Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

Kibaki names part of Cabinet

Story by NATION Reporter
Publication Date: 1/8/2008
President Kibaki has begun shaping up his new Government by naming the first half of his Cabinet.

The President also moved to bring the ODM-Kenya to his side by naming the party’s Kalonzo Musyoka to be his Vice-President.

In a televised address to the nation, the President appointed 17 ministers and said the rest will be appointed after further consultations.

In addition to Vice-President Musyoka, here is the full list of Ministers appointed:

1. Internal Security – Prof George Saitoti

2. Defence – Yusuf Hajji

3. Special Programmes – Naomi Shaban

4. Public Service - Asman Kamama

5. Finance – Amos Kimunya

6. Education – Prof Sam Ongeri

7. Foreign Affairs – Moses Wetangula

8. Local Government – Uhuru Kenyatta

9. Information and Communications – Samuel Poghisio

10. Water and Irrigation – John Munyes

11. Energy – Kiraitu Murungi

12. Roads and Public Works – John Michuki

13. Science and Technology – Noah Wekesa

14. Justice and Constitutional Affairs – Martha Karua

15. East Africa Cooperation – Dr Wilfred Machage

16. Transport – Chirau Ali Mwakwere
 
Miafrika Ndivyo Tulivyo....haya yaliyotokea Kenya nawaambia yatatokea tena ktk nchi ingine ya Kiafrika na haitakuwa mwisho wa mambo kama hayo kutokea

Nyani, sadly yawezekana uko sahihi. Ni muhimu kuwawajibisha viongozi wa namna hii hata wale tunaowapenda. Naogopa watu hawashtushi na mauaji haya na badala yake wanaangalia sanduku la kura ili waingie madarakani at any cost.
 
Kibaki kaunda baraza la mawaziri. Kateua mawaziri 17. Mbona huyu jamaa kichwa maji hivyo?

I would have to say that this is a brilliant move by Kibaki. Not the best for the country, but the best move for his survival. Hapa anawa-force akina Musyoka, Uhuru, etc. kuamua kusuka au kunyoa (you are either with us or against us).

Tatizo kwa akina Musyoka, Uhuru, etc ni kuwa wanaweza kupata power sasa na kum-support Kibaki vs Raila, lakini baada ya Kibaki kumaliza his term in five years, watakuwa kwenye group ambayo most Kenyans will associate them with rigged/stolen 2007 elections hivyo watakuwa na wakati mgumu sana kushawishi Kenyans kuwa they care and have the best interest of ALL Kenyans.

It will be a short term power gain but long term political suicide kwa Musyoka, Uhuru, etc come 2012.

Swali: Kibaki anawezaje kuchagua cabinet from MPs-elect who have not yet taken Parliamentary Oaths?

**************************************************************
Kibaki names part of Cabinet

Story by NATION Reporter
Publication Date: 1/8/2008
President Kibaki has begun shaping up his new Government by naming the first half of his Cabinet.

The President also moved to bring the ODM-Kenya to his side by naming the party’s Kalonzo Musyoka to be his Vice-President.

In a televised address to the nation, the President appointed 17 ministers and said the rest will be appointed after further consultations.

In addition to Vice-President Musyoka, here is the full list of Ministers appointed:



1. Internal Security – Prof George Saitoti

2. Defence – Yusuf Hajji

3. Special Programmes – Naomi Shaban

4. Public Service - Asman Kamama

5. Finance – Amos Kimunya

6. Education – Prof Sam Ongeri

7. Foreign Affairs – Moses Wetangula

8. Local Government – Uhuru Kenyatta

9. Information and Communications – Samuel Poghisio

10. Water and Irrigation – John Munyes

11. Energy – Kiraitu Murungi

12. Roads and Public Works – John Michuki

13. Science and Technology – Noah Wekesa

14. Justice and Constitutional Affairs – Martha Karua

15. East Africa Cooperation – Dr Wilfred Machage

16. Transport – Chirau Ali Mwakwere


Source: http://www.nationmedia.com/dailynation/

*****************************************************************
 
tata limeingia tata kutatuka ni matata hadi lipatikane tata kulitatua tata

sasa tusubiri tata jengine kulitatatua
 
Kenyatta tayari alikuwa anamuunga mkono Kibaki na Musyoka ndiye kama tukichukulia at face value matokeo ndiyo amewezesha Kibaki kupata Urais baada ya kuzoa kura zaidi ya laki nane wakati kura "zilizowatenganisha" Raila na Kibaki zilikuwa kama laki mbili tu! Hivyo musyoka kapewa zawaidi tu!

Je mazungumzo yatawezekana?
 
Sasa naona Kibaki alazii damu maana leo rais wa ghana, mkapa, chisano, kaunda na wazee wa makanisa mbali mbali wameingia Kenya kuonana na Kibaki yeye katangaza mawaziri then is another complications katika kufikia muafaka na Raila.

