si magufuli bali hii michadema ambayo haijazoea ushindi lakini ilituma mpaka wasanii, magari na wanasiasa akiwemo nassari kumsaidia odinga. Join Date : 28th March 2013
Posts : 23
Rep Power : 305
Likes Received2
Likes Given0
Kwa hiyo unakubali kuwa kwa kiasi kikubwa sana hizi chaguzi za Afrika huwa ni maigizo tu ukiwemo huu wa Kenya na ule uliopita wa 2007?
Hizi ni hisia zako potofu. WEledi watakuambia ndio ameonekana kukomaa kisaasa zaidiHa ha ha ha ha
Hata kama Raila alishinda kwenye huo uchaguzi na akatangazwa Uhuru basi ilikuwa kwa busara yake, atupilie mbali na akenue meno alipotangazwa Uhuru na kukubali kushindwa na angelionekana amekomaa kisiasa na angepata ungwaji mkono na wananchi wengi. Lakini sahizi, nafikiri reputation yake ktk gragh imeshuka vibaya sana.
Afrika mtu akishatangazwa kua rais kama huna jeshi linaloungwa na NATO ambalo litatia no-fly zone. Sahau.
Wizi nafikiri ulikuwepo, lakini ni kujazilizia ka-top layer.
Raila ni boga kabisa
Sasa Raila ndiyo alikuwa destined to win? Au ushasahau ulichoandika?
Manake umeandika Kethi was representing a party destined to win? How exactly?
I thought Uhuru The Crown Prince was the one who was destined to win.
Mahakama kuu ya kenya imetupilia mbali madai yote ya Raila Odinga na kuamua sasa Uhuru Kenyata aapishwe.
Yaani unanimous decision ktk mashauri yote hayo ina walakin.
Ni kama wote wana akili za kushikiliwa vile. They can't think on their own? Really?
Yaani hakuna hata mmoja aliyekuwa na dissenting opinion? Hahahahahaaaaaa kaaaaz kweli kweli.
Nilijua Raila alikuwa anapoteza muda wake tu kwenda kwa hao majaji.