Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

1. Bunge la 10 la Kenya litaapishwa tarehe 15 Januari, 2008 yaan Jumanne wiki ijayo.

2. Rais Kufuor aingia Nairobi kesho kuanza mediation talks.

3. Kibaki ajaribu kumualika Raila ikulu waonngee ana kwa ana. Raila amekataa akisema kwamba hii ni njama ya kujaribu kuinfluence jamii ya kimataifa na wasuluhishi kama kina AU. Amesema atakutana na PNU only wakati wapatanishi watakapofika nakuanza kazi yao.

4. Law Society of Kenya (LSK) imesoma ripoti za ECK na imesemea kulingana na sheria za Kenya:
a) Wamemfuta Kivuitu toka kwenye Roll of Honors or rejista ya mawakili na wanasheria
b) Kibaki is in State-House illegaly and he is technically not the President of Kenya for being sworn in illegally
c) AG and Cj waliomuapisha Kibaki wajiuzulu na washtakiwe mbele ya mahakama. Mkuu wa polisi vile vile.
d) ECK na mkuu wao Kivuitu wafutiliwe mbali mara moja na kufunguliwa mashtaka.
d). Uchaguzi mwengine ufanywe mara moja lakini uwe tu wa Urais kwajili ule wa Ubunge hauna utata.
e). Jendayi Fraser, naibu wa Condoleeza Rice asema kwamba Kibaki na Raila wote wako ready kwa talks lakini wana masharti makubwa kila mmoja.
f) British Foreign Secretary awaambia House of Commons/Parliament kwamba power-sharing eti ndio the only way forward.
g) Alisema all the allegations of fraud in the elections should be investigated and the criminals brought to justice.
h) Kufikia sasa watu 486 wamefariki, 250,000 wameachwa bila makao.
i) Kenyans abroad esp in US, Germany and UK wafanya maandamano wakiitisha kujiuzulu kwa Mr Mwai Kibaki mara moja.
j) Kibaki aingia woga marais wa Afrika wanamsusa na atuma Uhuru kwa JK kujaribu kuomba sapot. JK akataa. Tunashukuru kwa hilo. Mungu ibarike Tanzania.
k). The only peaceful solution is for Mr. Kibaki to resign immediately. (Nafahamu kuna walouliza maswali kuhusu hili. Ntarejea na hili kwa post nyingine baada ya kupata cha jioni.)

Absolute! ODM just keep on tightening the screw! yes, he must go.
 
KIBAKI IS TECHNICALLY not the president of kenya..kama aliapa kulinda katiba ,mila na desturi za watu wa kenya ..still i have my reservations as follow...

1]inakuwaje pale rais anapoapishwa baada ya muda wa kushusha bendera..je katiba na taratibu zinasemaje kuhusu muda wa kiapo..kwani kibaki was sworn in shortly after 18.00pm

2.kutokana na norms and tradition za viapo ni kawaida kutanguliwa na maombi ya dini mbali mbali ....hilo halikufanyika..the ceremony ilifanywa haraka such that there was no time for invitation of such clerics....zaidi ya buddies wake kama michuki et al...

3.the ceremony was not attended by kenya forces chiefs...unless proved otherwise..hapakuwa na hata simple guard of honour....

4.national anthem haikupigwa ...kwani hapakuwa hata na muda wa kukaribisha millitary band...

summarilly ..kibaki aliapishwa kiuni ....kiasi naweza kusema kile hakikuwa kiapo kisheria wala kiutaratibu....for that reason ..the presidency seat in kenya is worth be proclaimed VACANCY!!!!!
 
Hii issue inaweza ikamjenga sana Kikwete ndani na nje kama akii-handle vizuri. Namuomba Mungu ampe hekima Rais wetu katika hili.
 
Na huyu odinga yuko dar es salaam sasa hivi kwa mazungumzo na baadhi ya viongozi wa tanzania wakati mkapa ameelekea kenya kusulugisha mambo

NO UJUMBE WA RAILA KUONANA NA JK UMEONGOZWA NA KATIBU MKUU WA ODM ANYANG NYONG.., NA JOSEPH NYAGAH..WAMEMPA BARUA YA RAILA...JIONI HII[SAA MOJA]....BAADAYE WAMEELEKEA HOTELI WALIYOFIKIA [KILIS] KUONANA NA WATU WENGINE ...WENGINE WAKIWEMO WAKENYA WATAKAOPATA FURSA...KESHO WANAMJOIN RAILA KWENYE MKUTANO WAO WA KWANZA NA KIBAKI..SEHEMU AMBAYO HAIJAJULIKANA NADHANI HAITAKUWA IKULU...ITAKUWA NEUTRAL GROUND...