Au amepata kichwa kutoka kwa Bush? maana nimeona Kama Bush kalazimisha

Sasa watasuluhisha nini?

HUyu jamaa naona anakichwa cha ajabu sana.
 
Shy una hisia mbaya na Raila au Wajaluo kwa jumla? Tuliza munkar bado matokeo...akishinda nenda kajinyonge.Akishindwa piga mbiu na ufurahie maisha.

SHY where are you? now Kibaki has worn the Election I hope your happy. You know this american song says HEAPS DOES NOT LIE. It clearly made now not only by Mr. Odinga but also with the International observors, the chairman of ECK and Kenyans with patriotic feeling about their Country and even the way Moi Kabaki sworn for presidency that the election was rigged. Democracy is one thing and having announced leader is another thing. I just ask you contributors not to lost your way. Come out please. Kibaki is a president. We know the cost Kenyan who want Kibaki in power have encoured to witness the man become the stateman for the next five years. No matter what happened, Kibaki come out as a winner and few Minutes he has announced some of the ministers in his Government. He even included one of the man to me he always seems as unsmart man. Mr Kalonzo Musyoka, he is a person that I can not even gives the name but simply a bad man I ever seen in Kenyan politics. He now claims the post of a vice president. He was after position. He knew the action, even before it come true. He knew that Kibaki will not allow ODM especially Raila to take the power. Thats why he opt to get outside and come with own party. I'm sure his future is no longer bright. Bad enough he was mentioned by KIVUITU as among the people preasurize announcement of the result despite the disputes noted. He did not fight for democratic election but a thirst for power.
Even if Raila fail from this bettle. EAST Africa community will remeber is character and become a symbol of a person who cut accross all ethnic groups and have mass support of Kenyan and Outsiders and the Kikuyu knows that though they will not accept.
Please do not link this saga with Luo or etnic issue. It is clear that Luo can not make 4.4 mill votes announced for Odinga. But Kikuyu can make 4.??? Mill votes.
 
So what next?????

Sioni sasa uwezekano wa serikali ya Umoja ya kumshirikisha Raila kwani all key positions zote zimeshachukuliwa!

ODM Options

1. ODM waende Bungeni- wapige kura kutokuwa na imani na Kibaki- je katiba inaruhusu majority as 51% au 66% kumwondoa raisi na kuitisha uchaguzi mpya? Je ODM wana 'which majority'? Itabidi waungane na Vyama vidogo2- ila tayari wamechezewa faulo zaidi kwani Kibaki amewapa uwaziri!

2. ODM wakubali tu kuwa effective opposition- wakubali yaishe kwa ajili ya stability, umoja na amani Kenya- wasubiri hadi 2012!


Inawezekana Kibaki ameamua kuteua mawaziri -so as to be in a good strategic negotiation position with ODM

Swala kubwa- sasa what is the Role ya Koufur wa Ghana katika hali tete kama hii?? He would not have been invited! 30 min kabla ya kuja kwa mediator then Kibaki anatangaza baraza?????
 
So what next?????

Sioni sasa uwezekano wa serikali ya Umoja ya kumshirikisha Raila kwani all key positions zote ODM hawapo!

ODM Options

1. ODM waende Bungeni- wapige kura kutokuwa na imani na Kibaki- je katiba inaruhusu majority as 51% au 66% kumwondoa raisi na kuitisha uchaguzi mpya? Je ODM wana 'which majority'? Itabidi waungane na Vyama vidogo2- ila tayari wamechezewa faulo zaidi kwani Kibaki amewapa uwaziri!

2. ODM wakubali tu kuwa effective opposition- wakubali yaishe kwa ajili ya stability, umoja na amani Kenya- wasubiri hadi 2012!

3. ODM wachukue nafasi chache za mawaziri zilizobaki--- je watakubali kuwa chini ya Kibaki?

Inawezekana Kibaki ameamua kuteua mawaziri -so as to be in a good strategic negotiation position with ODM

Swala kubwa- sasa what is the Role ya Koufur wa Ghana katika hali tete kama hii?? He would not have been invited! 30 min kabla ya kuja kwa mediator then Kibaki anatangaza baraza?????

Mzalendohalisi,

Inatakiwa Wakenya wamng'oe Kibaki hata kwa kutumia nguvu kwa faida ya nchi yao.

Kibaki akibaki madaraka itakuwa ni pigo kwa wapenda demokrasia Afrika, maana hata akina Karume, Mugabe na wengine wataendelea kuiba kura.
 
So what next?????

Sioni sasa uwezekano wa serikali ya Umoja ya kumshirikisha Raila kwani all key positions zote zimeshachukuliwa!

