Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #321
Mkuu, Chige uliahidi kuwa ungechangia kuhusiana na ujasusi wa kiuchumi ila naona kimya. Ila kama umetingwa na majukumu hakuna tatizo, lakini tungependa utie hata neno moja juu ya hilo.Kwa sasa nitachangia kidogo kwenye hoja ya Kiswahili na baadae nitachangia kwenye mada kuu ya economic espionage!!
Lengo lako ni kuturingishia kuwa ulisoma english medium?Relax and enjoy your day.
All is well if ends well
Swali fikirishi je kuna uhusiano kati ya matamko ya majukwaani na ujasusi "unguided policy"(sera za majukwaani na ujasusi) one man band or herding behaviorHivi unajua kwa kuna uhusiano mkubwa sana kati ya ujasusi na siasa? Nimeamua kukukumbusha hivyo baada ya kuona umeorodhesha political factors kama moja ya sababu za kufa kwa biashara.
Mimi sio mtaalam wa ujasusi brotherSwali fikirishi je kuna uhusiano kati ya matamko ya majukwaani na ujasusi "unguided policy"(sera za majukwaani na ujasusi) one man band or herding behavior
Idd Amin alitandikwa kama mtoto mdogo na vijana wa TPDFuganda tulihangaika sana, kwa kenya haitachukua round, issue ni kupata sympathy ya jumuiya ya kimataifa tu
Mwambie tutamshughulikiaHuyo jamaa ni agent wa Kenya
Hamna kitu porojo tuu... TISS hawapo strong tusingechezewa na hawa waKenya.Asee ni vile mko mbali na systeam...hivo amuwez jua lolote...
Hakuna watu wanaopambana usiku na mchana kama Tz Intell!genc!!!!!(Tiss"""Mi"")
Bila kuwataja CCM haujisikii raha?Tiss main task yao kubwa ni kusaidia ccm kushinda uchaguzi kwa kumwaga au kutomwaga damu ila muradi ccm ishinde , mambo ya economic espionage hawana habari nayo kabisaaa .
TISS ndio baba lao Afrika nzimaHamna kitu porojo tuu... TISS hawapo strong tusingechezewa na hawa waKenya.
Hapana ila nafanya practice kutoka kwa Rasi simbaLengo lako ni kuturingishia kuwa ulisoma english medium?
Mkomavu mtoto wa MasakiHapana ila nafanya practice kutoka kwa Rasi simba
Masaki ya uzaramuni eeeh??Mkomavu mtoto wa Masaki
Masaki njia ya Coco beachMasaki ya uzaramuni eeeh??
Hapana huko sijawahi kufikaMasaki njia ya Coco beach
Unakataa ili usionekane unaringa lakini wewe ni mtoto wa kishua sanaHapana huko sijawahi kufika
Maisha yangu magumu sana chiefUnakataa ili usionekane unaringa lakini wewe ni mtoto wa kishua sana
Hussein Melkiory uwe na maisha magumu?Maisha yangu magumu sana chief
Kwanini nisiwe na maisha magumu?? Kuwa Hussein Melkiory ndiyo kielezo cha maisha mazuri??Hussein Melkiory uwe na maisha magumu?
Mzee Melkiory Adam Mwakipesile alikuwaga boss zamani TRA. Alifanya kazi na baba yangu mdogo. Kipindi hicho ilikuwa inaitwa Income Tax Department badala ya TRA.Kwanini nisiwe na maisha magumu?? Kuwa Hussein Melkiory ndiyo kielezo cha maisha mazuri??
Ngoja waje mkuu hao akina melkiorMzee Melkiory Adam Mwakipesile alikuwaga boss zamani TRA. Alifanya kazi na baba yangu mdogo. Kipindi hicho ilikuwa inaitwa Income Tax Department badala ya TRA.