KENYA: Dr. Roselyn Akombe’s resignation letter as IEBC Commissioner

Kenya rushwa, ukabila hauwez kwisha. Maana watu wana dhiki ya ajabu
1. kupata baadhi ya huduma kwake anaona favour, so malipo ni kuwa kibaraka wa huyo aliyempa "favour".
eg. Ajira, scholarships, teuzi zinafuata mkondo wa ukabila/rushwa.
 
Uhuru kama Mkuu wa nchi alipaswa kuongoza but yeye na yule mpwa wa Moi kutwa wanacheza ngoma ya RAO full vijembe
washauri wa Odinga kwenye mbinu za kuvuruga mambo wapo vizuri sana ingekua wanatumia mbini hizo kuwavutia wapiga kura naamini tarehe uchaguzi uliofanyika mwezi wa 8 Raila angeingia Ikulu mapema sana.
Uhuru amekuja kukumbuka blanketi kumekucha na mpaka sasa Raila kamkata pazuri sana...kila akijaribu kuchomoka anakutana na haya mara kesi hii,mara huyu kajiuzulu,mara kaede Ulaya kuwaeleza ya kwake n.k....
kwa maslahi mapana ya Kenya ingebidi ifike mahala waweke umimi pembeni na kusema Kenya kwanza.
 
Ndani ya Tume ya IEBC kuna Moto mkubwa unawaka na nadhani hata Wafula Chebukati , Mwenyekiti anatamani ajiuzulu lakini inamuwia vigumu kwa kuwa aliishapokea rushwa kutoka Serikali Kuu! Ngoja avune alichopanda!




 
Sahauuhilo kamishna asaidii kubadilisha uchaguzii. MJALUO APEWI IKULU DAIMA SAMAHANI KAMA N MJALUO N KAMA TANZANIA WACHAGA WASHASAHAU HATA IKULU IKOJE NDIO MAANA TUNAJARIBU MAJIRANI WA ARUSJA AMA SAME WAINGIE PALE
Dhana yako ni ya Kijinga, ya kizamani sana na ni ya kupuuzwa.
 
Sahauuhilo kamishna asaidii kubadilisha uchaguzii. MJALUO APEWI IKULU DAIMA SAMAHANI KAMA N MJALUO N KAMA TANZANIA WACHAGA WASHASAHAU HATA IKULU IKOJE NDIO MAANA TUNAJARIBU MAJIRANI WA ARUSJA AMA SAME WAINGIE PALE
Acha ujinga,TZ kuna zaidi ya makabila 124 kwa,ww umewaona wachaga tu na sio wengine wanaostahili kuingia ikulu.ukabila na mkenya ni sawa na samaki na maji vile.
 
ewe mtanzania mwenzangu uliepo huko nakuomba/nakushauri urudi nyumbani tu

mtu anatuma barua ya resignation akiwa dubai [emoji3][emoji3][emoji3]
na kutokomea marekani[emoji3][emoji3][emoji3]
wewe bado umekaa tu huko
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…