ODM Options

1. ODM waende Bungeni- wapige kura kutokuwa na imani na Kibaki- je katiba inaruhusu majority as 51% au 66% kumwondoa raisi na kuitisha uchaguzi mpya? Je ODM wana 'which majority'? Itabidi waungane na Vyama vidogo2- ila tayari wamechezewa faulo zaidi kwani Kibaki amewapa uwaziri!

2. ODM wakubali tu kuwa effective opposition- wakubali yaishe kwa ajili ya stability, umoja na amani Kenya- wasubiri hadi 2012!


Inawezekana Kibaki ameamua kuteua mawaziri -so as to be in a good strategic negotiation position with ODM

Swala kubwa- sasa what is the Role ya Koufur wa Ghana katika hali tete kama hii?? He would not have been invited! 30 min kabla ya kuja kwa mediator then Kibaki anatangaza baraza?????

Hata ningekuwa mimi singekubali hata siku moja kuwa Kibaki ndiye Rais halali wa Kenya. Endapo wabunge hao wa ODM wakifanya hivyo, ni kama wamewakana watu waliowachaguwa wabunge wao kihalali, kwa vile watu hao hao waliowachagua wao ndio hao hao waliomkataa Kibaki.
 
Kitendo cha Kibaki kutangaza baraza la mawaziri na kuitisha kiako cha Bunge kweli kinaonyesha jinsi alivyo mkaidi na alivyopania kung'ang'nia madaraka hayo. Iko Kazi kweli kweli.
 
Kitendo cha Kibaki kutangaza baraza la mawaziri na kuitisha kiako cha Bunge kweli kinaonyesha jinsi alivyo mkaidi na alivyopania kung'ang'nia madaraka hayo. Iko Kazi kweli kweli.

you are very right.

Unajua kuna watu walisema Kibaki is a nice guy ila mt kenya mafia ndiyo inamsukuma kufanya haya ila kwa sasa jamaa amethibitisha jinsi alivyo arrogant.

Hili ndilo hutokea watu wote wakiwa na msimamo kama mzalendo halisi alivyosema hapo juu kuwa ODM wakubali tu wasubiri 2012. Ni nini kitazuia wizi usifanyike tena 2012? Hebu fikiria kidogo kuhusu alichofanya Kibaki hapa?

1. Amemrudisha Michuki kwenye cabinet - one of the most hated
2. Amemweka Saitoti kuwa internal security!
3. Amemrudisha Karua justice, Kimunya - Finance etc
4. Ni kama amerudisha power mt Kenya - yaani on your face thing!

Talk about Saitoti, the guy alishindwa uchaguzi huu fairly lakini akatumia force na results zikawa changed ili ashinde. The same guy ndiye amewekwa kuwa internal security! just for wait for a new Kenya you never knew!

Kama ulisikia speech ya M7 utaamini kuwa madikiteta in Afrika wamepata kichwa sana baada ya hii saga ya Kenya. Hii imeprove kuwa anybody can do and get away with it!

Poor Africa!
 
Sisi Waafrika tunasikitisha kwa kweli. Mimi na ujinga wangu wote nilidhani baada ya Kibaki kushinda ile 2002 ukurasa mpya wa demokrasia ulifunguliwa lakini haya ya sasa sijui hata niyaiteje. Jambo kama hili la sasa usingelitegemea kwa mtu kama Kibaki hasa ukizingatia alikotoka but then again how can you not expect it given our (African) history. Hata hao ODM siku wakija kushika madaraka na msishangae nao waka-behave kama Kibaki anavyo-behave....how can one not conclude that, that is how we are...?
 
Sisi Waafrika tunasikitisha kwa kweli. Mimi na ujinga wangu wote nilidhani baada ya Kibaki kushinda ile 2002 ukurasa mpya wa demokrasia ulifunguliwa lakini haya ya sasa sijui hata niyaiteje. Jambo kama hili la sasa usingelitegemea kwa mtu kama Kibaki hasa ukizingatia alikotoka but then again how can you not expect it given our (African) history. Hata hao ODM siku wakija kushika madaraka na msishangae nao waka-behave kama Kibaki anavyo-behave....how can one not conclude that, that is how we are...?

Nyani,

this might be true somehow but....

Kama human beings watu wengi wanaweza kufanya the same thing kama vile Democrats in America walivyofanya the same thing ambazo walizipinga na wakapewa Congress in 2006.

Watu wengi tulikuwa na hopes na Odinga because of what he has so far done. This guy alipewa ministry ya energy akafanya alot for Kenyans. Alipewa ministry ya Road... (with opportunity ya kula pesa nying sana coz this is one of the corrupted ministries ) but jamaa akafanya kazi kubwa ikiwemo kutoa mhindi mmoja aliyekuwa amezuia ujenzi wa barabara Nairobi.

