Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,054
- 1,415
Kwa sababu akishindwa atagoma kutoka siyo? Hivyo kuwa chanzocha vurugu.Kiukweli pamoja na yote
Salama ya Tanzania ni Uhuru kushinda tofauti na hiyo twafaaaa
Halafu utasikia wakati wa kampeni wakisema "mkiwachagua wapinzani wataleta vurugu"!!!