Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

Naweza kusema kuwa hadi sasa, licha ya matatizo yaliyoripotiwa, wakenya wametufundisha somo zuri sana, democracy, perseverence, commitment, upholding of principles, tolerance, defence of national interests na mengine mengi. Maana bila hayo, ungetumika tu ubabe kutangaza mshindi ingekuwa fujo kubwa zaidi ya hizo tunazosikia. Tume ingekuwa kama ile ya Zanzibar, kingekuwa kiama. Tunawaombea kwa Mungu, jitahidini kuwa wavumilivu na watulivu zaidi, hao wanaopitia upya hiyo hesabu wafanye kazi yao kwa makini, naamini hakuna wa kununuliwa huko. Kila la heri ndugu zetu.
 
Kenyan-Tanzanian,
Msikate tamaa. Kazi mliyofanya ni kubwa sana. Hata kama Kibaki atafanikiwa sasa kuiba kura imeshajulikana kuwa njama za uovu zimefanyika. Kibaki will not be able to rule the country. Anachofanya hivi sasa ni kulinda ufisadi tu nna status quo ambao raia kwa mamilioni wamesema wamechoka nayo.
 
Kithuku:
Sioni somo hapa.
Mambo yangeendelea kwa mkondo wake wa kawaida, na matokeo kutangazwa bila ya haya yaliyojili, hapo labda ningekubaliana nawe kutoa sifa hizo ulizomimina. Pamoja na hayo, bado sikubaliani na tabia ya kuuana kila panapokuwepo na uchaguzi kama huu. Waache kuuana kwa sababu za kisiasa, hapo tutawakubali kuwa mfano wa kuigwa.

How low do we have to go to stop proclaiming ourselves as models for everyone else?
 
angalau wenzetu wakenya can do something like this sio kina sie kila siku na kila jimbo kidumu chama cha mafisadi tuu hatuna hata mawazo ya kujenga upinzani wa nguvu na vyama vyetu navyo vipate somo
 
Kithuku:
Sioni somo hapa.
Mambo yangeendelea kwa mkondo wake wa kawaida, na matokeo kutangazwa bila ya haya yaliyojili, hapo labda ningekubaliana nawe kutoa sifa hizo ulizomimina. Pamoja na hayo, bado sikubaliani na tabia ya kuuana kila panapokuwepo na uchaguzi kama huu. Waache kuuana kwa sababu za kisiasa, hapo tutawakubali kuwa mfano wa kuigwa.

How low do we have to go to stop proclaiming ourselves as models for everyone else?

Kalamu,
Usidhani kuwa watu huwa wanapenda kufanya fujo tu eti kwa sababu wanapenda.Hawa watu wanaelekea kuchoshwa na umasikini wa kupindukia,rushwa,kunyinywa haki zao za msingi,uonevu,unyanyasaji na kadhalika.Hivyo wanapoona mtu au kiongozi au serikali inawanyima sauti yao kupitia sanduku la kura huwa hawana namna isipokuwa kumalizia hasira zao kwa njia mbadala.

-Wembe
 
Hata kama Kibaki akishinda kwa wizi, lakini a very STRONG message has been sent already!!! i can guarantee you, sisiem saa hii wanakuna vichwa kutafuta formula ya kuchomokea incase wanakutwa na tsunami la mabadiliko kwa ballot box kama hili la next door........hii lakini ni aibu kuu!!!!!.


i profusely agree with you, but the purpose of this elections is not to send a message but to put ODM in power. we have to fight till the end " AMANI HAIJI BILA NCHA YA UPANGA" Raila must win ama we will let down our country. our fathers fought for independence in the 60s for our freedom, and we will fight once more against mafisadi kama Kibaki


MY RESPECT GOES TO KENYAN-TANZANIA
 
WAHESHIMIWA,

HIZI HAPA NEWS ZA KUWA KEEP IN TOUCH NA HALI VILE ILIVYO.

1. NATIONAL ELECTION VOTES ZA URAIS: KTN, 3.50PM

1. RAILA - 3, 880, 053
2. KIBAKI - 3, 842, 053

2. INAONEKANA BADO HATA KAMA HAWA WATU WAMEIBA RAILA ANAWEZA SHINDA.

3. WAMEHESABU SASA ZIMEBAKIA ENEO BUNGE 18 PEKEE. ZA HUKO KWA KIKA KIBAKI WAMEMALIZA.

4. HIZI VITI ZIKO KAMA IFUATAVYO: NDANI YA MABANO NIMEWAONYESHA NI NANI ATAIBUKA MSHINDI WA KURA ZA RAIS KWA MAENEO HAYA.

