Kenya Election 2007: Outcomes

Kenya Election 2007: Outcomes

polisi wa kenya kidogo heshima tofauti na wabongo ingekuwa risasi zimelia tayari kisha watu wanapandikiziwa mabomu.
 
Hii ni hatari sasa naamini kuna ticking bomb somewhere wait utasikia tu kitakachoendelea
 
Ebwana....Loooh Mwenyekiti wa Tume amakataliwa kata kataasisome...na ghafla Odinga kaingia..Wamakatiza...polisi wameingia ndani..Kwa kweli wa Tz tungekuwa na Msimamo kama huu...anyway..wanachama wa ODM wanatolewa nje na Polisi..Mtangazaji anasema hali ya wasiwasi imetapakaa hata nje ya jengo ..na mtaani pia. wanasema ni hali ya kusikitisha kwa nhi ya Kenya.
 
huyu mtangazaji wa tvt mjinga kweli inabidi aache ushabiki wa kijinga. hivi sisiemu inafaidika nini odinga akishindwa?
 
K-T

Nasikia imekuwa vigumu kutangaza rais na bado tume inaangaika.

Kwa kuwa muda wa Kibaki umekwisha kwa nini waandishi wasiombe achaguliwe JaJI Mkuu awe acting Hili watatue matatizo yaliyopo?

Kinachoonekana hapa Kibaki hawezi na hataweza kutawala Kenya tena Moi anamudanganya kabisa.

Muda wa udicteta duniani umeisha kwisha mwambie kama anataka kujua yuko mtupu, ahapishwe aone nguvu ya UMMA(wananchi).

KIKATIBA NI KWELI CHIEF JUSTICE ANAWEZA KUSHIKILIA HATAMU YA UONGOZI HADI PAPATIKANE MSHINDI.

ILA, UKWELI NI KWAMBA JAJI MKUU HUYU NDIO MMOJA WA WANDANI AU WAPAMBE WA KIBAKI. ANAITWA EVANS GICHERU NA PIA YEYE NI MKIKUYUTENA RAFIKI WA KIBAKI SANA. SHERIA ZA KENYA ZINASEMA JAJI MKUU ANAPASWA ASIWE NA MIAKA ZAIDI YA 75. ILA KIBAKI KAMPATIA KAZI JAJI GICHERU AWE JAJI MKUU MIAKA MIWILI IILIYOPITA EVAN HUYU AKIWA NA MIAKA 78. WAKENYA NA WANASHERIA WALIPIGA KELELE LAKINI KIBAKI KAPENDUSHA USO PANDE MWINGINE NA LIFE IKASONGA MBELE. SITASHANGAA KAMA YEYE PIA YUKO HUKO STATE HOUSE SASA HIVI.

1. VITA VYA WANANCHI WALIOIBIWA KURA ZAO NA KINA KIBAKI

frontins301207.jpg


2. THE MAN OF THE MOMENT: BWANA KIVUITU SAMUEL, ECK CHAIRMAN
elecfrntkivuitu.jpg


WAKUU NIMEWEKA ATTACHIMENTI YA LIST IONYESHAYO WABUNGE WOTE WALIOCHAGULIWA NA VYAMA VYAO. IIDAWNLODI NA KUIPITIA HUKU MKIVUTA SUBIRA.

WATU WANSUBILI TU KICC NA INASEMEKANA KIVUITU AMEKATAA HADI SASA KUTANZANGAZA MATOKEO YASIYO HALALI BASI ECK IPO MKUTANONI TU.

WENU,

KENYAN-TANZANIAN
 

Attachments

wewe mtu wa TVT acha upambe kwani unatia aibu. Hakuna objective journalism in Tanzania?
 
Raila Anakufa Na Hili Kiume

Amekata Eck Chair Asisome Results Zisizo Halali

Majeshi Ndani Ya Ukkumbi

Kila Mtu Amefurushwa Nje!!!!!!!!!!!!!!

Jamaani!
 