PNU wamefanyia kila aina ya scrutiny just to get him with one kashfa but wameshindwa all these years. The guy amejaribu sana kuwa clean na kufanya kazi for Kenyans. Angekuwa power grabber angebaki tu kwenye cabinet ya Kibaki na kuendeleza ufisadi na Mt kenya ili wampe upresidaa. The guy alileta hope to Kenyans esp young people. Alisaidia kuvunja KANU na mengine mengi tu.

Inawezekana akachemsha kama kina Harry Reid au Tony Blair but so far he has inspired alot of pple.

Lets hope Africa inaleta kina Raila wengine for the benefits of us all in the future.

Thanks!
 
I have a feeling that Raila has many cards up his sleeves, he has proved to be a briliant strategist! Kibaki anatapatapa, kutangaza baraza lake amesha -commit suicide.
Kumbuka hata jeshi haiwezi kuvumilia mapinduzi (civil coup). Also ana wakati mgumu kwa sababu hajatambuliwa na nchi yoyote zaidi ya Uganda (museveni needs oil!)
Kazi ipo! Kumbukeni Romania, Ukraine, Russia etc. Watu walisema haiwezekani kiongozi ameshashika hatamu, lakini watu wakigeuza hasira zao toward him watawaua, na jeshi halitaingilia. Mark my words, Kibaki hatatawala Kenya! Ingawa USA inatamani sana iwe hivyo maana walikuwa wanapata mteremoko kwa the senile old man. lakini Raila ni Jaluo Jeuri!
This is a historic moment in Africa ngoja tuendelee kuangalia!
 
hivi.. Mawaziri wanachaguliwa kabla ya kuapishwa kuwa wabunge? au unakuwa Waziri kabla hujawa Mbunge rasmi?
 
hivi.. Mawaziri wanachaguliwa kabla ya kuapishwa kuwa wabunge? au unakuwa Waziri kabla hujawa Mbunge rasmi?

Mwanakijiji,

Swali zuri sana. Kumbuka kuwa all this time mawaziri waliopita kina Kimunya walikuwa wakiendelea kufanya kazi as if govt iliyopita inaendelea. Michuki aliweka order ya shoot to kill before he was appointed minister.

Inaonekana Kibaki ajui maana ya kuvunja bunge na kuanza upya. Yeye kwake ni kama the last govt iko bado kazini na business as usual. Utasikia mengi sana kutoka kwa this guy. He can do what'r he wants anytime coz he doesnt care. Kama unakumbuka ile interview yake na mwandishi wa BBC before election basi for now utakuwa unajua how this guy operates.

Huyu anaweza kuwa arrogant kuliko hata Mugabe
 
Leo jioni saa 5PM Mr Kibaki amewaappointed 17 ministers wakiwemo makamu wake yaani Kalonzo aliyekuja namba tatu kwenye kura za 2007:


0. Vice - President - Kalonzo Musyoka (ODM-KENYA)

1. Internal Security – Prof George Saitoti (PNU)

2. Defence – Yusuf Hajji (PNU thru KANU)

3. Special Programmes – Naomi Shaban (ODM-KENYA)

4. Public Service - Asman Kamama (PNU thru KANU)

5. Finance – Amos Kimunya (PNU)

6. Education – Prof Sam Ongeri (PNU thru KANU)

7. Foreign Affairs – Moses Wetangula (PNU thru FORD-KENYA)

8. Local Government – Uhuru Kenyatta (PNU thru KANU)

9. Information and Communications – Samuel Poghisio (ODM-KENYA)

10. Water and Irrigation – John Munyes (PNU thru FORD-KENYA)

11. Energy – Kiraitu Murungi (PNU)

12. Roads and Public Works – John Michuki (PNU)

13. Science and Technology – Noah Wekesa (PNU)

14. Justice and Constitutional Affairs – Martha Karua (PNU)

15. East Africa Cooperation – Dr Wilfred Machage (PNU)

16. Transport – Chirau Ali Mwakwere (PNU thru SHIRIKISHO)



____________________________________________________________

NB: Kibaki ameonyesha wazi kwamba hana nia ya kufanya mazungumzo yaliyo serious na ODM. In fact anafanya haya mazungumzo tu as a public relations gimmick ili asijelaumiwa na the so-called Donor Countries and "International Community" kwa kuwa asiyesikiliza advaisi.

1. If kulikuwepo na goodwill or softening on the side of the ODM ina maana kwamba sasa usiku wa leo watachukua a hardline position wakati wataanza mazungumzo ya roundtable kesho chini ya usimamizi wa Kufuor. Already wamekashifu hio action ya Kibaki na kuianika hadharani kama tuu mojawapo ya ishara chungu nzima za kuonyesha kwamba Kibaki ana kiburi na sio hata mtu wa kufanya dialogue naye.