6 constituencies in Ukambani, (Zote kwa Kalonzo)
6 in the Coast, (Raila na Kibaki wakipishana)
2 in Central (Kibaki)
2 in Rift Valley (Raila)
1 in North Eastern (Raila/Kibaki wakipishana padogo)

Kivuiti amekataa kura za eneo moja iitwayo Mathira huko kwa akina Kibaki yaan Central ambako matokeo yalionyesha live kuwa kura kaibiwa eti yakiwa kwenye 115%. kifupi kulikuwa na kura nyingi kuliko hata wapiga kura!

Kivuitu pia amekataa kura za Kamukunji hapa Nairobi. Amesema lazima zitarudiwa baadaye.

MUHIMU: ENEO HIZI MBILI ZINGEMPA RASI KIBAKI KURA NYINGI SANA TAKRIBA 80-130, 000.SASA RAILA AWASHUKURU WENZAKE WALIOKUWA HAPO KICC NA ORENGO JAMES.


Kwanza hizo kura zinachekesha, haiwezekani tarakimu za mwisho zikawa 53 hii inadhihirisha wazi kabisa kuwa ni tarakimu za kupikwa. Kuna mtu amenipigia simu kuniuliza, "Eti kaka nasikia CCM wametuma watu wao Kenya kwenda kusaidia kuiba kura? Nimesikia hivyo na ndio maana TVT sasa wanaanza kuonyesha" nikamwambia sina hakika ngoja nifuatilie, maana Watanzania kwa kubuni ni wakali, waliwahi hata kusema kwamba CCM ilituma watu katika uchaguzi wa Marekani kumsaidia Bush kuiba kura. Niliona ni changamsha bongo lakini jambo la msingi ni kwamba mashabiki wa Kibaki ndio wasiotaka kabisa mabadiliko.

Jambo la pili na muhimu ni hayo majimbo ambayo yamecheleweshwa makusudi ili kumpa ushindi Kibaki. Nadhani ndio walichelewesha makusudi na kama hivyo ndivyo na kama walijiandaa itakua vigumu hata wakihakiki namna gani wataonekana wameshinda tu kina Kibaki maana huo upishi umefanywa kwa muda mrefu
 
Kithuku:
Sioni somo hapa.
Mambo yangeendelea kwa mkondo wake wa kawaida, na matokeo kutangazwa bila ya haya yaliyojili, hapo labda ningekubaliana nawe kutoa sifa hizo ulizomimina. Pamoja na hayo, bado sikubaliani na tabia ya kuuana kila panapokuwepo na uchaguzi kama huu. Waache kuuana kwa sababu za kisiasa, hapo tutawakubali kuwa mfano wa kuigwa.

How low do we have to go to stop proclaiming ourselves as models for everyone else?

Ninachowasifu mimi ni jinsi walivyoshughulikia hayo matatizo yaliyojitokeza bila kuburuzwa na serikali, na pia jinsi wanaodhulumiwa walivyofanya jitihada ya kujaribu kuzuia fujo (ingawa bado zimetokea, nahisi zingekuwa zaidi kama wasingejitahidi). Kwamba kulikuwa na jitihada za wazi za kuiba kura, na hapohapo jitihada za wazi za kupambana na hali hiyo, wanastahili sifa. Maana wangenyamaza tu halafu mwishowe wakasema wameibiwa, tungekuja na msemo wa kiswahili wa "mbaazi kukosa maua na kusingizia jua". Lakini wamepambana kiume, ndio perseverence ninayozungumzia. Tume ya Uchaguzi imewasikiliza wadau na kuridhia hesabu ipitiwe upya usiku huu, hapo ndipo nilipowasifu kwa kuweka maslahi ya taifa mbele, maana tume hiyohiyo inayo madaraka ya kutangaza matokeo iliyoyapata, lakini wametumia busara na kuamua kuachana na ubabe (kama ule ambao huwa unatokea Zanzibar).

