Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

ECK wameamua hakuna shughuli tena kwa leo, wanaofuatilia waondoke.

Naona hapo wamegundua kuna matatizo. Labda watakuja na jema.
 
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea nadhani Kenya kutawaka moto. Kibaki anataka kurudisha hii nchi nyuma na east africa kwa ujumla.
 
Siamini yanayotokea Kenya hata kidogo! Hata kama ni kuiba wizi huu ni wa ajabu kabisa. Huu wote ni woga tu, kuna watu waliapa Jaramogi au mluo mwingine yeyote hawezi kuwa Rais wa Kenya. Watamtangaza leo na kuapishwa kesho asubuhi mtaona tu.......


Inashangaza sana
\Mkuu Zitto, heshima mbele, in this hour of dissapointment, unakumbuka wakati umepost kuwa Raila kashinda kuna member alikutahadharisha kuwa 'tusubiri matokeo rasmi ya ECK'...sasa nadhani unaweza kufeel kilichokuwa kinamaanishwa mkuu...bado tuna safari ndefu ya kwenda kufikia demokrasia ya kweli!
 
Siamini yanayotokea Kenya hata kidogo! Hata kama ni kuiba wizi huu ni wa ajabu kabisa. Huu wote ni woga tu, kuna watu waliapa Jaramogi au mluo mwingine yeyote hawezi kuwa Rais wa Kenya. Watamtangaza leo na kuapishwa kesho asubuhi mtaona tu.......


Inashangaza sana

Usishangae zitto, hiyo inaonekana kama kawaida ya waafrika leo hii kuwa kuna watu hata kama wanamchango kiasi gani kwenye maendeleo ya nchi hawawezi kupata nafasi ya kuongoza kwa sababu tu wanatoka katika kabila au dini fulani.

Kibaki atatangazwa kupitia KBC na kesho ataapishwa. Inabidi sasa fight iwe kutunza amani ili kenya isigawanyike maana inaonekana kabisa nyanza na western wanaweza kuunda nchi yao, coast na north eastern nao wakaunda yao, rift vallley is been a country for a while, nairobi itakuwa a no body's country, gema nao watabaki na nchi yao na mzee wao kibaki.

mungu turehemu waafrika, wakati tulizani tuko karibu kuungana kumbe ndio mwanzo tutafika nchi mia maana congo nayo inagawanyika na tanzania inaelekea huko!
 
WAHESHIMIWA,

HIZI HAPA NEWS ZA KUWA KEEP IN TOUCH NA HALI VILE ILIVYO.

1. NATIONAL ELECTION VOTES ZA URAIS: KTN, 3.50PM

1. RAILA - 3, 880, 053
2. KIBAKI - 3, 842, 053

2. INAONEKANA BADO HATA KAMA HAWA WATU WAMEIBA RAILA ANAWEZA SHINDA.

3. WAMEHESABU SASA ZIMEBAKIA ENEO BUNGE 18 PEKEE. ZA HUKO KWA KIKA KIBAKI WAMEMALIZA.

4. HIZI VITI ZIKO KAMA IFUATAVYO: NDANI YA MABANO NIMEWAONYESHA NI NANI ATAIBUKA MSHINDI WA KURA ZA RAIS KWA MAENEO HAYA.

6 constituencies in Ukambani, (Zote kwa Kalonzo)
6 in the Coast, (Raila na Kibaki wakipishana)
2 in Central (Kibaki)
2 in Rift Valley (Raila)
1 in North Eastern (Raila/Kibaki wakipishana padogo)

Kivuiti amekataa kura za eneo moja iitwayo Mathira huko kwa akina Kibaki yaan Central ambako matokeo yalionyesha live kuwa kura kaibiwa eti yakiwa kwenye 115%. kifupi kulikuwa na kura nyingi kuliko hata wapiga kura!

Kivuitu pia amekataa kura za Kamukunji hapa Nairobi. Amesema lazima zitarudiwa baadaye.

MUHIMU: ENEO HIZI MBILI ZINGEMPA RASI KIBAKI KURA NYINGI SANA TAKRIBA 80-130, 000.SASA RAILA AWASHUKURU WENZAKE WALIOKUWA HAPO KICC NA ORENGO JAMES.


TUOMBE MUNGU NA MSHINDI ATAJULIKANA KABLA JOGOO LIWIKE MARA TATU ASUBUHI YA KESHO.

SHUKRAN PIA KWA SHUKRAN ZENU. KUKIHARIBIKA HUKU NAOMBA MNIKODISHIE KACHUMBA KADOGO HAPO SINZA MAPAMBANO. NAJUA NI BEI NAFUU ESP KARIBU NA MEEDA BAR


LINK NYINGINE: http://edition.cnn.com/2007/WORLD/africa/12/29/kenya.vote/index.html

 
ECK wameamua hakuna shughuli tena kwa leo, wanaofuatilia waondoke.