2. Kuna uwezekano kwamba hii action haitamfurahisha Kufuor ambaye ataiona kama njia moja ya serikali kujaribu kusend signal kwake kwamba yeye ni mgeni huku tuu na hawatayachukulia atakayosema seriously. Tusisahau kwamba msimamo wa awali wa akina Kibaki ulikuwa eti this is an internal crisis na haliihitaji outsider mediation. Baada ya kuona international community inawasapot akina ODM ndio Kibaki walibadili msimamo na kusema wako ready for dialogue. Kwa maoni yangu walifanya hivi tu kama ukatuni ila ndani ya nyoyo zao hawana haja sana na hizi mazungumzo. Kutangazwa kwa baraza hili at the same time that Kufuor's plane ilikuwa inatua Nairobi yaani 5.pm sio ajali wala sadfa ila ni symbolic message kwa ODM kwamba liwe liwalo Kibaki hatabanduka ikulu.

3. ODM wamesema hawaitambui serikali ya Kibaki na watakapoingia bungeni wiki ijayo wataketi kwenye mkono wa kulia wa Spika yaani upande wa serikali kwajili hao ndio walioshinda eti. Wamesema watampigia kura MP (Emuhaya) Dr Marende kama spika. Anatoka Western mkoa na deputy wake watampa muislamu msomali atokaye North Eastern Province, Farah Maliim. MP (Lagdera). Hizi nafasi mbili ambazo ni muhimu sana katika njama za kesho za kumuangusha Kibaki kama vile vote of no-confidence which ukiniuliza is one of the cards ODM inayo up their sleeves. ODM na washirika wao NARC pamoja wana viti 109 na serikali na vyama vidogo vinavyowaunga mikono wana viti 101. Kwa hivyo tunaweza nashiri ODM watashinda kwa hili next week. Leo wabunge wote waliochaguliwa kwa tikiti ya chama cha ODM wamefanya closed-door meeting hapa Nairobi kupanga mada watakayowakilisha kwa roundtable mazungumzo na plani yao ya Bunge wiki ijayo. Walikataa kuwadokezea wanahabari na wananchi ni nini wanapanga kufanya.

4. Kile ambacho kinashangaza wengi ni the way ODM wanaonekana kuwa very relaxed ni kana kwamba wanampango wa siri ambao wengi hata wafuasi wao hatujui. Hawaonekani kuwa wenye stress kama vile wafuasi wao. Kutangazwa kwa baraza nusu la mawaziri kumepokelewa na riots na protest kwenye mikoa ya Rift Valley, Nyanza na Western ambako wengi wameuawa na kupoteza makao na hali ilikuwa inaanza rejea kawaida. Wananchi wanazidi kuamini sasa kwamba Kibaki hataki amani au njia za amani na waliohojiwa kwenye mji wa majani chai uitwao Kerichp walisema kwamba wameshtushwa na action hii ya Kibaki ambayo imewapea wafuasi wa PNU na msaliti Kalonzo viti vikubwa vikubwa na kubakisha "baksheesh ministries' eti for ODM in case ODM wataamua kujoin na Kibaki. Walisema kwamba sasa wanasubiri lolote lile wataambiwa na viongozi wao wa upinzani huku wakisisitiza hawaitambui serikali ya Kibaki.

5. Kwa maoni yangu the road to peace bado ipo ndefu tuu na tusubiri michafuko na hali isiyo ya kawaida hadi pale akina ODM watarizishwa au kuonyesha kurizishwa na the political situation.

6. Mkapa, Chisano na Kaunda wametembelea mahali mbali mbali kulikoathirika ili kupata picha kamili vile hali ilivyo huku. Wanasema hii itawapatia a certain objectivity endapo waalikwe kwenye table ya mazungumzo.

7. Kibaki alimtuma Uhuru Kenyatta kwa JK na maombi ya kisiri ambayo JK alipokea na kusisitiza msimamo wa Tanzania ni ule ule: no taking sides huku akihimiza suluhu ya amani itafutwe kwa mazungumzo baina ya pande zote mbili. Mda mchache baada ya kukutana na Uhuru JK alipokea ujumbe wa ODM na Raila kupitia Secretary General wa ODM Prof. Petern Anyang-Nyongo.

8. Mdogo wa Condooleza Rice amesema kwamba Marekani inataka suluhu la kudumu na sio tu la mda. Amesema endapo maongezi ya amani yatatibuka basi Kenya iwe ready for a long unstable political future ahead.

9. Viongozi wa ODM walipata sapot kutoka kwa chama kinachokeshimiwa sana cha wanasheria Law Society of Kenya (LSK) wataingia kwenye talks kesho na the constitutional/legal framework on their side. Kibaki ataingia with the political framework on his side, arguing that there is already a governing authority in the land ( yaani yeye) na instead ya kumuondoa ni kheri tu aboreshwe (thru so called Coalition government).

