M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
washauri wa Odinga kwenye mbinu za kuvuruga mambo wapo vizuri sana ingekua wanatumia mbini hizo kuwavutia wapiga kura naamini tarehe uchaguzi uliofanyika mwezi wa 8 Raila angeingia Ikulu mapema sana.Uhuru kama Mkuu wa nchi alipaswa kuongoza but yeye na yule mpwa wa Moi kutwa wanacheza ngoma ya RAO full vijembe
Dhana yako ni ya Kijinga, ya kizamani sana na ni ya kupuuzwa.Sahauuhilo kamishna asaidii kubadilisha uchaguzii. MJALUO APEWI IKULU DAIMA SAMAHANI KAMA N MJALUO N KAMA TANZANIA WACHAGA WASHASAHAU HATA IKULU IKOJE NDIO MAANA TUNAJARIBU MAJIRANI WA ARUSJA AMA SAME WAINGIE PALE
Acha ujinga,TZ kuna zaidi ya makabila 124 kwa,ww umewaona wachaga tu na sio wengine wanaostahili kuingia ikulu.ukabila na mkenya ni sawa na samaki na maji vile.Sahauuhilo kamishna asaidii kubadilisha uchaguzii. MJALUO APEWI IKULU DAIMA SAMAHANI KAMA N MJALUO N KAMA TANZANIA WACHAGA WASHASAHAU HATA IKULU IKOJE NDIO MAANA TUNAJARIBU MAJIRANI WA ARUSJA AMA SAME WAINGIE PALE
Utamu utamu tu!, huko ndio kenya bhana
...huyo ndio Roselyn Akombe (PhD)...ndio maana walimzuia Airport kuhofia misimamo yake......mwanamke chuma cha......(malizia please)
This is shocking...
...huyo ndio Roselyn Akombe (PhD)...ndio maana walimzuia Airport kuhofia misimamo yake......mwanamke chuma cha......(malizia please)
its horrible especially having kitchen cabinets who eliminates threat through murder and intimidation etc.
As its said politics is a dirty game man and when stakes are high guys go those extent of doing anything dangerous to have gains. that why murdering connected to political motives are not solved amicably.