Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,236
- 669
Jamani mimi napata wasi wasi na hali ya jirani zetu sasa. Tukumbuke aliyoyafanya Robert Mugabe kwa Zimbabwe ambao uchumi wao ulikuwa ni mkubwa kuliko wa Kenya almost 10 times lakini sasa hivi ni basket case, Mungu apishie mbali. Naomba wale wanaosali leo wawaombee Kenya wamalize mtafaruku huu salama.
Kenyan Tanzanian
Shukran kwa updates.