Mkuu tatizo letu ni moja,sisi kazi ya usalama wa taifa ni kuwawinda wapinzani na kuwapoteza, imagine akina bashite ndio walikuwa viongozi wao wa kupanga misheni,
Wakati wenzetu wanaangalia fulsa na kuzinyakua ,
Usalama wanamlinda mtu kwa maslahi yake wanaacha nchi na uchumi unakimbiziwa nje ya nchi,
Na shida nyingine wakajigeuza wambea wa kuchunguza wananchi wenye hela na kuwanyang'anya, ili kunusuru mitaji watu wakaangalia wapi hakuna wanyang'anyi wakakimbilia huko,
Wakati huo huku tunaimbishwa wimbo wa wanyonge