Wakenya mnachekesha sana, bajeti yenu inatumia 40% kulipa madeni ya nje na ndani. Bajeti ya 2017, ya kulipa madeni ya Kenya imeongezeka 242%. Nusu ya bajeti ni kenya ni PPP, sasa mnawashindana nini Tanzania?
Tehehehee... Hata umechekesha zaidi..... Cut me a drink