TanzActive
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 367
- 73
jamani Kumbe Haki lazima uichuchumile !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKWELI MTUPU MH. ZITTO (MB) MTU ANAWEZA SEMA WEWE UMEIELEWA SIASA YA KENYA KINDANI. HIVI NDIVYO MAMBO YATAKAVYOKUWA. FROM NOW ONWARDS TUNAINGIA KATIKA KIPINDI KIGUMU SIO MCHEZO. AND TUSISAHAU KWAMBA RAILA NI SUNGURA MJANJA HATUJUI PLAN B AMBAYE AKO NAYO AKILINI AKIIBIWA UHALALI WAKE KUWA RAIS WA NNE WA KENYA...RAILA IS RAILA WAKENYA HUSEMA....
Zitto hata watanzani tunahitaji mabadiliko,la msingi ni kuhakisha opposition mnaungana alafu muondoe ubinafsi kisha mtuletee mtu mwenye nguvu na ushawishi(ungekuwa 40 u could do) na tupige kampeni ya kufa mtu
Wakenya andamaneni kwa amani mpaka muipate haki yenu.UKRAINE ndivyo walivyofanya mpaka kikaeleweka why not you guys?..malalamiko hayawezi kuwaletea haki zenu.
-Wembe
We are keeping our fingers crossed Kibaki akubali lawama na aibu kwa sasa kuliko fedheha siku zijazo kwa kung'ang'ani urais
Are we saying that he is doing worse than KANU did during change of power in 2002?
VIDEO YA JANA ADHUHURI IKIMUONYESHA DR. HENRY KOSGEY AKIMULILIA ECK CHAIRMAN SAMUEL KIVUITI ASIMAMISHE HESABU ZA KURA ZA MABOX YALIYOIBIWA NA SERIKALI YA MWAI KIBAKI NA PNU USIKU WA JUZI.
KOSGEY NDIE CHAIRMAN RASMI WA ORANGE DEMOCRATIC MOVEMENT (ODM) ILIYOMSIMAMISHA RAILA ODINGA KAMA MGOMBEA URAIS WAO. RAILA AMESHINDA ILA STATE HOUSE IMEKATAA KUWACHA HATAMU ZA UONGOZI. STALEMATE
TUNASUBIRI KICC
http://www.youtube.com/watch?v=fJMFjKk9GKk
DU! HAYO MATOKEO MNAPIKA MNOOOOO!!!, MBONA HAMTOI, MWISHOWE MTAISHIA KUSEMA KALONZO NDIO MSHINDI NA KWAMBA NDIYE RAIS WA AWAMU YA NNE!!!
kwi kwi kwi!!!
Kilitime,
Subiri, matokeo hayajaiva, yakiiva, watatoa.
Afrika tuna safari ndefu mno. Tegemea 2010, CCM kuyapika ya kwetu kwa kutumia mkaa wa mawe.
Labda tuanze kutumia bakora kuwaondoa madarakani.