Naona hapo wamegundua kuna matatizo. Labda watakuja na jema.

Wanaenda kuzipika vizuri hizo data ama wanatoa nafasi kwa matokeo ambayo hayajaingia hapo ili wahusika wayafanyie kazi usiku na isije ikawa kama yule aliyekurupuka kuweka idadi ya kura ikawa kubwa kuliko ya waliojiandikisha!

Kivuitu amejiharibia sana, maana ameonyesha wazi kwamba kuna kasoro nyingi sana na yet akaendelea kutangaza matokeo huku akijua wazi kwamba yeye au ECK ikitangaza basi hakuna kutengua labda uende Mahakamani, na huko majaji waliojaa ni wa Kibaki, hakuna haki itatendeka!

Lakini nisimhukumu labda kesho asubuhi watakuja na mpya!
 
ALeqM5gTP8AoU9ak5Ha6c9d_4D7uOBV9cw


ALeqM5jJ25ef8tjgeo6qS9RsNvX3j9tlzw


ALeqM5hQKT-9-Y-9SkTREsWZ93ZpItOF8g



Kenya riots as opposition cries foul over delayed vote count

9 hours ago

NAIROBI (AFP) - Riots broke out Saturday in Nairobi slums and across Kenya as delays in counting presidential votes sparked rigging allegations from opposition supporters, police said.

Opposition leader Raila Odinga had held the lead since vote counting began after Thursday's poll but delays have raised opposition's suspicions that incumbent President Mwai Kibaki's camp may be seeking to rig the results.

"There are riots all over the country, except a few areas, but there is sufficient security to maintain law and order," a top police official told AFP.

In the capital Nairobi, incidents broke out in several slum areas while groups of angry supporters of Odinga's Orange Democratic Movement (ODM) started gathering to form demonstrations.

In western Nyanza province, a man was shot dead following a disagreement in a polling station, police said, bringing to four the number of people killed since the polls opened on Thursday morning.

An AFP correspondent said hundreds of ODM supporters faced off with riot police in the massive Nairobi slum of Kibera on Saturday morning, shouting slogans such as "No Raila, No Kenya!" and "We want our rights!"

As riots erupted, police fired tear gas in a bid to quell fighting between Odinga's Luo and Kibaki's Kikuyu tribes.

"ODM supporters are burning and stealing our property," said Paul Jacob, a Kikuyu resident of Kibera.

"We need security because we know they will return. They have machetes, clubs and they are in their thousands, they almost killed us," said Njoroge Wanyoike, another Kikuyu.

Fears of greater unrest were swelling as clusters of demonstrators regrouped in the back streets around the conference hall in the centre of Nairobi where the presidential votes were being tallied.

"They want to steal votes. They are counting votes from regions favouring Kibaki and then they want to declare him the winner. We do not want violence, we want our rights," said one protester, Peter Oduor.

"We want them to announce the results now. Police are firing tear gas at us yet we have not committed any crime," said Thomas Otieno, another demonstrator.

Odinga's party unilaterally declared victory but Kibaki's camp dismissed the move, saying only the electoral commission could announce the victor.

At a press conference later Saturday, election commission chairman Samuel Kivuitu read out results from a number of constituencies that appeared to largely cancel out Odinga's lead.

The press conference quickly deteriorated into a shouting match between party agents, notably Odinga officials accusing Kibaki's camp of rigging the results.

An AFP correspondent in the western city of Kisumu, an ODM bastion, said angry demonstrators had lit several bonfires, set up rogue roadblocks and started looting shops.

"We are monitoring the situation and we have enough deployment," regional police commander Grace Kaindi told AFP.

Police also fired tear gas at protesters in the western provincial capital Kakamega, the Rift Valley capital city of Nakuru and the western city of Eldoret, witnesses and police said.

"The government went to work last night," Mariam Oduor said in reference to allegations of state-engineered rigging, as she ran away from tear gas in Eldoret.

Polling day was described by several international observer teams, notably from the United States and the European Union, as relatively orderly and generally positive.
 
WAHESHIMIWA,

HIZI HAPA NEWS ZA KUWA KEEP IN TOUCH NA HALI VILE ILIVYO.

1. NATIONAL ELECTION VOTES ZA URAIS: KTN, 3.50PM

1. RAILA - 3, 880, 053
2. KIBAKI - 3, 842, 053

2. INAONEKANA BADO HATA KAMA HAWA WATU WAMEIBA RAILA ANAWEZA SHINDA.

3. WAMEHESABU SASA ZIMEBAKIA ENEO BUNGE 18 PEKEE. ZA HUKO KWA KIKA KIBAKI WAMEMALIZA.

4. HIZI VITI ZIKO KAMA IFUATAVYO: NDANI YA MABANO NIMEWAONYESHA NI NANI ATAIBUKA MSHINDI WA KURA ZA RAIS KWA MAENEO HAYA.

