Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,700
Hapa ni wiki tu imebakia ..., baada ya wiki sijui itakuwaje! Mungu waongoze ndg zetu wa Kenya!!Pamoja na escort magari mawili na ulinzi wa polisi sita wabaya wake wamemua. Kenya 2017 election claims its first victim.
Sent using Jamii Forums mobile app