10. Kalonzo amefurahia sana kuteuliwa kwake kama Makamu wa Rais. Amesema eti sasa ako kwa nafasi nzuri kuwapatanisha Raila na Kibaki. Wengi wanaona kama hii ni marriage of convenience yaani kumpatia sapot Kibaki kwa njia mbili:

a) Endapo watakuwa serekali for 5 years ODM- Kenya watakuwa pamoja na PNU kwenye bunge. Na kuna uwezekano itakapoonekana wakenya hawako ready for another Kikuyu successor to Kibaki in 2012 yaani Uhuru Kenyatta basi wakikuyu watasapot Kalonzo ambaye ni mkamba na eneo lao la Eastern Province is the only other mkoa Kibaki alimshinda Raila apart from Central Province. Kwa hili tayari kina MKJJ wameshachambua kwamba kunauwezekano Kibaki na Kalonzo walikua washafanya njama kabla hata ya uchaguzi kugawa kura za Raila. Tusisahau kwamba Kivuitu na ECK walisema kuwa ni chama cha Kibaki PNU na cha Kalonzo ODMK ambazo zilimsukuma kwa pamoja atangaze results haram bila kuzipitia upya.

b) Endapo kutaitishwa kura nyingine for the presidential opponents yaani Kibaki na Raila anytime from now basi Kalonzo atamfaidi sana Kibaki. ODMK na PNU zitafanya campaign za pamoja na Kalonzo as the VP atawashinikiza wafuasi wake wampigie Kibaki kura ili a retain u VP wake. Kwa hiyo the so-called inbetween votes za Kalonzo zitamwendea Kibaki na kumpatia ushindi dhidi ya Raila. Lakini this view inasahau kwamba kuna wengi ambao waliompigia Kibaki ambao watampigia Raila au wengi walimpigia Kalonzo wataamua kumpatia raila rather than Kibaki. Vile vile wengine waliompigia Raila pia wanaweza mpigia Kibaki next time. Ila mood ilivyo sasa nchini ni kwamba Kibaki is very unpopular across the country because anaonekana kama ndiye aliyeleta shida nchini kwa kuapishwa kwake halahala usikusiku.

11. Aliyetuahidi eti this time ataappoint the so-called 'clean hands" government isiyo corrupt ndio huyu leo amemrejesha Kiraitu Murungi mmojawapo ambaye alihusishwa na sakata la AngloLeasing mpaka hata akajiuzulu. From the face of his new half cabinet, inaonekana wazi wazi kwamba Kibaki hakusoma any lesson from Kenyans rejection of his 21 ministers. Isiopkua tu wale wa KANU na ODM-K, wote wale wa PNU walikuwepo kwenye Baraza la mwaka jana. This means that Mr Kibaki is either out of touch with the feelings of the people he wishes to govern or has some of the most misleading advisors a president can ever have.

12. Kuhusu zile viti zingine 12 za nominations nimedhibitisha kwamba ODM itachukua lionshare, that is 6 na PNU 3 halafu.

Nawakilisha.

_____________________________________________________________________________________

KADHALIKA: KUNA PICHA SAFI http://issamichuzi.blogspot.com/ZINAZOONYESHA
JK AKIKUTANA NA MJUMBE WA PNU/KIBAKI YAANI UHURU KENYATTA. PIA JK AKIPOKEA UJUMBE WA RAILA ODINGA/ODM KUTOKA KWA PROF. PETER ANYANG-NYONGO
 
Leo jioni saa 5PM Mr Kibaki amewaappointed 17 ministers wakiwemo makamu wake yaani Kalonzo aliyekuja namba tatu kwenye kura za 2007:


0. Vice - President - Kalonzo Musyoka (ODM-KENYA)

1. Internal Security – Prof George Saitoti (PNU)

2. Defence – Yusuf Hajji (PNU thru KANU)

3. Special Programmes – Naomi Shaban (ODM-KENYA)

4. Public Service - Asman Kamama (PNU thru KANU)

5. Finance – Amos Kimunya (PNU)

6. Education – Prof Sam Ongeri (PNU thru KANU)

7. Foreign Affairs – Moses Wetangula (PNU thru FORD-KENYA)

8. Local Government – Uhuru Kenyatta (PNU thru KANU)

9. Information and Communications – Samuel Poghisio (ODM-KENYA)

10. Water and Irrigation – John Munyes (PNU thru FORD-KENYA)

11. Energy – Kiraitu Murungi (PNU)

12. Roads and Public Works – John Michuki (PNU)

13. Science and Technology – Noah Wekesa (PNU)

14. Justice and Constitutional Affairs – Martha Karua (PNU)

15. East Africa Cooperation – Dr Wilfred Machage (PNU)

16. Transport – Chirau Ali Mwakwere (PNU thru SHIRIKISHO)



____________________________________________________________

NB: Kibaki ameonyesha wazi kwamba hana nia ya kufanya mazungumzo yaliyo serious na ODM. In fact anafanya haya mazungumzo tu as a public relations gimmick ili asijelaumiwa na the so-called Donor Countries and "International Community" kwa kuwa asiyesikiliza advaisi.

