Kenya ilikosa 3 Billion USD?

Kenya ilikosa 3 Billion USD?

Makubaliano ya Mkataba baina ya Nchi ya Kenya na Uchina yakoje kwenye hili swala la Reli? Yaani nchi ya Kenya inatakiwa kumaliza kulipia lini hilo deni, na Wachina wamepata nini kama dhamana (security) ya fedha zao?

Ina maana muda wote huu umekua ukiponda bila kujua hizi taarifa, inadhihirisha huwa unaandika ilmradi tu, automated responses.
 
And the GDP has expanded by almost 50%
Level of public debt in Japan 2013 was 243.2% of GDP, you don't only focus your attention to level of debt but you also observe the other side of the equilibrium. Our vision 2030 is elaborate, well structured with massive infrastructural and socio-economic development plans and strategies, we can't achieve it all by hiding in a corner and fearing debt, we simply have to be astute and smart in how we borrow and spend.

Besides, not all nations are given debts so easily, a lot has to be analysed, today Tanzania is scouring all over for debt to finance its SGR while in Kenya we have already secured funds for the whole streak.

GDP doesn't pay debts, your revenues do.
 
Kwa hiyo ulitaka watumie cash wakati wananchi wao wana matatizo ya njaa na ukosefu wa huduma bora, Kenya akili kubwa sio kama sisi tunakimbilia kununua vipangaboi kwa cash wakati wananchi tuna matatizo lukuki
Kama hujui kuwa kwa ulimwengu wa leo nchi yenye vivutio vya utalii kama Tanzania kukosa shirika la ndege linalojisimamia pia ni tatizo, nakihurumia sana mtanzania mwenzangu!

Yaani nakuonea huruma kabisa maana hata hayo matatizo huyajui unaishia kisema tu lukuki!

Shit!
 
Kama hujui kuwa kwa ulimwengu wa leo kukosa nchi yenye vivutio vya utalii kama Tanzania kukosa shirika la ndege linalojisimamia pia ni tatizo, nakihurumia sana mtanzania mwenzangu!

Yaani nakuonea huruma kabisa maana hata hayo matatizo huyajui unaishia kisema tu lukuki!

Shit!

Halafu akiona Rwanda wamenunua ndege anaanza kuitukana serikali ya Tanzania.
 
Halafu akiona Rwanda wamenunua ndege anaanza kuitukana serikali ya Tanzania.
Ndo hapo mda mwingine huwa nawashangaa watanzania wenzangu!

Mara mtu kama huyu huyu utamsikia anaosifia Ethiopia, hata hajui kuwa wakati Ethiopia wanaamua kuwekeza kwenye ndege wananchi walikiona cha moto, lakini leo wanasherekea maamuzi yao!
 
Halafu akiona Rwanda wamenunua ndege anaanza kuitukana serikali ya Tanzania.
Na huyu anaishia kusema eti pangaboi utakuta hajui hata ticket ya ndege ikoje[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
GDP doesn't pay debts, your revenues do.
We have not surpassed the threshold in debt level to revenue ratio, we are also within the healthy levels of external debt service to export ratio which is at 14.8% against the threshold of 25%
And for your information economic growth is the key driver of revenues.
 
We have not surpassed the threshold in debt level to revenue ratio, we are also within the healthy levels of external debt service to export ratio which is at 14.8% against the threshold of 25%
And for your information economic growth is the key driver of revenues.

That's political stuff, but in reality your debt is not healthy. Anyway, same problem in most African countries.

 
That's political stuff, but in reality your debt is not healthy. Anyway, same problem in most African countries.



Kaka am giving you scientific figures used to measure economic development and governance, you're replying back with statements from politicians.... Shows you can't stand an intelligent debate based on empirical observations and facts....am so done with you, kwaheri.
 
Kaka am giving you scientific figures used to measure economic development and governance, you're replying back with statements from politicians.... Shows you can't stand an intelligent debate based on empirical observations and facts....am so done with you, kwaheri.

That's why your debts are piling up, the so-called scientific figures or western economic development measures do not work in Africa.
 
