JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 116
Kweli ni madudu hasa pale ECK walipoamua kutangaza matokeo licha ya baadi ya sehemu kuonyesha kura za Kibaki zimezidi hata idadi ya waliojiandikisha kupiga kura. Inasikitisha sana kwa EC kama hii, licha ya witnesses waliojitolea maisha yao kusema ukweli still wameamua kutangaza matokeo ya jumla na kumwapisha Rais usikuKwa vyovyote ilivyo, uchaguzi huu wa Kenya umekuwa na madudu mengi na ya dhahiri ambayo unaweza kufanya yaliyotokea Tanzania kuwa ni ya shule ya vidudu...
Mwkjj hapo umemgonga nyoka kichwani. Tukiweza kuchukua hatua kama hiyo nadhani tutapunguza kama sio kuondoa kabisa tatizo la wizi wa kula.Lakini hofu yangu ni kwamba umasikini wetu unaweza kuwa tatizo maana fisadi watagawana 'area of concentration' na kuhakikisha wanavuruga kila sehemu wanayoiona threat! BUT Still naiona ni good option for long run.Baada ya mikoa yote kutangaza matokeo yote, tume inatangaza mshindi.
================