Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Na sisi wa youtube.Ni watu wa DStv tuu tunaona live kutoka Kenya!
Ni kwamba Google, yahoo, Facebook, Twitter, whatsap, na networks, ios, na Internet networks nyingine zote kabla hazijaingia kwenye simu yako walienda kwanza TCRA kuomba kibali cha kurusha contents zao Tanzania na serikali ikitaka kuzifunga ina uwezo huo.Simu za thuraya zinafanyaje kazi. nasikia hizo nchi zetu hawawezi kuyaingilia mawasiliano yake. Nielimishe please. Labda na matangazo ya stream wanafanya hivyo
Wewe hata akili huna ulijualo kwenda kamenye vitunguu hukoRembukeni huyu, hana lolote..
Rais wa zamani?Hizo media zimefungiwa baada ya kurusha taarifa ya kuapishwa rais mpya wa Kenya raila odinga.rais wa zamani Kenyatta kachukia.
Ni kwamba Google, yahoo, Facebook, Twitter, whatsap, na networks, ios, na Internet networks nyingine zote kabla hazijaingia kwenye simu yako walienda kwanza TCRA kuomba kibali cha kurusha contents zao Tanzania na serikali ikitaka kuzifunga ina uwezo huo.
Hata ukipiga simu popote duniani kutoka Tanzania serikali inaweza kuzuia simu zisitoke au zisiingie nchini ikitaka sema kutokana na wenzetu wapo mbele technology lakini zile simu ambazo masharika yake yapo Tanzania serikali inaweza kuzidhibiti sababu serikali ina vifaa vinavyokagua masafa yote
Ok nilitaka kushangaa nikasema mbona sijaandika baya!Pole mkuu, nilikuwa namjibu minga mmoja, utakuwa umepitiwa na ubanga bahati mbaya.
Mkuki kwa nguruwevisasi vipi? hapa nchini mlitetea vyombo visipigwe fine kwa kurusha habari za kituo cha sheria na haki za binadamu, iweje Kenya vinafungiwa na kutishiwa kunyang'anywa leseni? kwani kosa lao ni nini? Ndio maana naomba wana UKAWA ambao wanaiunga mkono serikali ya Kenya kuzungumzia huku kuminya uhuru wa habari na uhuru wa vyombo vya habari kufanya kazi zao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na sisi wa youtube.
How?Kenyatta anacheka sana na Raila amuadabishe tu mchezo uishe
Umefkir kenya n Tanzania eehtena mi naona uhuru anamlea sana huyo mjaluo.kamata tupa ndani.anataka nini kama siyo machafuko?
Just ignoreKuna jibwa koko moja hapa, linajifanya electronic engineer..! Nadhani linasaka mume..
Hehehe wewe ni engineer wa mipasho ya ufipaUnatafuta mume hapa nini?? Make umeisha parangana hapa kujifanya electronic engineer sana! Unaboa pakashume weeh.
Kaaazi kweli kweli