Na zaidi ya hayo yaliyotokea katika siku hizi mbili za mwishoni, maandalizi ya uchaguzi huu tokea awali yalikuwa mazuri. Na hata mbinu chafu zilipojaribiwa, wamechukua hatua za kuzishughulikia badala tu ya kutangaza matokeo kibabe. Ndio msingi wa sifa nilizowamiminia wadau wa uchaguzi wa Kenya. Nadhani ni case study nzuri kwa watu wa East Africa kwa ujumla, hivyo nahimiza wasomi waifanyie critical appraisal na kuandika kitabu au vitabu waweke kwenye maktaba zetu, twaweza kutumia kuimarisha mifumo ya kidemokrasia Afrika Mashariki and beyond. Kwa haraka haraka hapo naona thesis topics karibu 5 za political anthropology (MA na hata PhD).
 
Kalamu,
Usidhani kuwa watu huwa wanapenda kufanya fujo tu eti kwa sababu wanapenda.Hawa watu wanaelekea kuchoshwa na umasikini wa kupindukia,rushwa,kunyinywa haki zao za msingi,uonevu,unyanyasaji na kadhalika.Hivyo wanapoona mtu au kiongozi au serikali inawanyima sauti yao kupitia sanduku la kura huwa hawana namna isipokuwa kumalizia hasira zao kwa njia mbadala.

-Wembe
Wembe:
Kuna msingi wa mimi kukubaliana na wewe katika haya uliyoyaandika hapa. Panapokuwepo na maonevu na kunyimwa haki; kwa vyovyote, 'all means necessary' have to come into play. But this needs to be appropriately coordinated and channeled properly to where they have the maximum impact.

Vurugu za ku-victimize 'waonewa' wengine hazileti tija.
 
Kithuku:

How low do we have to go to stop proclaiming ourselves as models for everyone else?


Because we are not! Model for what: cowardice, hypocrisy, ignorance of our civil rights, disinterestdneness on national matters/interests, fear of CCM and its leaders rather than God, vote rigging and raping or what? Give us a break; I understand your patriotic sentiments, but kaka we are the worst examples of democracy in the region; tena tupo hata nyuma ya Museveni na Uganda yake!
 
Ninachowasifu mimi ni jinsi walivyoshughulikia hayo matatizo yaliyojitokeza bila kuburuzwa na serikali, na pia jinsi wanaodhulumiwa walivyofanya jitihada ya kujaribu kuzuia fujo (ingawa bado zimetokea, nahisi zingekuwa zaidi kama wasingejitahidi). Kwamba kulikuwa na jitihada za wazi za kuiba kura, na hapohapo jitihada za wazi za kupambana na hali hiyo, wanastahili sifa. Maana wangenyamaza tu halafu mwishowe wakasema wameibiwa, tungekuja na msemo wa kiswahili wa "mbaazi kukosa maua na kusingizia jua". Lakini wamepambana kiume, ndio perseverence ninayozungumzia. Tume ya Uchaguzi imewasikiliza wadau na kuridhia hesabu ipitiwe upya usiku huu, hapo ndipo nilipowasifu kwa kuweka maslahi ya taifa mbele, maana tume hiyohiyo inayo madaraka ya kutangaza matokeo iliyoyapata, lakini wametumia busara na kuamua kuachana na ubabe (kama ule ambao huwa unatokea Zanzibar).

Na zaidi ya hayo yaliyotokea katika siku hizi mbili za mwishoni, maandalizi ya uchaguzi huu tokea awali yalikuwa mazuri. Na hata mbinu chafu zilipojaribiwa, wamechukua hatua za kuzishughulikia badala tu ya kutangaza matokeo kibabe. Ndio msingi wa sifa nilizowamiminia wadau wa uchaguzi wa Kenya.

Kithuku:
Sifa anazistahili Kivuitu, vinginevyo wakati huu tungekuwa tunazungumza mengine kabisa.
 
Because we are not! Model for what: cowardice, hypocrisy, ignorance of our civil rights, disinterestdneness on national matters/interests, fear of CCM and its leaders rather than God, vote rigging and raping or what? Give us a break; I understand your patriotic sentiments, but kaka we are the worst examples of democracy in the region; tena tupo hata nyuma ya Museveni na Uganda yake!

And you totally missed the point Kitila.

I think you are being frustrated by the system. Take time out. Figure out how best to overcome what is stopping the changes everyone desires. It ain't gonna help by blaming everyone, except ourselves for not being capable to bring the desired changes.

I regard you to be a level headed individual, going by your opinions in this JF; but you're increasingly becoming shrill lately.
 
Nimejifunza mbinu za kisanyasi zinazotumiwa na ODM na Raila Team, uchaguzi kama huu ZNZ, Maalim Seif angekuwa ameshasabibisha watu wote wako mitaani sasa, lakini angalia utaifa na mbinu ODM wanazoonyesha ambazo zinaepusha madhara zaidi!
 
