Kenya ilikosa 3 Billion USD?

Kenya ilikosa 3 Billion USD?

Dont be silly, Tanzania is not creditworthy. It was so saddled with debts at one time, to the extent the creditors had to write off sone of its debts.

We talk about 2017. Let me post some cool video for you.

 
Dont be silly, Tanzania is not creditworthy. It was so saddled with debts at one time, to the extent the creditors had to write off sone of its debts.

Kenya is creditworthy as shown below.

 
Ukiangalia siyo hela nyingi sana, iweje nchi ya Kenya ikashindwa kujenga Reli ya km 400 kwa fedha yake yenyewe badala ya kuchukuwa mkopo wenye masharti ktk kwa Wachina?

Binafsi siamini kama nchi ya Kenya ingeshindwa kupata hiyo fedha ndani ya Kenya kama wangeamua, sasa logic ya wao kukopa foreign country ni ipi?
Ntakupatia mfano mmoja muhimu

Bajeti ya Elimu Tanzania mwaka wa 2017/2018 ni TSH 1.36 Trillion Ambayo ni approx 600 Million USD
Bajeti ya Elimu Kenya mwaka 2017/2018 ni KSH 201 Billion ambayo ni approx 2 Billion USD

Teachers Service Commission Grabs Largest Share of Proposed 2017/2018 Budget

Sh1.36 trillion alone will not fix problems in education


Hio ni tofauti ya $1.4Billion, hio ni elimu pekeyake , tukiachanganya tofauti katika bajeti ya Afya, Ulinzi...nk hio tofauti itakua zaidi ya $4Billion ambayo ingetosha kujenga SGR kutoka mombasa hadi nairobi kwa mpigo mmoja bila kungojea bajeti ya 2018/2019....

Kumbuka Lamu port tunajenga phase one wenyewe kwa $500Million, project sngine za Lapsset kama barabara ya Lamu, Isiolo airport, Manda Airport zote tumefanya na pesa zetu, kwahivyo ukiangalia project za Lapsset pekeyake tayari tumetumia kama $800million...


Tanzania iko na priority zake na pia sisi tuko na zetu...... Si ni juzi tu Tanesco ilikua ikiomba msaada wa loan wa $200Million kutoka Worldbank kwasababu imeshindwa kujimudu? sasa eti mnajenga Reli ya stima na pesa zenu wakati kampuni itakayotoa stima hata haijielewi!!!????
 
Ntakupatia mfano mmoja muhimu

Bajeti ya Elimu Tanzania mwaka wa 2017/2018 ni TSH 1.36 Trillion Ambayo ni approx 600 Million USD
Bajeti ya Elimu Kenya mwaka 2017/2018 ni KSH 201 Billion ambayo ni approx 2 Billion USD

Teachers Service Commission Grabs Largest Share of Proposed 2017/2018 Budget

Sh1.36 trillion alone will not fix problems in education


Hio ni tofauti ya $1.4Billion, hio ni elimu pekeyake , tukiachanganya tofauti katika bajeti ya Afya, Ulinzi...nk hio tofauti itakua zaidi ya $4Billion ambayo ingetosha kujenga SGR kutoka mombasa hadi nairobi kwa mpigo mmoja bila kungojea bajeti ya 2018/2019....

Kumbuka Lamu port tunajenga phase one wenyewe kwa $500Million, project sngine za Lapsset kama barabara ya Lamu, Isiolo airport, Manda Airport zote tumefanya na pesa zetu, kwahivyo ukiangalia project za Lapsset pekeyake tayari tumetumia kama $800million...


Tanzania iko na priority zake na pia sisi tuko na zetu...... Si ni juzi tu Tanesco ilikua ikiomba msaada wa loan wa $200Million kutoka Worldbank kwasababu imeshindwa kujimudu? sasa eti mnajenga Reli ya stima na pesa zenu wakati kampuni itakayotoa stima hata haijielewi!!!????


Sikuuliza swali kwa lengo la TZ vs Kenya, hivyo maelezo yako mengi wala hayakuhitajika, ungeweza tu kuelezea kuhusu hizo projects nyingine ambazo Kenya inajenga kwa hela yake na ambazo ni muhimu klk SGR, kulikuwa hakuna haja ya kuiingiza Tanzania yetu hapa!
 
Sikuuliza swali kwa lengo la TZ vs Kenya, hivyo maelezo yako mengi wala hayakuhitajika, ungeweza tu kuelezea kuhusu hizo projects nyingine ambazo Kenya inajenga kwa hela yake na ambazo ni muhimu klk SGR, kulikuwa hakuna haja ya kuiingiza Tanzania yetu hapa!
Sisi si watoto wadogo.. Hukutaja Tanzania lakini huko nyuma ya akili yako (Subconsciously) Umeuliza hili swali sababu chanzo chake ni Tz na bajeti ndogo kujenga phase 1 SGR yake na pesa zake... Kama ingekua Tz inajenga na mkopo wa Exim bank haungeuliza hili swali. Mbona hauanzishi mada ya kuuliza kwanini TZ haijengi bomba za gesi na pesa zake? au kuchimba migodi na pesa zake, au kwanini Tanesco(ambayo ndo inatarajiwa kutoa umeme wa SGR tz, na pia ndo inatarajiwa kuchangia pakubwa kwa"Tanzania ya viwanda") inaomba $200Million kwa world bank kwasababu imeshindwa kutengeneza faida ya kulipia madeni, alafu SGR Dar-Moro inapewa $1.2B pesa za walipa kodi ambao wengine hata hawana stima majumbani kwasababu Tanesco imeshindwa kujimudu.

Kwahivyo nimekujibu 'holistically', kuna kuna sector nyingi za uchumi zinataka priority, Kenya haiwezi changa billioni $3B kwa project moja tu kwa mda mfupi, Na pia tukilipia wenyewe kwa miaka mitatu bado itakua ni pesa nyingi zinaenda kwa project moja, Hio wakenya hawawezi kubali, kwahivyo inabidi tuchukue loni tutakayolipa pole pole kwa mda wa miaka sabini, tena tunapewa mda kama miaka kumi hivi kabla tuanze kulipa, hii inatupatia mda wa kuanza kutengeneza pesa kutokana na hio project.
 
Back
Top Bottom