M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kenya rushwa, ukabila hauwez kwisha. Maana watu wana dhiki ya ajabu
1. kupata baadhi ya huduma kwake anaona favour, so malipo ni kuwa kibaraka wa huyo aliyempa "favour".
eg. Ajira, scholarships, teuzi zinafuata mkondo wa ukabila/rushwa.
1. kupata baadhi ya huduma kwake anaona favour, so malipo ni kuwa kibaraka wa huyo aliyempa "favour".
eg. Ajira, scholarships, teuzi zinafuata mkondo wa ukabila/rushwa.