Kenya ‘haiwezi kukabidhi bandari’ kwa China kama njia ya kulipa deni la SGR


Mimi haipatani na akili yangu.
Sasa wakenywa watashindwaje maarifa na watu wasiojua kiingereza.
Bado mimi sijaelewa hapo.
CC: MK254 kwa ufafanuzi.
Mkikuyu- Akili timamu nisaidie kushangaa 😳😳😳
 
Wewe dayaspora wa Buza kingereza kilishakushinda, acha kuteseka.

Hivi deni kwa kiingereza linaitwaje??
Mjitahidi kuwaelimisha waChina. Itakuwa mlivyowaambia interest rate ni nine percent, wenyewe wakajua ni nineteen percent.
😛 😛 😛
 
Hivi deni kwa kiingereza linaitwaje??
Mjitahidi kuwaelimisha waChina. Itakuwa mlivyowaambia interest rate ni nine percent, wenyewe wakajua ni nineteen percent.
😛 😛 😛

Hata nikikutajia hautaelewa maana, kingereza kinahitaji akili kubwa sio huo utopolo wa Buza..hehehehe
 
Hata nikikutajia hautaelewa maana, kingereza kinahitaji akili kubwa sio huo utopolo wa Buza..hehehehe

Ahaa haaa, waziri wenu wa afya anakuja kusema leo hii eti reli ilijengwa mara 4 ya gharama inayojulikana duniani kote.
Hapo ndipo utakapo elewa nani ni utopolo kati ya Mandarin speaking people and the so called waingereza wa kibera.

😛 😛 😛

Kuishi utopolo republic ni mzigo kweli.
 

Kingereza kingereza kingereza dayspora wa Buza....hehehe
 
Dawa ya deni ni kulipa, vinginevyo hilo deni litabadirika na kuwa posa. Mjipange. 🤣 🤣 🤣

Poleni kwa msiba, chukua tahadhari hapo Buza tunakuhitaji kwenye makelele yako humu jukwaa la taarifa za Wakenya.
 
poleni mazeee dah...waswahili elim muhimuuu mazeeee dah...mombasani huzuni hukuu tunapga marungii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…