Bado tunaagalia live kutoka kenya. ODM wameshinikiza matokeo ya mwisho yasisomwe. Yes RAILA ndani ya Nyumba(KICC) wamekubali wanatoka kwenye chumba cha kusoma matokeo. Wamewaacha waandishi wa habari wengi ndani. Ok Hapo KICC Wanasoma amtokeo ya majimbo 20 yaliyobaki..then ndio watoe majibu ya Mwisho ya Prez.. Lakini Odinga na wenzie waliingia a kupinga yasiendelee kusomwa. OPPPPP!!!!! TVT wamekata hawaonyeshi tena live wamesema wataunganisha tena kama matokeo yataendelea kusomwa..... Ni kama wakina Odinga wameshajua kuwa wakizubaa matokeo yakisomwa watatemwa kwa hila..ndio maana wameleta fujo na nikama wameweza kusimamisha ....
 
Raila Anasema Wako Na Evidensi Kwamba Hizo Mikuta5 Za Eck Leo Zilizidi Kuongezea Kibaki Kura Usiku

Wanatoa Evidensi Hio Sasa!!!!!!!!
 
wewe mtu wa TVT acha upambe kwani unatia aibu. Hakuna objective journalism in Tanzania?

Halafu wenyewe TIVITI hawa wana motto yao: 'kioo cha taifa'. Labda ni kejeli tu, wakimaanisha kioo cha watawala...SISIEMU. Shwaini wakubwa.
 
Wanatoa Mshuhudia Ambaye Ni Mfanyikazi Wa Tume Hapo Kicc Kama Ushuhuda Ya Wizi Wa Akina Kibaki!!!!!!!!!!

Witness Huyo Anaongea Sasa!!!!!!!!!!

Anatoboa!!!!!!!!!! Sir!!!!!!!!!
 
Q Witness Huyo Anaongea Sasa!!!!!!!!!!

Anatoboa!!!!!!!!!! Sir!!!!!!!!!
Q


aibuuuu!!
wanaweza muua lakini, labda wamfiche kuanzia sasa hivi!..
 
Anasema Fomu Zilichukuliwa Na Madokumenti Kuongezwa Kura Ya Kumsaidia Kibaki

Anasema Yeye Amejitolea Maisha Yake Jili Ya Taifa

Kutoboa Vile Eck Makamishena Waliiiba Kura Live Hapo Akiwa Amewekwa Kwenye Oath Au Kiapo Asiseme

Lakini Ameamua Aiokoe Nchi Hata Kama Watamuua

Anaongea
 
Wanatoa Mshuhudia Ambaye Ni Mfanyikazi Wa Tume Hapo Kicc Kama Ushuhuda Ya Wizi Wa Akina Kibaki!!!!!!!!!!

Witness Huyo Anaongea Sasa!!!!!!!!!!

Anatoboa!!!!!!!!!! Sir!!!!!!!!!

Asante K-T,

hivi hakuna tv yoyote inaonyesha hii live, naona kbc wanamambo mengine na KTN iko on and off kwenye feed yangu.

Thanks!
 
Anasema Fomu Zilichukuliwa Na Madokumenti Kuongezwa Kura Ya Kumsaidia Kibaki

Anasema Yeye Amejitolea Maisha Yake Jili Ya Taifa

Kutoboa Vile Eck Makamishena Waliiiba Kura Live Hapo Akiwa Amewekwa Kwenye Oath Au Kiapo Asiseme

Lakini Ameamua Aiokoe Nchi Hata Kama Watamuua

Anaongea

Mkuu hapo ndipo nilipendekeza JAJI lakini naona haiwezekani kama ulivyosema.

Jamani waombeeni wakenya
 
Hali ni mbaya pale KICC mzee Kivuitu kashindwa kuendelea kusoma matokeo ya majimbo yaliyobaki!
Tuombe mungu aepushe makubwa, wenzetu sasa wanadi haki kwa nguvu zote na serikali inaona!!
 
Back
Top Bottom