1. If kulikuwepo na goodwill or softening on the side of the ODM ina maana kwamba sasa usiku wa leo watachukua a hardline position wakati wataanza mazungumzo ya roundtable kesho chini ya usimamizi wa Kufuor. Already wamekashifu hio action ya Kibaki na kuianika hadharani kama tuu mojawapo ya ishara chungu nzima za kuonyesha kwamba Kibaki ana kiburi na sio hata mtu wa kufanya dialogue naye.

2. Kuna uwezekano kwamba hii action haitamfurahisha Kufuor ambaye ataiona kama njia moja ya serikali kujaribu kusend signal kwake kwamba yeye ni mgeni huku tuu na hawatayachukulia atakayosema seriously. Tusisahau kwamba msimamo wa awali wa akina Kibaki ulikuwa eti this is an internal crisis na haliihitaji outsider mediation. Baada ya kuona international community inawasapot akina ODM ndio Kibaki walibadili msimamo na kusema wako ready for dialogue. Kwa maoni yangu walifanya hivi tu kama ukatuni ila ndani ya nyoyo zao hawana haja sana na hizi mazungumzo. Kutangazwa kwa baraza hili at the same time that Kufuor's plane ilikuwa inatua Nairobi yaani 5.pm sio ajali wala sadfa ila ni symbolic message kwa ODM kwamba liwe liwalo Kibaki hatabanduka ikulu.

3. ODM wamesema hawaitambui serikali ya Kibaki na watakapoingia bungeni wiki ijayo wataketi kwenye mkono wa kulia wa Spika yaani upande wa serikali kwajili hao ndio walioshinda eti. Wamesema watampigia kura MP (Emuhaya) Dr Marende kama spika. Anatoka Western mkoa na deputy wake watampa muislamu msomali atokaye North Eastern Province, Farah Maliim. MP (Lagdera). Hizi nafasi mbili ambazo ni muhimu sana katika njama za kesho za kumuangusha Kibaki kama vile vote of no-confidence which ukiniuliza is one of the cards ODM inayo up their sleeves. ODM na washirika wao NARC pamoja wana viti 109 na serikali na vyama vidogo vinavyowaunga mikono wana viti 101. Kwa hivyo tunaweza nashiri ODM watashinda kwa hili next week. Leo wabunge wote waliochaguliwa kwa tikiti ya chama cha ODM wamefanya closed-door meeting hapa Nairobi kupanga mada watakayowakilisha kwa roundtable mazungumzo na plani yao ya Bunge wiki ijayo. Walikataa kuwadokezea wanahabari na wananchi ni nini wanapanga kufanya.

4. Kile ambacho kinashangaza wengi ni the way ODM wanaonekana kuwa very relaxed ni kana kwamba wanampango wa siri ambao wengi hata wafuasi wao hatujui. Hawaonekani kuwa wenye stress kama vile wafuasi wao. Kutangazwa kwa baraza nusu la mawaziri kumepokelewa na riots na protest kwenye mikoa ya Rift Valley, Nyanza na Western ambako wengi wameuawa na kupoteza makao na hali ilikuwa inaanza rejea kawaida. Wananchi wanazidi kuamini sasa kwamba Kibaki hataki amani au njia za amani na waliohojiwa kwenye mji wa majani chai uitwao Kerichp walisema kwamba wameshtushwa na action hii ya Kibaki ambayo imewapea wafuasi wa PNU na msaliti Kalonzo viti vikubwa vikubwa na kubakisha "baksheesh ministries' eti for ODM in case ODM wataamua kujoin na Kibaki. Walisema kwamba sasa wanasubiri lolote lile wataambiwa na viongozi wao wa upinzani huku wakisisitiza hawaitambui serikali ya Kibaki.

5. Kwa maoni yangu the road to peace bado ipo ndefu tuu na tusubiri michafuko na hali isiyo ya kawaida hadi pale akina ODM watarizishwa au kuonyesha kurizishwa na the political situation.

6. Mkapa, Chisano na Kaunda wametembelea mahali mbali mbali kulikoathirika ili kupata picha kamili vile hali ilivyo huku. Wanasema hii itawapatia a certain objectivity endapo waalikwe kwenye table ya mazungumzo.

7. Kibaki alimtuma Uhuru Kenyatta kwa JK na maombi ya kisiri ambayo JK alipokea na kusisitiza msimamo wa Tanzania ni ule ule: no taking sides huku akihimiza suluhu ya amani itafutwe kwa mazungumzo baina ya pande zote mbili. Mda mchache baada ya kukutana na Uhuru JK alipokea ujumbe wa ODM na Raila kupitia Secretary General wa ODM Prof. Petern Anyang-Nyongo.

8. Mdogo wa Condooleza Rice amesema kwamba Marekani inataka suluhu la kudumu na sio tu la mda. Amesema endapo maongezi ya amani yatatibuka basi Kenya iwe ready for a long unstable political future ahead.

