Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

Nadhani hii ni aibu ya mwaka na kuna Mengi yanafichwa ndio maana wanataka kumuapisha rais haraka haraka. Tusibiri another Ruanda beeing created soon
 
Hii ya Kenya ni ya Karne!
ODM anawabunge over 100, kibaki hata 40 hawafiki, yet yeye ndo aapishwe kuwa raisi?? nimechoka kwakweli wacha watu wajilipue tu!
 
Nasikia Nairobi hakuna movement, watu wako ndani barabara zimepooza kabisa, wanajeshi na polisi ndio wanaotembea mitaani katika mitaa ya miji yote mikuu ya Kenya. Si dalili nzuri hata kidogo
 
Huyu mtangazaji wa TVT ananipa raha kwelikweli anaposema leo iwe iwavyo lazima "ATANGAZWE"
 
Ningekuwa mimi Kikwete kama nimepewa mwaliko nisingeenda maana mwisho wake haujulikani na kama ni violent zinaweza kuwa ndio zimepamba moto mtu unaweza kwenda na usirudi kwa jinsi watu walivyo determined kukabiliana na kama baadhi ya picha zinavyoonekana (visu, panga, rungu, mishale, n.k) huwezi jua wakifanikiwa kuwateka baaadhi ya askari watachukua silaha so naweza sema kiusalama kwa sasa Kenya is not safe.

Sijui kama na overestimate security concern, lakini kama ECK isipokuwa makini Genocide/massacre na hata assisnation itatokea
 
TVT wanasema je, asipotangazwa Rais itakuaje? maana Kibaki muda wake unaisha leo.... Ulinzi ni mkubwa haijawahi kutokea tokea Uhuru, wanakumbuka jaribio la Mapinduzi ya 1982, unafanana na ulinzi wa jaribio la mapinduzi. Kuna mtu kutoka Nairobi anasema inawezekana hata kuna majeshi kutoka nje ya Kenya

WAKUU

BADO TUKO KICC TUNASUBIRI

NILIVYOSEMA ASUBUHI HATUNGOJE TENA HESABU ILA UAMUZI NI NANI KASHINDA

NI WAZI KWAMBA WAKENYA WAPENDE WASIPENDE AKINA KIBAKI WATAMTANGAZA KIBAKI KAMA RAIS WA KENYA NA WAKENYA WAKISEMA WAMEKATAA BASI POLISI NA JESHI ITAWACHILIWA IFFANYE USALAMA KWA NGUVU

ODM WAMESEMA HAWATAKUBALI KAMWE MATOKEO HAYO

PNU WAMEJIBU KWAMBA WAKENYA WASUBIRI KUAPISHWA KWA KIBAKI MDA SIO MREFU TOKA SASA

TUNAAMBIWA BADO ECK WAPO KWENYE MKUTANO

DURU ZINAZIDI KUSEMA KWAMBA WAKENYA WAMEESUBIRI MPAKA NCHI NZIMA SASA KUNA TEMPERATURE ZA JUU SANA

MUHIMU
:

WATAALAMU NA WANASHERIA SASA WAMETOA LAO PIA

1. KIBAKI ALIAPISHWA KAMA RAIS KISHERIA ON 30TH DECEMBER 2002
2. KATIBA YA KENYA INASEMA URAIS WAKE ULIISHA 29/12/2007 (JANA)
3. HII INA MAANA TATU:
A) KIKATIBA URAIS WA KIBAKI ULIISHA JANA
B) KIKATIBA KENYA HAINA RAIS NA KIBAKI YUKO IKULU KIJINAI
C) KUTATOKEA SHIDA NYINGI ZA KIKATIBA KADRI ECK WANAVYOZIDI
KUCHELEWA NA HII YOTE ITS JUST BECAUSE OF POWER NA TAMAA YA POWER YA KINA KIBAKI NA SERIKALI YAKE ILIYOKATALIWA NA KENYANS KIKURA.

