura ya mtuhumiwa aliyemfanyia figisu na kutiwa ndani. mzee wa watu alishikwa tumbo la kuhara na kukimbia lkn haikusaidia. bahati nzuri kakimbilia majengo ya mahakamani akakuta hakimu yule yule aliyetoa hukumu yuko anaendelea na makukumu yake. kilichofuata ni Amita kumwaga damu mbele ya mahakama. mahakama kuhamaki tu, wanagundua kosa lililomtia jamaa ndani kuwa aliua lilikuwa feki na sasa ndio kaua kweli. wala haihitaji ushahidi sijui wa kuambiwa huu ni wa kuona.

sinema inaishia hapo sijui km alihukumiwa upyam hapo ndio nakubali wasanii wanaona mbali sana. sijui mzee wa Kenya huyo anajisikiaje akiwaza mkutano wake wa kwanza na mke au binti.....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye sinema ya ANDHA KANOON (SHERIA KIPOFU) mwigizaji. mkuu Amita Bachan alitumikia kifungo chake miaka 20, akiwa huru mitaani akakutana na aliyesemekana kuuawa hadi kupelekea kufungwa; mzee wa watu yuko jukwaani anaomba kura kuiongoza serikali ya mtaa. ghafla macho yakakutana na sura ya mtuhumiwa aliyemfanyia figisu na kutiwa ndani. mzee wa watu alishikwa tumbo la kuhara na kukimbia lkn haikusaidia. bahati nzuri kakimbilia majengo ya mahakamani akakuta hakimu yule yule aliyetoa hukumu yuko anaendelea na makukumu yake. kilichofuata ni Amita kumwaga damu mbele ya mahakama. mahakama kuhamaki tu, wanagundua kosa lililomtia jamaa ndani kuwa aliua lilikuwa feki na sasa ndio kaua kweli. wala haihitaji ushahidi sijui wa kuambiwa huu ni wa kuona.

sinema inaishia hapo sijui km alihukumiwa upyam hapo ndio nakubali wasanii wanaona mbali sana. sijui mzee wa Kenya huyo anajisikiaje akiwaza mkutano wake wa kwanza na mke au binti.....!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Hivi kweli hapo utahukumiwa kwa kuua mtu ambae ulishawahi kumuua[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa kama baba na mwanadamu asiye mkamilifu... Ningemsaheme binti yangu ili kuponya majeraha na maumivu ya pande zote mbili... Lakini pia kuikinga familia yangu na laana ya kusema uongo, kusingizia, roho ya tamaa, visasi na roho mbaya

Jr[emoji769]
Vipi kuhusu kumsamehe aliyekuwa mkeo, kama mume na mwanadamu asiye mkamilifu...ungemsamehe??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom