Kenya budget Vs Tanzania budget estimate financial year2017/2018

Kenya budget Vs Tanzania budget estimate financial year2017/2018

Kwahyo mmeamua kupigana vijembe ?embu rudini kwenye hoja
 
Kenya ina bajeti ndogo kutokana na ukubwa Wa Nchi yake the same to Tanzania lakini even though our Budget Tanzania haisadifu realities of life expectancy
Wewe umesoma Tsh. 31tr alafu ukaona Ksh 2.6trn ukadhani ya Kenya ni ndogo. Unakumbuka shuleni tulivyokua tunagawa meters into centimeters? Lazima zote ziwe unit moja ya cm kabla ya kugawa. Sasa tukitumia mantik hiyo hapa, tunazidisha ksh. 2.6trn mara 21.5 (exchange rate ksh 1~ Tsh 21.5) tutapata kama Tsh 56trn.
Kwa maana hiyo, Kenya wangekua wanatumia hela ya Tanzania budget yao ingekua ni ya Tsh 56trn na Tanzania Tsh 32trn.
Nawasilisha.... budget ya Kenya ndo kubwa
 
Wewe unaonesha hata unachokisoma hukielewi, ona hii:

"Kshs 2.6 trn (about $26b if my conversion is correct)"

Ona na hii:

"Kshs 31.69 trn (about $14b if my conversion is correct)"

Zote hizo kaandika nyang'au @mk254.9

Sasa vipi Kshs 26 trn iwe $26b na figure kubwa ya Kshs 31 trn iwe only $14b?

Hivi huwa hamuangalii mnachokisoma au ni bongo zenu zimelala?

Punguani wahed.

Bibiye unafahamu honest mistake?
 
Total Kenyan budget for FY 2017/2018 - Kshs 2.6 trn (about $26b if my conversion is correct)
Ksh 640bn set for development expenditure
Ksh 1.3trn set for recurrent expenditure
Ksh 329.3bn allocated to counties
Ksh 18.1bn goes to judiciary
Ksh 36bn taken by parliament

Major highlights
- No more VAT on maize flour and bread
- Hospital equipments will be VAT free too
- Corporate tax for vehicle assemblers reduced to 15% from earlier 30%
- Kenyans earning less than Kshs 13,486 have been exempted from income tax

The finance minister has gone for
- Alcoholics, has increased excise duty
- Gamblers, he has increased betting tax, lottery tax, and gaming tax



Total Tanzania budget for FY 2017/2018 - Tshs 31.69 trn (about $14b if my conversion is correct)
Am yet to get full analysis, but only 34% of development budget was released during the FY 2016/2017

Ok wadau tuendelee kudadavua
If both countries and the rest in E.A were to use all the billions they allocate for the intended purposes then tungekua mbali sana in all areas...tatizo hapa pesa nyingi zitaishia in corrupt pockets, shadow worker etc,...
 
Wewe unaonesha hata unachokisoma hukielewi, ona hii:

"Kshs 2.6 trn (about $26b if my conversion is correct)"

Ona na hii:

"Kshs 31.69 trn (about $14b if my conversion is correct)"

Zote hizo kaandika nyang'au @mk254.9

Sasa vipi Kshs 26 trn iwe $26b na figure kubwa ya Kshs 31 trn iwe only $14b?

Hivi huwa hamuangalii mnachokisoma au ni bongo zenu zimelala?

Punguani wahed.

Enyewe wewe ni mjinga... Sasa kwa sababu figure ya tz ni kubwa kuliko ya Kenya that's y unasema ni uwongo.....
 
Huyo dem shidake ni gani ? Mwenyewe hana macho aone it's not Ksh 26trn but Ksh 2.6trn.
Acha kucomment while u're having orgasms. Maliza kwanza ndo uzungumze.
P.S. Unyoe hiyo maneno hapo chini, hehehe...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hehehe leo mama una mzuka balaa, wanaume wote humu wamejaribu kupuuza hizo nyege zako lakini unang'ang'ania kupita maelezo.
Tutaendelea kukupuuza tu labda ujipige punyeto.
Hahahahaha
 
mi sina wasiwasi na tz yangu najua magufuli atawanyosha hawa wakenya na tutakuwa na 1,

wakenya kaeni chonjo, madaktari tu mmeshaanza kuazima kutoka tz, so mnaweza mkajitathmini wenyewe....

"watch it, not to that extent".................... is coming..
 
African countries are all the same in terms of upumbavu ujinga n.k...


Kenye bajeti kubwa ila madaktari mmeshindwa kuwalipa


Tanzania bajeti kubwa ila implementation ya FYB 2016/17 haikuzidi 30%


Ushenzi mtupu
mkuu unaskia na matako,kashaelezwa mbona madoctor waligoma.
 
mi sina wasiwasi na tz yangu najua magufuli atawanyosha hawa wakenya na tutakuwa na 1,

wakenya kaeni chonjo, madaktari tu mmeshaanza kuazima kutoka tz, so mnaweza mkajitathmini wenyewe....

"watch it, not to that extent".................... is coming..

Hata wewe huwezi fikiria zaidi ya hapo?? Ratio ya madaktari Kenya ni safi sana, ya Tanzania mbovu sana, lakini serikali yenu haiajiri madaktari, Kenya tumeajiri wameisha tunatafuta wengine ilikuboresha maisha yetu, wewe mtanzania unakuja hapa ukidhani sasa nyinyi ndio mmepiga bao, kweli??? Huwezi hata fikiria???
 
Kondaa=konda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] napita tu

Konda au kondaa ni jina la mtaa, kwa mfano mitaani Kenya tunaita kondaa, lakini bongo ni konda.
 
Konda au kondaa ni jina la mtaa, kwa mfano mitaani Kenya tunaita kondaa, lakini bongo ni konda.
Hivi Kenya mnaongea kiswahili au kiswahili cha mwendokasi?
 
Wakenya mnachekesha sana, bajeti yenu inatumia 40% kulipa madeni ya nje na ndani. Bajeti ya 2017, ya kulipa madeni ya Kenya imeongezeka 242%. Nusu ya bajeti ni kenya ni PPP, sasa mnawashindana nini Tanzania?
 
Wakenya mnachekesha sana, bajeti yenu inatumia 40% kulipa madeni ya nje na ndani. Bajeti ya 2017, ya kulipa madeni ya Kenya imeongezeka 242%. Nusu ya bajeti ni kenya ni PPP, sasa mnawashindana nini Tanzania?
Kwani Tanzania ilitumia kiasi gani cha bajeti yake katika eneo hilo ?
 
Back
Top Bottom