NASHANGAA SANA KAMA JK ATAWEZA KUWASAIDIA HALI HAPO ZNZ PZMEMSHINDA..PIA NAWASIFU WANASIASA WA KENYA WAKO STRATEGIST KIASI CHA KU MAKE IMPACT..SIO KAMA HAPA MAALIM KILA MWAKA WANAIBIWA URAIS ..LAKINI ANAFANYA PROPAGANDA ZA KITOTO ZA KUTIA VISIMA MAVI AU KUSUSA ..BILA MALENGO...SASA AJIFUNZE NAMNA KINA RAILA WANAVYOSTAGE POPULAR APPRISING,DIPLOMATIC MOVES,POLITICAL....PROPAGANDA ZA MAANA..ETS ..YAANI WANA MAKE NEWS ....NA SAUTI INASIKIKA ...SIO MAALIM AKISHINDWA ANAENDA KUJIFICHA ULAYA...WAKATI URAIS UPO ZANZIBAR..HIYO NI KWABETRAY WALIOKUPIGIA KURA..

SASA WAPINZANI NAO WAJIFUNZE NAMNA YA KUTETEA HAKI ...
 
NO UJUMBE WA RAILA KUONANA NA JK UMEONGOZWA NA KATIBU MKUU WA ODM ANYANG NYONG.., NA JOSEPH NYAGAH..WAMEMPA BARUA YA RAILA...JIONI HII[SAA MOJA]....BAADAYE WAMEELEKEA HOTELI WALIYOFIKIA [KILIS] KUONANA NA WATU WENGINE ...WENGINE WAKIWEMO WAKENYA WATAKAOPATA FURSA...KESHO WANAMJOIN RAILA KWENYE MKUTANO WAO WA KWANZA NA KIBAKI..SEHEMU AMBAYO HAIJAJULIKANA NADHANI HAITAKUWA IKULU...ITAKUWA NEUTRAL GROUND...

NASHANGAA SANA KAMA JK ATAWEZA KUWASAIDIA HALI HAPO ZNZ PZMEMSHINDA..PIA NAWASIFU WANASIASA WA KENYA WAKO STRATEGIST KIASI CHA KU MAKE IMPACT..SIO KAMA HAPA MAALIM KILA MWAKA WANAIBIWA URAIS ..LAKINI ANAFANYA PROPAGANDA ZA KITOTO ZA KUTIA VISIMA MAVI AU KUSUSA ..BILA MALENGO...SASA AJIFUNZE NAMNA KINA RAILA WANAVYOSTAGE POPULAR APPRISING,DIPLOMATIC MOVES,POLITICAL....PROPAGANDA ZA MAANA..ETS ..YAANI WANA MAKE NEWS ....NA SAUTI INASIKIKA ...SIO MAALIM AKISHINDWA ANAENDA KUJIFICHA ULAYA...WAKATI URAIS UPO ZANZIBAR..HIYO NI KWABETRAY WALIOKUPIGIA KURA..

SASA WAPINZANI NAO WAJIFUNZE NAMNA YA KUTETEA HAKI ...

PM,

Nafikiri unamuonea Maalim kwa hili, mazingira ya Zanzibar na Kenya ni tofauti sana. Hata Raila na kundi lake wangelikuwa ndio wako Zanzibar, wasi ngefanikiwa kitu.

Zanzibar ni nchi ndogo sana ambayo inaweza kuzungukwa na polis na jeshi within two hours. Pia wana wajomba zao toka bara ambao wanaweza kupiga watu bila aibu maana sio ndugu zao wala kuanguka kwa Zanzibar hakuwezi kuwa affect wao.

Nafikiri tunapojadili haya mambo ni vizuri sana kuangalia hata utofauti wa sehemu. Hata Kenya yenyewe ingelikuwa Europe, Mwai Kibaki angekuwa ameangushwa kufikia sasa. Lakini kwa mazingira ya Afrika, naamini ODM wamejitahidi sana kuhakikisha Kibaki haendelei kutawala kwa nguvu.
 
