The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
....Waafrika tunaongoza kutumia akili zetu kwenye ujinga badala ya kuzitumia kufanyia mambo ya maana.....
Tukiambiwa 'Africans are less intelligent', tunakuja juu. Inakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....Waafrika tunaongoza kutumia akili zetu kwenye ujinga badala ya kuzitumia kufanyia mambo ya maana.....
Wamesema Coast pia bado, kuna sehemu Coast ilikuwa ya ODM na nasikia nyingine ya Kibaki.
Pia kuna matokeo ambayo hata Mwenyekiti amekubali yamepikwa, sasa kama hayo yamepikwa, ana uhakika gani kama hata hayo mengine hayajapikwa?
Ni kweli lakini majimbo yanayokuja yana kura nyingi za Kibaki, ndio maana nikasema Kibaki anaelekea kushinda.
In fact kura za mwisho walizotangaza, haziko kwenye hiyo jumla. Kwenye namba hizo Kibaki ana zaidi ya laki tatu na Raila ana zaidi kidogo ya 80,000.
Ukijumlisha unakuta Kibaki anaongoza kwa zaidi ya laki mbili.
Tukiambiwa 'Africans are less intelligent', tunakuja juu. Inakuwaje?
Tukiambiwa 'Africans are less intelligent', tunakuja juu. Inakuwaje?
....dawa ni kuondoa kibaki kwa no confidence vote,its clear wamecheza dirty game,na akishinda tuu watamsubiri kwenye house wammwage chini!
....dawa ni kuondoa kibaki kwa no confidence vote,its clear wamecheza dirty game,na akishinda tuu watamsubiri kwenye house wammwage chini!
Baada ya kuanza kutoa kauli hizo na huku akiendelea kutangaza matokeo nilimshangaa sana. Yule anajua nini kinaendelea na PNU wanafanya nini. Nadhani matokeo aliyoyazuia ni yale ambayo waliopiga kura wamekuwa wengi kuliko waliojiandikisha, lakini akasema hawawezi kufuta matokeo ya jimbo zima bali wataangalia vituo kwa vituo, na vilivyo na kasoro watavifuta, je ana uhakika gani hivyo vituo vingine hawakufanya madudu?
Kwanini asiombe zile fomu zilizosainiwa na mawakala wa vyama vyote kuthibitisha matokeo ya kituo? Yaani hapo ndipo nilipouliza huyu jamaa ni mtu wa wapi.
Eti returning officers wamelala mbele na matokeo na simu zao haziko hewani bado utaendelea kuamini matokeo watakayokuletea? Kwanza hao returning officers wanatakiwa kufungwa, kwanini aishie na matokeo ya uchaguzi? Hilo ni kosa linaloweza kuhatarisha vurugu kama ilivyotokea leo. Lakini kwa kuwa kapotea kwa maslahi ya Kibaki hakuna mtu atawauliza hao returning officers!
Aljazeera TV (kiingereza) just now, RAILA anaongoza kwa kura 38,000 ikiwa 86% ya kura zimehesabiwa tayari.
Je wana kura za kutosha kufanya hivyo bungeni? Watahitaji msaada wa Kalonzo. Nafikiri watahitaji wabunge at least 148.
Sheria ya Kenya inasemaje kuhusu vote of no confidence?
Si mnamwona huyo prof. kwenye TV? Anaongea utafikiri hakuna kitu cha ajabu sana kinachotokea. Anacheka kama huo ni mchezo wa wanasiasa, kumbe Kenya yote itaumia.
NASISITIZA HILI: NAIKO NAANGALIA KIVUTI LIVE KWA KTN
1. HAJA TANGAZA KURA ZOZOTE KWA MUDA WA SAA NDIMA IMEYOPITA
1. AMESEMA ZIMESALIA ENEO BUNGE 18 SASA. UPINZANI WAMESEMA HESABU ISIENDELEE MPAKA PALE WALE MAAFISA WANAFIKI WALETWE HAPO KUDHIBITISHA KWANINI HIZI KURA KIBAKI ANAPATA NYINGI SANA KAMA KIVUITU AMEKUBALI ETI MATHIRA CONSTITUENCY KIBAKI KAPATA KURA NYINGI KULIKO NAMBA YA WAPIGAJI KURA WALIOSAJILIWA!
2. ANASIKILIZA HOJA ZA VYAMA ZOTE ZA SIASA HAPO UKUMBINI, PNU NA HATA ODM
3. VIONGOZI WANAMUOMBA AJITOKEZE KAMA STATEMAN NA AKUBALI KENYA IPO HATARINI HIVI SASA
4. ANAOMBA MUDA AFANYA MEETING NA WENZAKE
5. MATOKEO HAYAJATANGAZWA NA ZILE NILIPOSTI HAPO JUU NDIO ZA KUTOKA KWA ECK.
6. TUSUBIRI
7. WACHA NICOMPAILI HII NEWS VIZURI NIWALEETENI
8. NASISITIZA BADO RAILA YUPO MBELE.
10. FUJO IMEISHA UKUMBINI
11. HABARI KUTOKA MASHINANE ( SIZIAMINI) LAKINI NAAMBIWA NA WATU MBALI MBALI MIKOA YA ODM INAJITAYARISHA KWA LOLOTE....MNAJUA NINACHOZUNGUMZIA
12. HII SASA NI MCHEZO WA WANAUME KAMILI, KAPITULA ZIMEKWISHA VALIWA NA SASA UWANJA WA KENYA UTAJUA NANI NI NANI
13. KWA MAONI YANGU JESHI NDIO LITACHUKUA MAMLAKA, KWA MARA YA KWANZA KWA HISTORIA YA KENYA. WATCH THIS SPACE.
well,kupunguza pressure ngoja nisubili final verdict ya hii kitu lakini nipo very dissapointed na this & that thing ambayo its a clear cut wameiba
Tanzanian-Kenyan:
Tunaendelea kukushukuru kwa habari kemkem unazotuletea.
Ujumbe wako huu ni mzito mno. Tunawaombea ndugu zetu wa Kenya mambo yasiende huko ulikokuelezea hapo juu.