Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

sema kenya sijawahi kuwa na imani nayo kwenye uchumi wetu
rais mwenyewe mtoto wa mjini kama wanavosema watoto wa town
Wewe kweli huna exposure, kujifungia hapo kariakor kweli kumekudhuru.
 
Yaan we jamaa kula likes 1m.

Huwa sipendi kabisa kuinekana mnyonge katika hii dunia.

Uzembe wetu utufanye tuendelee kujifingia.

Eti voda ife kisa mkenya.

Tujiandae kupambana kwa akili na maarifa kukuza uchumi wetu na maslahi ya nchi yetu lakn sio kwa ujinga huu mnaotaka tuogpe kila mtu asiye mtanzania.
Anachokifanya Rais Samia ndicho hasa kazi ya serikali.

Ndio maana kaenda na kundi la wafanyabiashara.

Kazi ya serikali ni kuchonga njia. Sasa raia wakishindwa kupita hiyo siyo kosa tena la serikali.
 
Suala la general tyre kufa ulikuwa ufisadi tu kama ufisadi mungine unaofanywa na watanzania sio kenya ilisababisha ni kama mashirika mengine ya umma yalivyokufa.

Watanzania wanapaswa kushindana sio kuogopa Hii ni fursa .
Wapo watanzania Wengi wamefanya biashara kenya kwa mafanikio miaka na miaka hasa wale wa jamii ya mikoa inayopakana na kenya ushahidi upo .
Makampuni makubwa ya kenya mfano ya karatasi mgololo iringa , safaricom , kenya airways , kenya breweries nk nyingi Wamesajili kenya Lakini Mitaji na maamuzi Na uendeshaji ni wazungu au na mfano safaricom na Ka ni kampuni za ulaya zimeweka mitaji yao hapo kupata faida

Kampuni za utalii za moshi na arusha kesho wakafungue Ofisi mpya Nairobi na hasa jomo Kenyatta airport kuchota watalii Hii ni fursa kubwa.
Wafanya biashara wa Mazao ombeni
Mikopo benki mufungue warehouse kenya kule mchele, maharage , mahindi, ngano nk ni mali

Ipp, baressa, mo ,Rostam , oryx nk fungueni matawi
Kwenye mahoteli wafanyakazi wa Tanzania kuweni wabunifu wakenya ni wabunifu sana , mfano kuna tatizo nilipata nikiwa na mgeni wangu mfanyakazi mtanzania akashindwa dada mkenya akafaulu kutatua
 
Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??

Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,

Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee

Huu ni ulemavu hakika.

Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.

Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.

This is too much.
Ukweli kabisa ,kwani sisi tuna nini mpaka tujione wa thamani/wanyonge kuliko wakenya kwenye mwingiliano wa shughuli zetu za kiuchumi?
 
Kenya ni wakucheza nao kwa Akili sana naelewa Rais ana rundo la washauri tena experts wasimfiche katika hili. JPM aliwajua vizuri wa kenya na akaamua kudeal nao Jino
 
Watz wengi bado mabwege wengi mpaka sasa bado wanataka Serikali iwasaidie kwa kila kitu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Kazi ya mzazi wanahamishia serikali, mwisho wa siku wanashindwa kuibana serikali iwape vikubwa Kama hospital za kisasa za serikali kila mkoa mpaka hao wakenya waje kutibiwa huku pato la Taifa liongezeke.
 
Ukweli mchungu huu,sasa ni kama tunaanza moja,
Tuliongozwa na wajinga wenye mawazo ya kimasikini,

Walioamini kila mwenye hela ni mwizi, na matatizo /umasikini wao umesababishwa na wenye hela,

Hakika Kama mateso tuliyapata hasa
Na wakati umasikini wao umesababishwa na kuchezea muda, kuanzia mtoto mpaka mzee hakuna wa kumsaidia mwenzake atumie muda wake vizuri.
 
Na wakati umasikini wao umesababishwa na kuchezea muda, kuanzia mtoto mpaka mzee hakuna wa kumsaidia mwenzake atumie muda wake vizuri.
Wametusumbua sana hao wanyonge na bongo zao zilizoganda
 
Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
  • Sheria kandamizi
  • siasa chafu
  • ulimbukeni wa viongozi
  • visasi
  • wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Hamna cha ujasusi wala nini.

Umeshataja marehemu ambaye alitawala 5 years. Umeridhika. Hivyo Viwanda kenya vinawasaidiaje wananchi wa kawaida. Umeshawahi fika.
 
TISS si walikuwa bize na chadema uchumi ungekuwaje sasa
 
Hili
..Looh!!

..Wafanyabiashara ndio hao wamenyang'a nywa fedha.

..Maana yake hawana mitaji ya kushindana na Wakenya.

..Vijana nao wanaambiwa wasijifunze Kiingereza watakuwa watumwa na ni kukosa uzalendo.

..Maana yake huyu kijana akienda kwenye usaili wa kampuni ya wawekezaji wanaotoka nje atashindwa kupata kazi.

..Tunalalamika elimu yetu ni ya nadharia. Na juu ya hilo tunawalemaza vijana kwa kuwanyima communication skills.

..Tunawafanya vijana wetu wasiweze kushindana ktk soko la ajira la Afrika Mashariki. Tumesalimu amri kabla hata mchezo haujaanza.
Mama aambiwe ikiwezekana aanzeshe Ruzuku Maalumu kwa wafanyabiashara wakati
 
majasusi wa tanzania badala ya kuwekeza nguvu, akili na umahiri katika kufanya economic espionage kwa mataifa ambayo ni washindani wetu kiuchumi, wanawekeza katika kudhibiti vyama vya upinzani.

china imefika hapo ilipo kiteknolojia baada ya kuwatumia vizuri majasusi wake kuiba teknoloji za mataifa ya magharibi. leo hii asilimia kubwa ya vifaa vya kielektoniki tunavyotumia hapa tz vinatoka china.
 
Kwenye work permit mama asijaribu,huku tayari wakenya wengi sana kwenye mahoteri ya kitalii kuliko watz na sisi hawawezi kutupa ajira huko.
Ni lugha za kisiasa tu.
Wantanzania tusipobadilika,tukaendelea na uvivu na janjanja ya mafanikio Bila jasho,tutaachwa nawenzetu wengi duniani,na hata majirani zetu,matokeo yake,tutaishia kusasingizia wao ndi sababu ya kutofanikiwa kwetu.
 
Back
Top Bottom