kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Ukweli mchungu huu,sasa ni kama tunaanza moja,..Looh!!
..Wafanyabiashara ndio hao wamenyang'a nywa fedha.
..Maana yake hawana mitaji ya kushindana na Wakenya.
..Vijana nao wanaambiwa wasijifunze Kiingereza watakuwa watumwa na ni kukosa uzalendo.
..Maana yake huyu kijana akienda kwenye usaili wa kampuni ya wawekezaji wanaotoka nje atashindwa kupata kazi.
..Tunalalamika elimu yetu ni ya nadharia. Na juu ya hilo tunawalemaza vijana kwa kuwanyima communication skills.
..Tunawafanya vijana wetu wasiweze kushindana ktk soko la ajira la Afrika Mashariki. Tumesalimu amri kabla hata mchezo haujaanza.
Tuliongozwa na wajinga wenye mawazo ya kimasikini,
Walioamini kila mwenye hela ni mwizi, na matatizo /umasikini wao umesababishwa na wenye hela,
Hakika Kama mateso tuliyapata hasa