Mikael, between Maalim na Raila, Maalim alichukua uamuzi wa maana badala ya kufan the flame of passions with rhetorics. Raila inawezekana amefanya strategies ikiwemo kufumbia macho mauaji makubwa ili watu wa sympathize naye kwani mauaji yaliyotokea Kenya yamemnufaisha zaidi Raila then anybody else..

The strategy of bloodshed is in itself a strategy of failure!
 
Mikael, between Maalim na Raila, Maalim alichukua uamuzi wa maana badala ya kufan the flame of passions with rhetorics. Raila inawezekana amefanya strategies ikiwemo kufumbia macho mauaji makubwa ili watu wa sympathize naye kwani mauaji yaliyotokea Kenya yamemnufaisha zaidi Raila then anybody else..

The strategy of bloodshed is in itself a strategy of failure!

Mwanakijiji,

Iliwafanya ANC waikomboe SA, na imewafanya USA waanze kufikiria kuondoka Iraq badala ya kujenga makambi huko.

Mimi siku hizi nakubaliana na huyo Wolfowitz kuhusu carrot and stick.
 
Mikael, between Maalim na Raila, Maalim alichukua uamuzi wa maana badala ya kufan the flame of passions with rhetorics. Raila inawezekana amefanya strategies ikiwemo kufumbia macho mauaji makubwa ili watu wa sympathize naye kwani mauaji yaliyotokea Kenya yamemnufaisha zaidi Raila then anybody else..

The strategy of bloodshed is in itself a strategy of failure!


Mzee Mwanakijiji ingekuwa wewe ndio Raila ungefanyaje?
By the way, your signature says it all "USHINDI NI LAZIMA"
 
Ushindi ni lazima lakini siyo kwa mauaji ya watu wasio na hatia. Kama Raila anataka kumwaga damu waende kushambulia mali za kina Kibaki na siyo kushambulia kila Mkikuyu! au mtu ambaye anapingana nao.

Mtanzania ANC walikuwa wanashambulia mali na vitu vya makaburu. Hawakuwa wanashambulia kila mtu mweupe wanayekutana naye njiani! There is no comparison between what is happening in Kenya and what happened in South Africa during the liberation struggle; none whatsoever.
 
Kibaki naye ni mkorofi; eti angalia ujumbe aliowapelekea wabunge:

"In exercise of the powers conferred by section 58(1) of the Constitution of Kenya, I appoint that a new session of Parliament shall be held at Parliament Buildings in Nairobi, and shall begin on the 15th January, 2008, at 2.30pm."
 
Wakuu,

John Kufuor Rais wa Ghana anaingia Nairobi kesho. Mimi sidhani ataongeza lolote la maana. Sijui mnaonaje? Kuna wanaosema hizi siasa tungetatua kama EAC.
 


_________________________


medium_flag_of_kenya.gif



Where Our Homeland Once Stood...



Yesterday
stood it here upon these hills
what our national anthem named the Homeland.
On these silent slopes we stand today,
Stood that which you and I,
Side by side,
destroyed
through desires
drenched in the Devil's bloodl
then set ablaze
into exploding
Feuds and Fists


Now
billow like arms raised in grace,
grey smokes of sadness
that weakly spiral off these ruins,
where pale piles of your crushed bones
And mine,
Forever sleep side by side
next to the red river of blood
in this vast valley of skulls…


Now
Wild winds of regret
Whistle here
And whirl weakly there…
Spreading the sad news of
our famished hopes,
our vanished homes,
To far away homes
over the rolling slopes
All across the gently revolving Globe...


Tomorrow
These words inherited in folklore
Will testify to all
our common fall
How
You and I
Failed to live by Law
choosing instead blow upon blow
smashing our today and tomorrow
into this ash-heap of powdering sorrow
Where stand a hollow with no Land...


Tomorrow
Sadly as it is sad now
Our ghouls
Will stand side by side
upon these rising ruins
Of our shattered State
and hear them tell
And retell in regret
This haunting lore
Of how you and I
Blindfolded by ethnic hate
Wiped this once-people-filled land
into an expansive empty slate:
a silent savannah dotted with hills of fractured skulls...
_____________________
By
Kenyan-Tanzanian
08.1.08
 
Mwanakijiji hata mimi nadhani nitatofautiana nawe kwa hili.