Ngoja jpm aendelee kutuletea maendeleo wao wakalie kupiga domo
 
jameni debt is inescapable for any development-oriented nation...Kenya is not the first country nor will it be the last that is sustaining massive debt...as long as debt is used to promote economic growth (upgrading infrastructure), it will always bring back positive results as a whole...besides, its not like the debt will not be paid...the railway will last for more than a century...are we too blind to see the benefits of that?
 
Ukiangalia siyo hela nyingi sana, iweje nchi ya Kenya ikashindwa kujenga Reli ya km 400 kwa fedha yake yenyewe badala ya kuchukuwa mkopo wenye masharti ktk kwa Wachina?

Binafsi siamini kama nchi ya Kenya ingeshindwa kupata hiyo fedha ndani ya Kenya kama wangeamua, sasa logic ya wao kukopa foreign country ni ipi?
Stability ya economy. Thats why our civil servants earn better than yours
 
I was told Tz has so much debt, they can't attract more. And problem is that they are known defaulters though the saving grace is they are getting waivers for being an LDC. Is that true Kilam?
 
I was told Tz has so much debt, they can't attract more. And problem is that they are known defaulters though the saving grace is they are getting waivers for being an LDC. Is that true Kilam?

Debt per GDP ratio: Tanzania 34%, Kenya 54%. Hatuna madeni makubwa kama Kenya, nyie mmezidi hasa tangu Uhuru achukue nchi. Our debt is USD 19.0219 billion while yours is USD 36.4 billion.

Tanzania’s USD 19.0219 billion Government Debt Harmless – Analysts | TZ Business News

Infrastructure pushes Kenya debt to Sh3.76 trillion
 
Maswali madogo, kwa nini RVR imekuwa mahututi kwa miaka mingi? Imekuwaje Kenya imelimbikiza madeni mengi?

Ukweli ni kwamba, miradi mingi ya miundombinu Afrika hailipi madeni kutokana na siasa. Ili miradi hii iweze kujiendesha yenyewe ni lazima tozo za kutumia ziwe kubwa tofauti na ilivyo sasa. Matokeo yake ndio maana unaona hata utunzaji wa miradi hiyo ni wa hali ya chini.


RVR iliendesha reli tulioridhi kutoka kwa mkoloni bila kuelewa maana yake ma jinsi ya kuiendesha. Beberu aliijenga kwa manufaa yake bila kujali mahitaji ya Waafrika Na ilijengwa ikiliwa maanani kwamba ni mradi wa kufaidi wachache na kunyanyasa wengi ndio maana ulifanya vizuri siku za mkoloni lakini Mwafrika alipochukua usukani na kuheshimu haki za kila Mkenya ulianguka.

Mradi wa SGR umejengwa na mwafrika kufaidi mwafrika hivo chances zake kufeli ziko chini sana.
 
RVR iliendesha reli tulioridhi kutoka kwa mkoloni bila kuelewa maana yake ma jinsi ya kuiendesha. Beberu aliijenga kwa manufaa yake bila kujali mahitaji ya Waafrika Na ilijengwa ikiliwa maanani kwamba ni mradi wa kufaidi wachache na kunyanyasa wengi ndio maana ulifanya vizuri siku za mkoloni lakini Mwafrika alipochukua usukani na kuheshimu haki za kila Mkenya ulianguka.

Mradi wa SGR umejengwa na mwafrika kufaidi mwafrika hivo chances zake kufeli ziko chini sana.

Tatizo ni usimamizi mbovu.
 
Debt per GDP ratio: Tanzania 34%, Kenya 54%. Hatuna madeni makubwa kama Kenya, nyie mmezidi hasa tangu Uhuru achukue nchi. Our debt is USD 19.0219 billion while yours is USD 36.4 billion.

Tanzania’s USD 19.0219 billion Government Debt Harmless – Analysts | TZ Business News

Infrastructure pushes Kenya debt to Sh3.76 trillion
Dont be silly, Tanzania is not creditworthy. It was so saddled with debts at one time, to the extent the creditors had to write off sone of its debts.
 
Back
Top Bottom