MAONI YANGU:

KIVUITU CAN CANCEL THE WHOLE ELECTORAL PROCESS NA ASEME KUFANYIKE ZINGINE UPYA AU JEMEDARI WA MAJESHI YA KENYA ACHUKUE UTAWALA MPAKA HAWA WANASIASA WA PNU WAKUBALI ZIHESABIWE KURA ZOTE UPYA EVEN IF THIS CAN TAKE A WEEK


BRITAIN IMEKATAA KURA ZA ECK NA KUSEMA RASMI KWAMBA RESULTS ZOTE ZITAKIZOTANGAZWA LAZIMA ZI RESPECT UAMUZI WA WANANCHI WALIOWENGI. UK IMESEMA KWAMBA KUANGUSHWA KWA VP NA BARAZA LA MAWAZIRI 25 WA KIBAKI ILIKUWA KURA YA KUTOKUA NA IMANI NA SERIKALI HIO. HII POSISHEN YAO NI NZURI BECAUSE HATA KIBAKI AKITAWAZWA UK HAITAMPATIA HELA NA SERIKALI ITAZIDI KUCHUKIWA NA WAKENYA.

TUNAZIDI KUSUBIRI HUKU LAKINI TUNAANZA KUCHOKA. GIZA IKIINGIA USIKU WA LEO VITA NYINGI ZITAINGIA NCHINI TENA KAMA JANA.
 
Mungu ibariki Kenya, wape chembe ya hekima mafisadi wakubali mwisho wao hauhailishiki. Na saa yao imegonga kengele Afrika Mashariki kuanzia Kenya kisha Tanzania .....

Umtume Roho wako ailinde Kenya kama afanyavyo hapa Jimbo la Bukoba Mjini. Mjalie Raila uvumilivu kama wa Alfredy Muganyizi Rwakatare (CUF) Akishinda kwa kura na akashindwa kutangazwa aende Mahakamani. Na huko akidhurumiwa aendelee kuwapa matumaini wakenya kama afanyavyo Rwakatare.

Sasa na saa ya kudhulimwa na kufa kwa walalahoi, wapigania maendeleo ya kweli, NASOTE TUSEME AMEN!
 
One western diplomat was saying that he was hoping that the results are not close.Now I understand what he meant.Whichever way the results turns, Kenya just delved into a lower depth in division.We are witnessing a momentous and potentially explosive period that is dividing Kenya along political lines forever (More than Bush-Gore divided America further into blue-red states)

This election may do more damage than another Kibaki term, and considerably less good than a Raila term.

Kenya asunder, peace goes under
What a calamity and political blunder
Kibaki plunders,Raila flounders
Pure machinations and propaganda
People in dander,leaders maunder
Makes me wonder if a clash abounds us!
 
Kuna kila dalili kwamba Kibaki atatangazwa kuwa Rais... hali ya ulinzi na mambo yalivyo yanaonyesha wamejiandaa kutangaza kura za wizi.. Inawezekana ndugu yetu K-T anakusanya data ama yumo katika mikakati ya kulinda ushindi wa UMMA

NILIKUWA NA SIKIZA PRESS CONFERENCE YA CONSTITUTIONAL LAWYERS WAMEOELEZA TAIFA KWAMBA PRESIDENTIAL TERM YA KIBAKI ILIISHA JANA NA SASA LAZIMA RAIS ATANGAZWE AU ................
 
Huu wimbo wa Mungu Ibariki Afrika Mashariki wanipa swali moja. Kama hii ndiyo stahili ya kuingia/kubaki madarakani ya viongozi wa nchi za umoja wa Afrika Mashariki. Na kila mara wamekuwa wanabadilishana ujuzi wa kuiba kura na mamboa kadha wa kadha ya jinsi ya kuendeleza udhalimu. Nakumbuka enzi za Moi Tanzania imewahi kutuma wajumbe kenya kwenda kujifunza jinsi ya kuiba kura. This time Kenya wamejifunza Zanzibar jinsi ya kuhesabu kura na staili ya kutangaza matokeo.

Sasa Je, hawa wadhalimu watakapokutana katika mchakato wa kutafuta Kiongozi wa Jumuhiya unafikiri nani atamfundisha mwenzie ushindi unapatikanaje?
 
Inawezekan security ni maslahi ya pande zote maana hata Kibaki na wenzie wansupporters ambao hawampendi Raila so bothe scenario inawezekana kulindwa. Je Raila amewekewa na yeye ulinzi wa kutosha?

