Lissu huwaga mnamuota eeeh.Kweli Tundu Lisu noma, kila anachogusa kinapata matatizo, hawa si ndo walirusha habari za Tundu Lisu kuitukana nchi yetu? Sasa Payback time!
Halafu tukisema Demokrasia ina mipaka tunachekwa na kukebehiwa, watu wanamuita Raisi wetu ,,Dikteta” haya sasa Mwanademokrasia wenu Namba Moja Afrika, Uhuru Kenya kafungia Vituo vya TV!
mkuu hii ya chini ni kitu gani ha ha ha bado inastream kama kawa japo wamezima tv you tube ipo on
Yeye Kama Rais ana mamlaka amuwekee vikwazo hii michezo ya kitoto iishe.How?
it doesint make sense kwanza anaapishwa na nani kumbe mt yeyote anaweza apisha mwingine? aisee huyu odinga wanafaa kumshut down hahahaha anazinguaHivi kweli kushabikia Odinga kujiapisha iko sawa kweli? Ashumu sasa Kenya itakuwa na rais wawili kwa wakati mmoja? Doesn't make sense.
Nation Jr,There's no democracy without respecting the Constitution and the rule of law huyo odinga lazima afuate sheria na media zifuate sheria hapo tutaenda sawa.
Safi sana Uhuru kwa kuenda sambamba na kasi ya JPM
Mkuu NASA wanajua wanachofanya, nimemsikia msemaji wao akisema wakimwapisha watambadilisha title ili kukwepa kosa la uhaini. Mwingine anahojiwa saa hii anasema wakimwapisha kama rais wa NASA hakuna uhaini ila wakimwapisha kama rais wa jamhuri ya Kenya na Amiri jeshi mkuu hapo ndo kuna uhaini.mi namlaumu uhuru kamchekea sana
Mhhh, I cant comprehendPoleni huko
Huku TZ wanalilia uhuru wa habari na hata kama haya hayajawahi kutokea.
Wa huku Chama cha upinzani cha family leo kila kona kimya.. maana eti wao umshabikia Uhuri.. eeeeh sijui watatamka nini juu yake.. eeeeeh mmeona munaemshabikia eti yu bora kuliko wetu?
Una mawazo mgando..., ndio shida ya kusomeshwa na ccm hii..mi namlaumu uhuru kamchekea sana
mamlaka ya marais wenzetu yanahojiwa, siyokama TZ, huku ni fullYeye Kama Rais ana mamlaka amuwekee vikwazo hii michezo ya kitoto iishe.
Kuna sehemu za kuhoji ila sio kwenye huu upuuuzi. Huu ni uhaini.mamlaka ya marais wenzetu yanahojiwa, siyokama TZ, huku ni full
Uko wapi? Kenya au TZ! Kenya siyo kama kwetuKuna sehemu za kuhoji ila sio kwenye huu upuuuzi. Huu ni uhaini.
Raila atapata tu anachotafuta
Hahahahahahaaa! Kha! Ina Maana Raisi Wa Sasa Wa Kenya Ni Nani Sasa? Eti " Rais Wa Zamani Kenyatta!" Acheni Uhaini Mtafungwa.Hizo media zimefungiwa baada ya kurusha taarifa ya kuapishwa rais mpya wa Kenya raila odinga.rais wa zamani Kenyatta kachukia.
Wahi youtube kama huna bundle kuwa mpole***** hata dstv wamezima ktn na citizen!