Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

FUJOOOOOOOOOOOO


ORENGO ANAMKOSOA KISHERIA KIVUITU,

POLISIS TAYALI PEMBENI NA MABUNDUKI

WANANCHI NA MAAAJENTI KELELELEEEEEEEEEE


FUJOOOOOOOOOOOOOOO
 
Ningewaomba ODM wakubali matokeo yatangazwe ili wawe na nafasi ya kufungua kesi mahakamani au kumtoa Kibaki kwa vote of no confidence kama itawezekana. Otherwise I see a nation ikigawanywa kuwa nchi zaidi ya tano hivi!
 
MUNGU WANGU! NCHI YANGU!

KILA KITU MIESAMBARATIKA HAPO WANAUPINZANI WAMEKATAAA MATOKEO YA HAYO MABOX HARAM

KILA KITU KIMESIMAMISHWA SASA

WAZUNGU MAPICHA KIBAO MEDIA ZA HUKO KWAO WATUCHEKE TNEA SISI WAAFRIKA!

SHAME ON KIBAKI AND HIS POWERHUNGRY CLIQUE!
 
I am completely flabergasted with the entire process, I am hunderd percent sure there is something fishy there.
 
vurugu tupu naona KICC (through jump tv)...upuuzi mtupu hawa serikali wanataka kufanya lakini sijui kama watafanikiwa
 
HAYA WANA ODM NGILU, RUTTO, BALALA NA PROF NYONGO WAWAPOESHA WANANCHI.

KIVUITU ANAONGEA NA MEDIA TENA
 
Katiba ya Tanzania inampa mamlaka raisi ya kuwafukuza kazi wabunge wote (Kuvunja bunge). Ninahofu isije kuwa na Kenya katiba yao inaruhusu hili.
 
naanza kumwamini huyu chairman wa hiyo KEC anaonyesha some credibility in his statements
-theres no reason for us to be here for the election carried on thursday,no reason at all

-we cant get our officers,i dont know why?

-number of voters is bigger than registered voter,we cant accept that

...hayo ndio anaongea sasa
 
Matokeo mengine kura nyingi kuliko number of registered voters.

Waafrika tunaongoza kutumia akili zetu kwenye ujinga badala ya kuzitumia kufanyia mambo ya maana.

Kenya poleni sana!
 
Naona pana mchezo wa REDET kwa mbaali, Rais anapendwa ila Mawaziri hawapendwi na wananchi.
Kumbe huyu Kibaki ana utoto, CABINET yooote iangukie pua na VICE PREZIDEE aswell, ila yeye ashinde, kama haitoshi na wabunge wake ishirini sijui thelathini kwenye mia mbili na kumi.
Hii ndio ukishangaa ya Mussa.......
MUNGU IBARIKI KENYA
 
Basi bwana sasa tunasubiri re-play kwenye International news maana yake imekuwa Kasheshe.

Shukrani za dhati kwa wachangiaji wote waliowezesha sisi kuzipata hizi habari mapema kuliko wengine, specifically Kenyan - Tanzanian. Pole kwa wapiga kura wa Kenya ambao walitegemea zaidi ya ushindi kwani inaonekana demokrasi ina njia nyingi ya kujitafsiri.

Kinachonishangaza ni vyombo vya habari vya Kenya kupata kigugumizi.
 
side...

unajua nini takuwa next? kibaki atamfanya raila VP si unajua wanajuana hao,ama wewe waonaje?
 
naanza kumwamini huyu chairman wa hiyo KEC anaonyesha some credibility in his statements
-theres no reason for us to be here for the election carried on thursday,no reason at all

-we cant get our officers,i dont know why?

-number of voters is bigger than registered voter,we cant accept that

...hayo ndio anaongea sasa

Mkuu
Kwa maneno hayo nafikiri amejua kuwa kwa sasa hivi yeye ni muhimu sana katika maisha ya wakenya

Nafikiri atatangaza matokeo kabla ya saa kumi na mbili
 
...namuona Raila mitaani kupitia BBC. Tupatia hiyo news bana ka mambo yameiva maana hapa wanasema Kibaki bado kukubali. Eti K-T imekuwa vp?
 
Zoezi hili limekuwa gumu simply kwa sababu kuna watu wanataka kuiba kura
 
naanza kumwamini huyu chairman wa hiyo KEC anaonyesha some credibility in his statements
-theres no reason for us to be here for the election carried on thursday,no reason at all

-we cant get our officers,i dont know why?

-number of voters is bigger than registered voter,we cant accept that

...hayo ndio anaongea sasa

Yaani Afrika tunaongozwa na majangili.This is more than tunachotamka kama ukoloni mamboleo.

Lakini nadhani hawa ndugu zetu wako makini zaidi. Sidhani kama hiyo rigging ya kishenzi wanayofanya itawafikisha mbali. Afterall ODM wamekamata bunge tayari.
 
Back
Top Bottom