6 constituencies in Ukambani, (Zote kwa Kalonzo)
6 in the Coast, (Raila na Kibaki wakipishana)
2 in Central (Kibaki)
2 in Rift Valley (Raila)
1 in North Eastern (Raila/Kibaki wakipishana padogo)

Kivuiti amekataa kura za eneo moja iitwayo Mathira huko kwa akina Kibaki yaan Central ambako matokeo yalionyesha live kuwa kura kaibiwa eti yakiwa kwenye 115%. kifupi kulikuwa na kura nyingi kuliko hata wapiga kura!

Kivuitu pia amekataa kura za Kamukunji hapa Nairobi. Amesema lazima zitarudiwa baadaye.

MUHIMU: ENEO HIZI MBILI ZINGEMPA RASI KIBAKI KURA NYINGI SANA TAKRIBA 80-130, 000.SASA RAILA AWASHUKURU WENZAKE WALIOKUWA HAPO KICC NA ORENGO JAMES.


TUOMBE MUNGU NA MSHINDI ATAJULIKANA KABLA JOGOO LIWIKE MARA TATU ASUBUHI YA KESHO.

SHUKRAN PIA KWA SHUKRAN ZENU. KUKIHARIBIKA HUKU NAOMBA MNIKODISHIE KACHUMBA KADOGO HAPO SINZA MAPAMBANO. NAJUA NI BEI NAFUU ESP KARIBU NA MEEDA BAR

LINK NYINGINE: http://edition.cnn.com/2007/WORLD/africa/12/29/kenya.vote/index.html



K-T, ur always welcome...feel at home..we are hoping hali haitafika hapo..na ukija, uje kwa wema usije kwa vile kumeharibika huko! keep up this good work
 
\Mkuu Zitto, heshima mbele, in this hour of dissapointment, unakumbuka wakati umepost kuwa Raila kashinda kuna member alikutahadharisha kuwa 'tusubiri matokeo rasmi ya ECK'...sasa nadhani unaweza kufeel kilichokuwa kinamaanishwa mkuu...bado tuna safari ndefu ya kwenda kufikia demokrasia ya kweli!

Unakumbuka mara baada ya kusema hivyo ODM walitangaza ushindi?
 
WAHESHIMIWA,

HIZI HAPA NEWS ZA KUWA KEEP IN TOUCH NA HALI VILE ILIVYO.

1. NATIONAL ELECTION VOTES ZA URAIS: KTN, 3.50PM

1. RAILA - 3, 880, 053
2. KIBAKI - 3, 842, 053

2. INAONEKANA BADO HATA KAMA HAWA WATU WAMEIBA RAILA ANAWEZA SHINDA.

3. WAMEHESABU SASA ZIMEBAKIA ENEO BUNGE 18 PEKEE. ZA HUKO KWA KIKA KIBAKI WAMEMALIZA.

4. HIZI VITI ZIKO KAMA IFUATAVYO: NDANI YA MABANO NIMEWAONYESHA NI NANI ATAIBUKA MSHINDI WA KURA ZA RAIS KWA MAENEO HAYA.

6 constituencies in Ukambani, (Zote kwa Kalonzo)
6 in the Coast, (Raila na Kibaki wakipishana)
2 in Central (Kibaki)
2 in Rift Valley (Raila)
1 in North Eastern (Raila/Kibaki wakipishana padogo)

Kivuiti amekataa kura za eneo moja iitwayo Mathira huko kwa akina Kibaki yaan Central ambako matokeo yalionyesha live kuwa kura kaibiwa eti yakiwa kwenye 115%. kifupi kulikuwa na kura nyingi kuliko hata wapiga kura!

Kivuitu pia amekataa kura za Kamukunji hapa Nairobi. Amesema lazima zitarudiwa baadaye.

MUHIMU: ENEO HIZI MBILI ZINGEMPA RASI KIBAKI KURA NYINGI SANA TAKRIBA 80-130, 000.SASA RAILA AWASHUKURU WENZAKE WALIOKUWA HAPO KICC NA ORENGO JAMES.


TUOMBE MUNGU NA MSHINDI ATAJULIKANA KABLA JOGOO LIWIKE MARA TATU ASUBUHI YA KESHO.

SHUKRAN PIA KWA SHUKRAN ZENU. KUKIHARIBIKA HUKU NAOMBA MNIKODISHIE KACHUMBA KADOGO HAPO SINZA MAPAMBANO. NAJUA NI BEI NAFUU ESP KARIBU NA MEEDA BAR


LINK NYINGINE: http://edition.cnn.com/2007/WORLD/africa/12/29/kenya.vote/index.html


Asante K-T,

ni maombi yetu kuwa kutakuwa na amani huko bila kujali nani atashinda kwa sababu nimesoma story moja ya AP hapa inaonyesha kuwa hata wakikuyu hawako tayari kuona raila anakuwa rais na kama akitangazwa kuwa rais watafanya fujo na sijui nani ana ngvu ya kuwatuliza.