Waheshimiwa mimi ndio naama saa hizi kama 12:30 hapa Bongo, sifa nyingi tele zikufikie Kenyan Tanzania kwa kutuhabarisha kuhusu maendeleo ya uchaguzi na juhudi za kujaribu kuiba kura, tunaendelea kufuatilia we are hoping kusikia Raila anatangazwa kuwa Rais wizi umegundulika tayari. Lakini kuna lingine tunajifunza Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Kenya kweli ni mtu safi. Sijui kama Judge Lewis Makame anafuatilia anayofanya huyo mtu, au ndio anamuona mjinga. Tanzania wizi wa kura na rushwa ni jambo la kawaida sana, sasa sijui kama kuna kitu tumejifunza hapa au bado!
 
Mh Zitto Kabwe(MB)
Kuna swali moja zuri sana umeulizwa, naamini wewe unajua nguvu ya IT katika kufuchua uchafu unaofanywa na serikali, huko Bungeni mnafanya nini kuhakikisha kuwa na watanzania wanafikia level ya Rwanda au Kenya kwenye mambo ya IT.
Tawala zote zenye tendecies za Kidikteta cha kwanza zinazopinga ni wanachi kupata habari, kama Tanzania utaona kabisa magaezeti kama "Kandanda kitandani", "udaku" hayasumbuliwi sana lakini magazeti makini kama Rai,Kulikoni serikali inayachachafya sana, sasa nyie wabunge(nina hakika wewe unajua umuhimu wa hili) mnafanya nini, kuwasaidia watanzania kupata internet access kiuruhisi na kwa gharama nafuu. Mimi kusema kweli huwa roho inaniuma sana ninapolipia internet, wenzetu nchi nyingine wanalipia dola 10, kwa mwezi huduma 24/7. Kenya It imeonesha makeke yake kwenye uchaguzi, tuambie juhudi zenu. Maana tumesikia hata baadhi yenu yaani nyie waheshimiwa hata kutumia computer, leave alone internet hamjui. Unaweza kutuambia huku tukiendelea kusubiri matokeo haya ya Kenya.
 
Iwapo Mwai Kibaki akitangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi huu basi ile mbegu ya demokrasi halisi ambayo wananchi wa Kenya walianza kupanda kwenye eneo letu la Afrika Mashariki itakufa.

East Africa kutatokea Iddi Amini mwingine muda si Mrefu na huyu atakuwa KIbaki,

Kutoheshimu Demokrasia ndio mwanzo wa udikteta
 
K-T,
mpaka sasa kuna mpya yoyote? vipi ile kazi ya kuhakiki kura za urais kwenye maeneo bunge ambayo yalikuwa na utata, imekwisha?

eti na PNU nao pasipo aibu wanadai kwamba kwenye baadhi ya maeneo bunge kulikuwa na wizi wa kura wakati wao wameshikilia kila kitu. hivi kweli mgombea wa serikali iliyomadarakani anaweza kuibiwa kura????????????????
 
Mh Zitto Kabwe(MB)
Kuna swali moja zuri sana umeulizwa, naamini wewe unajua nguvu ya IT katika kufuchua uchafu unaofanywa na serikali, huko Bungeni mnafanya nini kuhakikisha kuwa na watanzania wanafikia level ya Rwanda au Kenya kwenye mambo ya IT.
Tawala zote zenye tendecies za Kidikteta cha kwanza zinazopinga ni wanachi kupata habari, kama Tanzania utaona kabisa magaezeti kama "Kandanda kitandani", "udaku" hayasumbuliwi sana lakini magazeti makini kama Rai,Kulikoni serikali inayachachafya sana, sasa nyie wabunge(nina hakika wewe unajua umuhimu wa hili) mnafanya nini, kuwasaidia watanzania kupata internet access kiuruhisi na kwa gharama nafuu. Mimi kusema kweli huwa roho inaniuma sana ninapolipia internet, wenzetu nchi nyingine wanalipia dola 10, kwa mwezi huduma 24/7. Kenya It imeonesha makeke yake kwenye uchaguzi, tuambie juhudi zenu. Maana tumesikia hata baadhi yenu yaani nyie waheshimiwa hata kutumia computer, leave alone internet hamjui. Unaweza kutuambia huku tukiendelea kusubiri matokeo haya ya Kenya.

