Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
11. Aliyetuahidi eti this time ataappoint the so-called 'clean hands" government isiyo corrupt ndio huyu leo amemrejesha Kiraitu Murungi mmojawapo ambaye alihusishwa na sakata la AngloLeasing mpaka hata akajiuzulu. From the face of his new half cabinet, inaonekana wazi wazi kwamba Kibaki hakusoma any lesson from Kenyans rejection of his 21 ministers. Isiopkua tu wale wa KANU na ODM-K, wote wale wa PNU walikuwepo kwenye Baraza la mwaka jana. This means that Mr Kibaki is either out of touch with the feelings of the people he wishes to govern or has some of the most misleading advisors a president can ever have.
Nilipokuwa mtoto darasa la 4, nilikuwa naona jamaa walioko form 4(darasa la 12) kuwa ni wasomi sana.
The same, kwa Kibaki. Kwa vile yeye uwezo wake wa kuwa clean ni mdogo sana, basi usishangae kuwa anaona jamaa hawa alioteuwa kuwa ni clean sana.