Laila akifanya kama alivyofanya Maalim kukaa kimya bila kupigia kelele wizi wa kura kwa nguvu zote ziwezekanazo, basi itachukuliwa kuwa na yeye haheshimu matakwa ya raia wake, anakuwa ni sehemu ya wezi, kwani anakuwa ameubariki wizi huo. Matokeo yake ni kuwa kila mtu aliyeko madarakani atakuwa anavuruga uchaguzi ili abaki madarakani kwa vile anajua hakuna hatua zozote zitakazotokea.

Mauaji yanayofanywa na wafuasi wa Odinga, sidhani kama kweli ni yeye aliwatuma wafanye hivyo, kwa hiyo siwezi kumlaumu. Kilichotokea pale ni anarchy iliyotakana na provocation ya serikali kwa wafuasi wa Odinga. Unfortunately victims wa hiyo anarchy siyo serikali yenyewe, ila lawama zote zinakwenda kwa serikali ambayo ndiyo iliyo-create na ku-stoke hiyo anarchy.
 
Ushindi ni lazima lakini siyo kwa mauaji ya watu wasio na hatia. Kama Raila anataka kumwaga damu waende kushambulia mali za kina Kibaki na siyo kushambulia kila Mkikuyu! au mtu ambaye anapingana nao.

Mtanzania ANC walikuwa wanashambulia mali na vitu vya makaburu. Hawakuwa wanashambulia kila mtu mweupe wanayekutana naye njiani! There is no comparison between what is happening in Kenya and what happened in South Africa during the liberation struggle; none whatsoever.

Mwanakijiji,

Inaelekea hujui historia ya mapambano ya ukombozi SA. Walitumia njia zote, kuanzia kuvuruga uchumi mpaka kuua, tena sio lazima kuua weupe, hata kuuana weusi kwa weusi.
 
Hii hapa ni ODM strategy sijui kama tayari watu washaiweka humu JF maana JF inatisha kama njaa babake.

See attached document
 

Attachments

Hii hapa ni ODM strategy sijui kama tayari watu washaiweka humu JF maana JF inatisha kama njaa babake.

See attached document

Mhhh,

katika hii dunia nimeona vitu fake vikiwasilishwa kama original but hii hata mtoto mdogo angefanya kazi nzuri kuipamba. Uongo na propaganda zingine zinafanywa kitoto no wonder Kibaki ameiba kwa wazi hadi viongozi wenzake wanamcheka.

Document hata haina signatures? Official documents hazina hata labels kama documents zingine za ODM ambazo zimeonekana all over Kenya?

Aliyetengeneza inabidi sio tu afundishwe kughushi, bali pia achapwe viboko 12 asubuhi na jioni kwa siku 30 kwa kufanya kazi ya kitoto huku akidhani yeye ni Pro.

Mtoto wa mkulima umeingia mkenge ndugu yangu irudishe tu ulikoitoa maana hii hata mashada ambako ni pro-kibaki imekataliwa na watetezi wa kibaki mwenyewe.

Poor Kibaki so desperate, waulize ccm wakusaidie namna ya kuiba kura na kisha kuwekea wapinzani wako mabomu na vitu vingine ili waonekane hawafai. hii umemchesha!
 
Mhhh,

katika hii dunia nimeona vitu fake vikiwasilishwa kama original but hii hata mtoto mdogo angefanya kazi nzuri kuipamba. Uongo na propaganda zingine zinafanywa kitoto no wonder Kibaki ameiba kwa wazi hadi viongozi wenzake wanamcheka.

Document hata haina signatures? Official documents hazina hata labels kama documents zingine za ODM ambazo zimeonekana all over Kenya?

Aliyetengeneza inabidi sio tu afundishwe kughushi, bali pia achapwe viboko 12 asubuhi na jioni kwa siku 30 kwa kufanya kazi ya kitoto huku akidhani yeye ni Pro.

Mtoto wa mkulima umeingia mkenge ndugu yangu irudishe tu ulikoitoa maana hii hata mashada ambako ni pro-kibaki imekataliwa na watetezi wa kibaki mwenyewe.

