Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

Wakati tunasubiri haya matokeo ya mwisho, nina wazo kuhusu haya yaliyokwisha kuchangiwa kwenye hii thread tangu mwanzo. Uchaguzi utakapoisha, hizi posts za hii thread zifanyiwe compilation kitengenezwe kitabu, ili watu wasokuwa na mtandao nao wajue nini kilitokea. Ikiwezekana admin zifanyie back-up kabisa kuanzia sasa uzitunze pahala ili hata akatokea jasusi akafanya hacking bado data zetu ziwepo. Inafaa ulimwengu uyajue yaliyojiri dakika baada ya dakika kama tulivyoyashuhudia hapa.
 
matokeo yametangazwa na kibaki amepata 4.5 milioni wakati Raila amepata 4.3 million

jamaa wameiba kura na kuipeleka kenya kwenye mlolongo mrefu wa matatizo. Kuna kazi kubwa sana kwa afrika kama mzee wa miaka 76 anaweza kung'ang'ania kwenye madaraka kama hivi.

Aibu kubwa sana toka kwa majirani zetu.

Thanks!
 
Mh. Zitto,
Kwa kuwa wewe una mawasiliano ya karibu wa team ya ODM, je, umeishawauliza what is their next move just in case Kivuitu ataamua kwenda kutangaza matokeo ya uchaguzi kwenye kituo cha KBC? Maana jana nilimsikia akisema kwamba hata kutangaza matokeo hapo ni kama favor, anaweza kwenda kuyatangazia popote pale.

Basi wanapatikana hivi sasa. Simu zote hata hotline zao wanazo wasaidizi tu. Kwa hali hii ninaelewa. Ninahisi UKRAINE way! ninahisi na kwa kwlei sina anything about Plan C. But they had plans A, B na C.
 
what? kama ni kweli basi kenya kumeingia balaa!.
 
Azimio Jipya Unafikiri Fujo Na Vitisho Ndio Suluhisho La Kupata Democrasia Makini Na Haki Zako ?

No no.. Not at all.. lakini kama umeibiwa kura/ au haki yako nyingine.. Hivi kuzidai na kushaout kwa kutafuta haki yako ..you call it..Fujo? Let me say This ..Kuna Fujo sahihi na fujo ambayo sio sahihi. Zote zinaweza kutumika but zina vyanzo tofauti na matokeo tofauti. Kama unatumia "fujo" kudai what is obviouse and right sina tatizo na "fujo" hiyo. But kama unatumia "fujo" kudai what isnt Right and fair. Hiyo "fujo" si iiungi mkono kabisa. Ni kama palivyo na aina mbili ya Vita. Vita kulinda kilicho sahihi na vita kulinda kisicho sahihi. Lazima kuwa very very clear Mtu usije kuwa zezeta kwa kisingizio cha kuepuka "Fujo".The rest niwaachie wengine wachangie hoja hii!!!
 
Nipo ndugu yangu naomboleze haya ya wenzetu ambayo ni taswira halisi ya viongozi waliopigania uhuru Africa. Wanafikiri kwa kuwa walikuwepo wakati wa uhuru basi wataendelea kuwepo milele madarakani hata kama wananchi hawawataki.

Ninatiwa moyo na hamasa na ujasiri wanaonyesha wenzetu wakenya, kushuhudia hadharani jinsi kura zilivyoibwa-hii si bure ni Mungu tu anawaongoza. Watching and reading keenly and intriguingly.

Mwambie mh. Zitto(MB) Kama anapata Kinywaji apige Tusker Mbili baridi,,, maana nadhani mishipa imekaza sana sasa hivi!!! anatamani kuona TVT, KTN, KBC, BBC, CNN, JF, Aljazeerah, SKYNEWS kwa pamoja!!! Lakini binadamu analimit!!!

Kwi kwi kwi...

on serious note Mambo si Mambo!!! Sasa Mh. Zitto(MB) na EAC polical federation, upime msimamo wako sasa,,, Watanzania wengine tunapenda Jumuiya ya Kiuchumi,,, bila matatizo yoyote lakini hii ya POLITICAL mpaka akina Zitto na Watoto wa Moi watakapo kuwa Marais 🙂 sio sasa wakati Kaguta, Kikwete na Kibaki hawataki kutoka....
 
Wapambe wa Kibaki ndio wanakataa matokeo.Mzee kachoka keshakubali kupigwa nao.

Ndiyo ukweli..wapambe pamoja na washauri uchwara..wanaona

ulaji huooo ndiyo unakwenda hivyo.

Inabidi wamshauri evil
 
gsmresults.jpg

Nimeangalia Tovuti ya mzee wa Propaganda Kijana Dr Mutua http://www.communication.go.ke/elections/ kashatangaza kuwa mshindi.
 
Basi wanapatikana hivi sasa. Simu zote hata hotline zao wanazo wasaidizi tu. Kwa hali hii ninaelewa. Ninahisi UKRAINE way! ninahisi na kwa kwlei sina anything about Plan C. But they had plans A, B na C.

Wamemtangaza KIBAKI
 
Back
Top Bottom