9. Viongozi wa ODM walipata sapot kutoka kwa chama kinachokeshimiwa sana cha wanasheria Law Society of Kenya (LSK) wataingia kwenye talks kesho na the constitutional/legal framework on their side. Kibaki ataingia with the political framework on his side, arguing that there is already a governing authority in the land ( yaani yeye) na instead ya kumuondoa ni kheri tu aboreshwe (thru so called Coalition government).

10. Kalonzo amefurahia sana kuteuliwa kwake kama Makamu wa Rais. Amesema eti sasa ako kwa nafasi nzuri kuwapatanisha Raila na Kibaki. Wengi wanaona kama hii ni marriage of convenience yaani kumpatia sapot Kibaki kwa njia mbili:

a) Endapo watakuwa serekali for 5 years ODM- Kenya watakuwa pamoja na PNU kwenye bunge. Na kuna uwezekano itakapoonekana wakenya hawako ready for another Kikuyu successor to Kibaki in 2012 yaani Uhuru Kenyatta basi wakikuyu watasapot Kalonzo ambaye ni mkamba na eneo lao la Eastern Province is the only other mkoa Kibaki alimshinda Raila apart from Central Province. Kwa hili tayari kina MKJJ wameshachambua kwamba kunauwezekano Kibaki na Kalonzo walikua washafanya njama kabla hata ya uchaguzi kugawa kura za Raila. Tusisahau kwamba Kivuitu na ECK walisema kuwa ni chama cha Kibaki PNU na cha Kalonzo ODMK ambazo zilimsukuma kwa pamoja atangaze results haram bila kuzipitia upya.

b) Endapo kutaitishwa kura nyingine for the presidential opponents yaani Kibaki na Raila anytime from now basi Kalonzo atamfaidi sana Kibaki. ODMK na PNU zitafanya campaign za pamoja na Kalonzo as the VP atawashinikiza wafuasi wake wampigie Kibaki kura ili a retain u VP wake. Kwa hiyo the so-called inbetween votes za Kalonzo zitamwendea Kibaki na kumpatia ushindi dhidi ya Raila. Lakini this view inasahau kwamba kuna wengi ambao waliompigia Kibaki ambao watampigia Raila au wengi walimpigia Kalonzo wataamua kumpatia raila rather than Kibaki. Vile vile wengine waliompigia Raila pia wanaweza mpigia Kibaki next time. Ila mood ilivyo sasa nchini ni kwamba Kibaki is very unpopular across the country because anaonekana kama ndiye aliyeleta shida nchini kwa kuapishwa kwake halahala usikusiku.

11. Aliyetuahidi eti this time ataappoint the so-called 'clean hands" government isiyo corrupt ndio huyu leo amemrejesha Kiraitu Murungi mmojawapo ambaye alihusishwa na sakata la AngloLeasing mpaka hata akajiuzulu. From the face of his new half cabinet, inaonekana wazi wazi kwamba Kibaki hakusoma any lesson from Kenyans rejection of his 21 ministers. Isiopkua tu wale wa KANU na ODM-K, wote wale wa PNU walikuwepo kwenye Baraza la mwaka jana. This means that Mr Kibaki is either out of touch with the feelings of the people he wishes to govern or has some of the most misleading advisors a president can ever have.

12. Kuhusu zile viti zingine 12 za nominations nimedhibitisha kwamba ODM itachukua lionshare, that is 6 na PNU 3 halafu.

Nawakilisha.

_____________________________________________________________________________________

KADHALIKA: KUNA PICHA SAFI http://issamichuzi.blogspot.com/ZINAZOONYESHA
JK AKIKUTANA NA MJUMBE WA PNU/KIBAKI YAANI UHURU KENYATTA. PIA JK AKIPOKEA UJUMBE WA RAILA ODINGA/ODM KUTOKA KWA PROF. PETER ANYANG-NYONGO

Ukisikia mtu ananyoosha the middle finger to the whole world ndio hapa. Hawa ndio watu safi Kibaki amepata so far.

K-T,

Mimi naona Kalonzo is done politically. Atakula nchi na kuwa na pesa as VP buy his status ndio imekwisha kabisa. There is no way this guy can win in 2012 unless aibe votes.

Kama ulivyosema kuwa tusubiri for the next move. What happened kwa ile case LSK walitaka kufungua about election? Why cant they just make the case to show how corrupted the justice system is?
 
K-T,

1. Good refections ndugu yangu! Nachokiona kati ya Kibaki na Raila kwanza hakuna trust and intergrity naona ni mambo ya kuzungukana! Swali kujiuliza- in whose benefit?

2. We wait and see the outcome of Koufor negotiations- I am not so optimistic with the outcome!

Kenya will never be the same again!
 
Back
Top Bottom