Kwa kweli hakuna mpango wowote kwa sasa. Sera ya ICT ambayo iliandikwa na sekta binafsi wakati Mwandosya ni Waziri ni nzuri sana lakini haitekelezwi. Unajua Bunge letu ni la ajabu sana, kuna wabunge hawajui hata kutumia computer. Spika aliwalipia intriductory course, wachache sana walijitokeza. Sasa unapokuwa na Bunge kama hilo ni ngumu sana kuwa na utekelezaji wa sera na IT kukua.

Rwanda ndio inalead katika Afrika now. Wametekeleza E-government na niliambiwa na mmoja wa wabunge wa huko kuwa hata Order paper (mpangilio wa shughuli za Bunge) wabunge hutumiwa by emails midnight na hivyo wabunge wanakuja Bungeni wanajua kazi ya siku hiyo. Sisi huku unajua siku hiyohiyo wakati unaingia Bungeni.

Hata hivyo kuna wabunge kadhaa ambao ni exposed sana, wa pande zote CCM na Upinzani, na ajenda hii tukiijadili vema tunaweza kuiga toka Rwanda. Spika na wabunge wawili akiwemo Mhe. Balozi Kagasheki na Lucy Owenya walienda Rwanda. Ngoja tutacheki ripoti yao.
 
K-T,
mpaka sasa kuna mpya yoyote? vipi ile kazi ya kuhakiki kura za urais kwenye maeneo bunge ambayo yalikuwa na utata, imekwisha?

eti na PNU nao pasipo aibu wanadai kwamba kwenye baadhi ya maeneo bunge kulikuwa na wizi wa kura wakati wao wameshikilia kila kitu. hivi kweli mgombea wa serikali iliyomadarakani anaweza kuibiwa kura????????????????

Mmmmm, hawa jamaa inaonesha wamefanikiwa kuiba uchaguzi huu. Soon watamtangaza Kibaki kuwa mshindi. Kufuatia kauli za Mutula Kilonzo inaonesha dhahiri kabisa kuwa ODM-K ipo na kina Kibaki na kwa vyovyote vile watakuwa wamemuahidi Kalonzo Umakamu wa Rais ili awe nao now. Hebua angalia jana pale ECK, wakubwa wote wa ODM walikuwapo. Big names kweli kweli. Lakini upande wa PNU kabaki martha karua na Mungatana tu. Wengine wote wananchi wamewapa habari yao majimboni. Matokeo yake ni Mutula Kilonzo kuwasaidia. Siasa kitu cha ajabu sana. Power jamani. Mtaona tu ODM-K na vyama vidogovidogo vyote vitakuwa upande wa serikali dhidi ya ODM, dhidi ya wakenya walio wengi
 
Kwa kweli hakuna mpango wowote kwa sasa. Sera ya ICT ambayo iliandikwa na sekta binafsi wakati Mwandosya ni Waziri ni nzuri sana lakini haitekelezwi. Unajua Bunge letu ni la ajabu sana, kuna wabunge hawajui hata kutumia computer. Spika aliwalipia intriductory course, wachache sana walijitokeza. Sasa unapokuwa na Bunge kama hilo ni ngumu sana kuwa na utekelezaji wa sera na IT kukua.

Rwanda ndio inalead katika Afrika now. Wametekeleza E-government na niliambiwa na mmoja wa wabunge wa huko kuwa hata Order paper (mpangilio wa shughuli za Bunge) wabunge hutumiwa by emails midnight na hivyo wabunge wanakuja Bungeni wanajua kazi ya siku hiyo. Sisi huku unajua siku hiyohiyo wakati unaingia Bungeni.

Hata hivyo kuna wabunge kadhaa ambao ni exposed sana, wa pande zote CCM na Upinzani, na ajenda hii tukiijadili vema tunaweza kuiga toka Rwanda. Spika na wabunge wawili akiwemo Mhe. Balozi Kagasheki na Lucy Owenya walienda Rwanda. Ngoja tutacheki ripoti yao.

Mweshimiwa Zitto

Tanzania inafurahisha sana wametuma wabunge kwenda kujifunza Rwanda mambo ya ICT.

ICT ya Rwanda imesimamiwa na Kagame mwenyewe wakati huohuo waliokuwa wanamfundisha Kagame ni wataalamu kutoka Tanzania.

Sasa ambacho sikielewi tunashindwaje kuwatumia hao wataalamu wetu sasa wamefundisha/wamesaidia Rwanda halafu tunaenda kujifunza huko?
 
Back
Top Bottom