Poor Kibaki so desperate, waulize ccm wakusaidie namna ya kuiba kura na kisha kuwekea wapinzani wako mabomu na vitu vingine ili waonekane hawafai. hii umemchesha!

hahahahah Mwafrica kweli umenichekesha sana. Yah hiz ni propaganda tuu zinazunguka kwenye mitandao. Hiyo imekuja kwa e mail kama mara mbili tuu ila kama ulivyosema huyu jamaa angerudi na kufanya kazi tena.
 
Ushindi ni lazima lakini siyo kwa mauaji ya watu wasio na hatia. Kama Raila anataka kumwaga damu waende kushambulia mali za kina Kibaki na siyo kushambulia kila Mkikuyu! au mtu ambaye anapingana nao.

Mtanzania ANC walikuwa wanashambulia mali na vitu vya makaburu. Hawakuwa wanashambulia kila mtu mweupe wanayekutana naye njiani! There is no comparison between what is happening in Kenya and what happened in South Africa during the liberation struggle; none whatsoever.

Mwanakijiji,

masaa matatu yaliyopita kulikuwa na srory AP ambayo imemnukuu mtoto mmoja wa kiluo (miaka 8) aliyeko hospitali kwa majeraha ya risasi akieleza namna polisi walivyoingia ndani ya nyumba yao huko kisumu na kuanza kumimina risasi all over the house bila kujali nani yuko.

Matokeo yake yeye akajeruhiwa vibaya huku wenzake wakiuwawa kinyama. Kumbuka kuwa Michuki na Kibaki wametoa amri ya shoot to kill. Mtoto yule ameendelea kusema kuwa polisi hao walivyogundua kuwa wazazi wa mtoto hawakuwa ndani waliondoka wakiapa kuwa wangerudi baadaye kumalizia kazi.

Kama ulisikiliza bbc mchana huu walimhoji bwana mmoja ambaye alivamiwa na polisi akiwa amelala dukani kwake ambako polisi walimtoa nje, wakampiga sana, wakapora vitu, kisha wakachoma duka lake moto bila kujali kuwa ndani ya duka watoto wawili wa huyo bwana walikuwa ndani wamelala.

Nadhani utasema kuwa hawa wote wametumwa na Raila kufanya haya.
Kinachoendelea Kenya sasa hivi ni zaidi ya Raila. Kibaki ndiye kayaanzisha kwa kuiba kura na kisha kuamuru polisi kupiga risasi waandamanaji akiamini kuwa watafight back na kisha the whole world ya critical thinkers kama wewe watamlaumu Raila for the violence.

Kitu ambacho Kibaki alikosea kwenye calculation yake ni Mkoa wa Rift Valley. Kibaki alitegemea fujo zote zitatokea Kisumu na Nyanza ili Raila aonekane saiko. Alisahau kuwa Kalenjin wa Rift valley ndio walikuwa na uchuhgu zaidi na kikuyu kuliko hata Luo na kanisa lilipochomwa eldoret, ndipo wafuasi wa Kibaki wakajua kuwa wamekosea hesabu big time na sasa anahangaika kurudisha uhusiano wake na kalenjin (hawa ni neighbors) na population kubwa ya wakikuyu waliokuwa displaced ni walioko Rift Valley.

Kibaki anahusika moja kwa moja na yaliyotokea kenya na inabidi asipewe hata chembe ya break ili madikiteta wote afrika wapate fundisho.
 
hahahahah Mwafrica kweli umenichekesha sana. Yah hiz ni propaganda tuu zinazunguka kwenye mitandao. Hiyo imekuja kwa e mail kama mara mbili tuu ila kama ulivyosema huyu jamaa angerudi na kufanya kazi tena.

haha haha ha ha,

Hii iliwekwa kule mashada ambako ni mashabiki wa Kibaki lakini hata jamaa wa kibaki wenyewe wakaipondea. Huu ni upuuzi tu watu wanaleta wakati maelfu ya wakenya wakifa na wengine wakikosa chakula.

Yaani naona unaipatia hadhi kuiweka hapa. Hii ni chini hata ya standard za nyepesi au vibweka. JF inaaminika kwa original documents bwana vitu kama hivi inabidi viwekwe kule daily news au darhotwire.

Usanii mwingine unapita kipimo cha kawaida cha uchemfu.
 
Back
Top Bottom