RAILA HUWA ANA BODYGUARDS WAKE. HUYU JAMAA NI STAILI YA ZUMA WA USAUZI. NI MTU WA WATU. HATA WAKATAKA KUMUUA WANANCHI WASIO HATA WA KABILA YAKE KAMA VILE WALUHYA, WAKALENJIN, WASWAHILI AU HATA WASOMALI NA WAMASAI WATAAMUA WAKUFE HAO KWANZA NDIO AFE YEYE. MIMI NIKIWA MMOJA WAO.

KUMBUKA HATA NDANI YA VITENGO VYOTE VYA JESHI NA UJASUSI KUNA WAJALUO WA AKINA RAILA HUMO NA WANAMPENDA PIA. SASA KUKATOKEA LOLOTE JESHI PIA NUSU KWA NUSU

KIBAKI MUST ACCEPT TO GO HOME. LUCY MUST ACCEPT TO GO HOME.
 
Sasa hii political intergration 2012 imekuwa ndoto, hatuwezi kushirikiana na wakoloni weusi, mseven amengangania, kibaki nae, sasa hii nursing home mpya.
 
Sasa ni saa kumi Jioni huyo President atatangazwa saa ngapi na ataapishwa saa ngapi? Kenya inatuletea aibu kubwa sana E. Africa na bara lote kwa ujumla.

Vipi media, je zimepunguza pressure kwa ECK na kutoa maoni ya watu kuonesha kutokuridhishwa na utendaji wa ECK na kuchelewa kwa majibu?
 
Ni kweli Raila ni mtu wa kujichanganya sana na watu.
Ni kiongozi pekee wa kisiasa anayejitahidi kuhudhuria regional ALUMNI meetings (Eastern Africa chapter; alisoma Germany) na kushiriki debates kama member of floor tangu mwanzo mpaka mwisho.
Angekuwa kiongozi makini wangempa nafasi.
 
K-T

Nasikia imekuwa vigumu kutangaza rais na bado tume inaangaika.

Kwa kuwa muda wa Kibaki umekwisha kwa nini waandishi wasiombe achaguliwe JaJI Mkuu awe acting Hili watatue matatizo yaliyopo?

Kinachoonekana hapa Kibaki hawezi na hataweza kutawala Kenya tena Moi anamudanganya kabisa.

Muda wa udicteta duniani umeisha kwisha mwambie kama anataka kujua yuko mtupu, ahapishwe aone nguvu ya UMMA(wananchi).
 
Ningekuwa mimi Kikwete kama nimepewa mwaliko nisingeenda

Bwana weeeee, kama KK ndiye kuhani wa hii dhambi ya Kibaki itamlazimu kwenda kubariki huo wizi tu. Kuhalalisha hayo matapishi lazima kuwepo na mbwa mwitu wenye sura ya kondoo ili waweze kulazimisha kicheko kumbe kwa ndani ni aibu ya mbwa mwizi

Sijui kama na overestimate security concern, lakini kama ECK isipokuwa makini Genocide/massacre na hata assisnation itatokea

Tumuombe Mungu yasitokee yaliyotokea Rwanda. Genocide in Kenya ni janga la kitaifa kwa Tanzania pia. East Africa patakuwa hapatoshi.
 
ITV on line...wamekatisha matanagazo wansoma matokeo lets wait .....hehh naonavurugu si kawada...
 
sijui wanasoma matokeo ya wabunge nafikiri..kuna jamaa wamekataa kabisa aliyetajwa..wamesimama kusoma...Ma_askari kibao...sasa wanaendelea. Sijui Ni sehemu ya molo. Ndio ilikuwa na kurupushanani..wametakiwa kurudia.wanarudia..!! Aisee kuna jmaa wanajiamini..kasimama kakatisha tena..wanaema wana karatasi inayoonyesha kuwa kilichosomwa sio sawa..kakatisha tena...Vagi inashika moto...hapakaliki..subiri tuone..
 


Wala usiwe na shaka Mh. Mzalendo,

Wee njoo tu. Unakaribishwa tena with open hands.

Wee njoo ntakunulia tusker lakini mimi ntakunywa nyongo siku zote hadi this tribal king atoke ikulu.

Bado tunasubiri

Mzee KT shukurani kwa hizi live updates... tunajua unafanya hii kazi katika mazingira magumu. Najua kibaki anafanya watu wanywe nyongo lakini hajui kama atakuja kutapika yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom