Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,120
- 817
Usisahau kwamba kuna wakenya wengi wenye asili ya kisomali. Ni vigumu kujua mamluki.tatizo kenya na hasa nairobi imehost wasomali wengi inabidi iwatimue hawa jamaa si wa kuwakaribisha si unaona SOUTH SUDAN imewapiga ban