Inaonekana kura zote za wabunge zimehesabiwa au sio? kama ndivyo ODM wamepata viti vingapi? just looking for something to feel good about
 
Hapa kaazi saana,

Tuombee tu amani- yoyote atakayekuwa raisi- Kenya tu isonge mbele as a country!
 
Unakumbuka mara baada ya kusema hivyo ODM walitangaza ushindi?

Yes Mh. Zitto(MB), lakini mamlaka baba!!!ODM hawanayo!! ndio maana mpaka sasa hivi tunakesha tukiomba, wangekuwa na mamlaka kama ECK, tungekuwa mitaani tunaburudika si ndio baba!!!

Mpaka sasa hivi mchezo bado!!! Tunatamani kama ingekuwa mchezo wa Ngumi!!! hata Kibaki akiiba kiasi gani? Tungeshinda angalau kwa point maana kila round sisi tulikuwa mbele raundi za mwisho ambazo ni chache tu ndio tu Kibaki amepata point!!!🙁

Hata mpaka sasa hivi tunaposema usemi huo wa ODM umesha-cost mali za Watu!!! tuombe Mungu ODM wapewe haki yao,,, maana hakuna namna yoyote matokeo ya Kamkunji kuchukua Siku tatu kufika KICC
 
Afrika inabidi tuwasifu sana viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani, wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana.

Inabidi vijana kukataa hizi vurugu za wizi wa kura kama tunavyopinga ufisadi.

Inatia aibu kweli kweli.

Nilitegemea ningejifunza kitu hapa lakini nimeishia kuwa dissapointed.

Mungu ibariki Afrika.
 
Yes Mh. Zitto(MB), lakini mamlaka baba!!!ODM hawanayo!! ndio maana mpaka sasa hivi tunakesha tukiomba, wangekuwa na mamlaka kama ECK, tungekuwa mitaani tunaburudika si ndio baba!!!

Mpaka sasa hivi mchezo bado!!! Tunatamani kama ingekuwa mchezo wa Ngumi!!! hata Kibaki akiiba kiasi gani? Tungeshinda angalau kwa point maana kila round sisi tulikuwa mbele raundi za mwisho ambazo ni chache tu ndio tu Kibaki amepata point!!!🙁

Nakubaliana nawe. Niliwamegea kile ambacho niliambiwa na sikuona vibaya. Nikawapa tahadhari pia. Muda mfupi baadae ODM wakasema nilichosema. Tatizo ndio hili MAMLAKA.......
 
Yes Mh. Zitto(MB), lakini mamlaka baba!!!ODM hawanayo!! ndio maana mpaka sasa hivi tunakesha tukiomba, wangekuwa na mamlaka kama ECK, tungekuwa mitaani tunaburudika si ndio baba!!!

Mpaka sasa hivi mchezo bado!!! Tunatamani kama ingekuwa mchezo wa Ngumi!!! hata Kibaki akiiba kiasi gani? Tungeshinda angalau kwa point maana kila round sisi tulikuwa mbele raundi za mwisho ambazo ni chache tu ndio tu Kibaki amepata point!!!🙁

Ni kweli kabisa kwani from the beginning tulishaona kuwa watz tuna cha kujifunza toka Kenya kwani ODM walikuwa wanafanya vizuri sana kwenye u-Rais na wabunge lakini trend inavyoendelea hakuna tofauti na Tz kwani votes za kupikwa ndo zinaanza kujitokeza. Na hapa utaona kuwa waafrika wengi tuko creative kwenye dubious deals tu lakini sio maendeleo.
 
Hivi nikumbusheni ile Taasisi ya Mwl. Nyerere si ilikuwa iwe na mafunzo ya wanasiasa wa Afrikaa kuhusu mambo ya maridhiano?,,, kwa maoni yangu yangewapika viongozi wa siasa wa Afrika wawe tayari kuachia madaraka pale wananchi wanavyopenda iwe hivyo, je walifikia wapi? au bichwa langu linanidanganya hapakuwa na kitu kama hiki?

Somo hilo probably lingekuwa la lazima kwa viongozi wakuu wa vyama vya upinzani na tawala hapa Afrika, ingeweza sana kuwatayarisha watu kupokea matokea... si unajua hata matokeo ya vipimo vya VVU/HIV unaandaliwa kwanza kupokea matokeo!!! iliusije kujiua kabla hata hujajua kumbe haukuwa na VVU!
 
Back
Top Bottom