chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Hatuwezi kukosa mnyonge wetu lazma yupo.[emoji23].Sawa, Sasa sisi tunamminya Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kukosa mnyonge wetu lazma yupo.[emoji23].Sawa, Sasa sisi tunamminya Nani?
Au ndio hao mabeberu?Hatuwezi kukosa mnyonge wetu lazma yupo.[emoji23].
hawa tunaenda nao mdogomdogo!hata wao sikuhiz hawatuchukulii poa Kama zamani.Au ndio hao mabeberu?
bbcCopyright: bbc
Waziri wa Afya nchini Kenya Ukur Yatani amekanusha taarifa kuwa nchi hiyo iko katika hatari ya kupoteza bandari yake kubwa kwa China ikiwa itashindwa kulipa deni lake kwa nchi hiyo, ambalo pesa zake zimetumika kwa ujenzi wa reli mpya.
Reli hiyo yenye umbali wa kilomita 472 inagharimu karibu mara tatu zaidi ya viwango vya kimataifa na mara nne ya makadirio halisi.
Magazeti ya eneo yameripoti Jumatatu kuwa China ambayo ndio iliyokopesha deni hilo, inaweza kuchukua udhibiti wa bandari ya Mombasa ikiwa Kenya itashindwa kulipa mkopo wake wa dola bilioni 3.2.
Lakini katika taarifa, waziri wa fedha amesema "Hakuna hatari ya China au nchi nyingine yoyote ile kuchukua bandari".
Alisema deni la ujenzi wa reli haliwezi "kulipwa kwa njia nyingine yoyote ile ya kuleta kipato au kupitia shirika jingine bila idhini ya bunge".
"Serikali ya Kenya haiwezi na haijawahi kuahidi mali ya serikali kama dhamana ya deni kwasababu hatua kama hiyo… inakiuka makubaliano ya sasa ya mkopo yaliyofikiwa," Bwana Yatani amesema.
Mimi haipatani na akili yangu.
Sasa wakenywa watashindwaje maarifa na watu wasiojua kiingereza.
Bado mimi sijaelewa hapo.
CC: MK254 kwa ufafanuzi.
Mkikuyu- Akili timamu nisaidie kushangaa 😳😳😳
Wewe dayaspora wa Buza kingereza kilishakushinda, acha kuteseka.
Hivi deni kwa kiingereza linaitwaje??
Mjitahidi kuwaelimisha waChina. Itakuwa mlivyowaambia interest rate ni nine percent, wenyewe wakajua ni nineteen percent.
😛 😛 😛
Hata nikikutajia hautaelewa maana, kingereza kinahitaji akili kubwa sio huo utopolo wa Buza..hehehehe
Na bado msomali asiyejua kidhungu anawatoa jasho pale kwa kesi ya bahari hindi. 😂😂😂😂Mimi haipatani na akili yangu.
Sasa wakenywa watashindwaje maarifa na watu wasiojua kiingereza.
Bado mimi sijaelewa hapo.
CC: MK254 kwa ufafanuzi.
Mkikuyu- Akili timamu nisaidie kushangaa 😳😳😳
Ahaa haaa, waziri wenu wa afya anakuja kusema leo hii eti reli ilijengwa mara 4 ya gharama inayojulikana duniani kote.
Hapo ndipo utakapo elewa nani ni utopolo kati ya Mandarin speaking people and the so called waingereza wa kibera.
😛 😛 😛
Kuishi utopolo republic ni mzigo kweli.
Kingereza kingereza kingereza dayspora wa Buza....hehehe
Utopolo republic under the so called katiba mpya which is more or less utopolo.
Hizi hasira zitapungua siku utajua kuongea kingereza...hehehe
Natumai kiswahili hakitakuchanganya, isome yote, japo wewe mzembe wa kusoma Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?
Dawa ya deni ni kulipa, vinginevyo hilo deni litabadirika na kuwa posa. Mjipange. 🤣 🤣 🤣