KENYA: Chama cha Wanasheria chalaani kauli za Rais Uhuru Kenyatta juu ya majaji

Afadhali chama Chao cha wanasheria (kls) bado kina ubavu wa kuwatetea wanasheria bila itikadi za vyama. Hapa kwetu tls imeshatekwa na rais wake amekifanya kuwa kitengo cha propoganda za chama chake.
 
Angekua Lissu na TLS wameandika hivi zingejaa thread humu za "wazalendo"kumtukana
Una maanisha yule [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ? Atapata wapi ubavu wa kuzungumzia maslahi wa wanasheria wakati TLS ameigeuza kuwa kitengo cha siasa cha chama chake?
 
Tz hakuna TLS tena Bali nichaka la siasa siumeona juzi kaibukia haki za binadam??? Mawakiri wenzangu saivi nikujiongeza mwenzetu anamishahara kalibia 6 hafu anataka sisi tugome. Mweee !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si uongo Mkuu na huyu Uhuru sasa anyamaze aache sheria ifuate mkondo wake na yeye na wafuasi wake warudi dimbani. Juzi aliongea vizuri sana.

Hiyo kukubali kukosolewa tu kwa Kenyatta ni uthibitisho tosha kuwa jamaa anakubali sana uhuru wa mwanadamu katika kufikiri, ingekuwa Tanzania hao chama cha mawakili wangekoga matusi ya kufa mtu toka kwa Magufuli
 
Tsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
HAWATATHUBUTU KWASABABU WALISHAONYWA NA TRUMPH KABLA HATA YA UCHAGUZI,KUA ATAKAE N'GAN'GANIA MADARAKA NA HAKUPITISHWA KIHALALI NA WANACHI KTK KURA HUYO NTAZAA NAE NA ATAKUA MFANO KWA WENGINE KWA BARA LA AFRIKA...
UNAFKIRI HUO UCHAGUZI UMERUDIWA ATI WANA DEMOCRACY,,THUBUTUUUU!!!!!MALALAMIKO YALIPELEKWA KWA MKUU WA DUNIA,YAKAKALIWA MEZANI KUONA KAMA YANA UKWELI..ILIVOBAINIKA NDIO IKAONEKANE NGOMA IRUDIWE

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Ubunge ni kama huku tu kila mwenye pingamizi anaweka kivyake, mbona rahisi hiyo Uhuru alikua anafurahisha wafuasi wake tu
Kama huku wapi? Jecha alifuta hadi wajumbe wa baraza la uwakilishi na bado watu walimpongeza
 
Ubunge ni kama huku tu kila mwenye pingamizi anaweka kivyake, mbona rahisi hiyo Uhuru alikua anafurahisha wafuasi wake tu
Hii ndiyo shida ya genge la watu kujiona wao ni "so special".

Kenya ni ya wote,misingi ya utawala waliiweka kwa ajili ya kuhakikisha haki inapatikana.Vitisho,uhuni na njama za kung'ang'ania madaraka zisipewe nafasi. Ni mfano mbaya kwa ukanda wetu huu,kwani nchi zingine zote zina tawala za "ajabu ajabu".Tulitegemea Kenya waonyeshe tofauti.

Wakenya mfundisheni kuwa Kenya ni zaidi ya individuals hasa kutoka Gatundu!
 
wakenya hawahawa unaowafundisha manners nao wana manners zao, i can smell a rat
 
wakenya hawahawa unaowafundisha manners nao wana manners zao, i can smell a rat
Ni muda mwafaka "manners"walizozizoea kuzipata na kuona ni haki yao zipokonywe na zionekane zilikuwa "privileges" tu.
 
Ni muda mwafaka "manners"walizozizoea kuzipata na kuona ni haki yao zipokonywe na zionekane zilikuwa "privileges" tu.
wewe utaweza kuwapokonya utashi wao wa kuuana?
JIKUMBUSHE ORODHA HII
Dedan kimath
john ouko
na yule IT specialist wa juzi
+
+
 
Hapa kuna sinema inaendelea kule kenya ni kama vle uhuru anamvutia kasi odinga si ajabu uhuru akashinda tena coz yule jamaa ana iq kubwa time will tell
 
Angesema tu naheshimu Mahakama, neno sikubali lina shaka, kama alishinda kweli wasiwasi wa nini? Aingie tena uwanja wa mapambano haki itapatikana. Vipi hii kauli (Kwa kuwa sisi ni wapenda amani vinginevyo) sijui kama nimenukuu vizuri. Amani kwenu, sote ni wamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe utaweza kuwapokonya utashi wao wa kuuana?
JIKUMBUSHE ORODHA HII
Dedan kimath
john ouko
na yule IT specialist wa juzi
+
+
Siwezi kuwapokonya! Nashauri ili kuondoa dhana potofu kuwa "a certain group is an elite!"
NB.Ni John au Robert Ouko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…