Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

..Looh!!

..Wafanyabiashara ndio hao wamenyang'a nywa fedha.

..Maana yake hawana mitaji ya kushindana na Wakenya.

..Vijana nao wanaambiwa wasijifunze Kiingereza watakuwa watumwa na ni kukosa uzalendo.

..Maana yake huyu kijana akienda kwenye usaili wa kampuni ya wawekezaji wanaotoka nje atashindwa kupata kazi.

..Tunalalamika elimu yetu ni ya nadharia. Na juu ya hilo tunawalemaza vijana kwa kuwanyima communication skills.

..Tunawafanya vijana wetu wasiweze kushindana ktk soko la ajira la Afrika Mashariki. Tumesalimu amri kabla hata mchezo haujaanza.
Ukweli mchungu huu,sasa ni kama tunaanza moja,
Tuliongozwa na wajinga wenye mawazo ya kimasikini,

Walioamini kila mwenye hela ni mwizi, na matatizo /umasikini wao umesababishwa na wenye hela,

Hakika Kama mateso tuliyapata hasa
 
Kwani huyu mama umemuona na kasoro gani....ndo nyie muliokua mnamshabikia mwendazake kwasabb anatesa nakufunga matajiri wakati anaua uchumi....huyu mama ameanza kurekebisha mmeanza dharau zenu
Pwapwa toka mwanzo nilisema huyu mama simwamini hata kidogo, japo ana nafuu kuliko yule dikteta
 
Ukweli mchungu huu,sasa ni kama tunaanza moja,
Tuliongozwa na wajinga wenye mawazo ya kimasikini,

Walioamini kila mwenye hela ni mwizi, na matatizo /umasikini wao umesababishwa na wenye hela,

Hakika Kama mateso tuliyapata hasa
Kimsingi mwendazake alichelewa kuondoka, alitakiwa kundoka tangu 2017
 
Wajifunze Kiingereza lakini wasikitelekeze Kiswahili.

..haiwezekani kukitelekeza Kiswahili kwa mazingira ya Tanzania.

..mtoto wa Kitanzania atake asitake lazima atakijua Kiswahili.

..Challenge iko kwenye Kiingereza ambacho kwa bahati mbaya serikali ya awamu ya 5 imekipiga vita kwa mafanikio makubwa sana.
 
Sisi tuliwachezwa vp nao au taasisi zetu hatuna vitengo hivyo vya kupambana na mambo ya kiuchumi!

Ova
 
Hawa hawa walioshindwa kudhibiti siri nzito za serikali kuvuja kwa Kigogo kwa miaka mitano mizima au wengine? Ulishaona wapi taasisi makini ya intelijensia inakuwa na mole miaka na miaka bila kumgundua?

Hopulesi !!!
Hata taasisi kubwa Duniani zinakutana na changamoto za kiitelijensia tena kubwa na zenye siri nzito anavyoongea kigogo ni vitu vya kawaida tu ambavyo vinajulikana na vingi ni uongo na yupo ki propaganda zaidi.
 
Sisi tuliwachezwa vp nao au taasisi zetu hatuna vitengo hivyo vya kupambana na mambo ya kiuchumi!

Ova
Taasisi hizo zipo ila zimejikita sana kwenye siasa na kutetea maslahi ya wanasiasa watawala
 
Kenya ni adui wa Tanzania na hajawai kuwa rafiki wa kweli wa Tz na Serikali yetu inajua ila uhusiano huu wa Mama Samia na Mh. Uhuru sina shaka nao kiulinzi na kiusalama ni kama ule wa Hayati Magufuli na PK wa Rwanda mwanzoni mwa utawala wa JPM. Urafiki wao tuliona kama anahatarisha usalama wetu kama nchi ukizingatia miaka michache nyuma kulikua na mgogoro mkali wa ki diplomasia kati ya nchi hizi mbili na ulipilekea kutoleana maneno makali kati ya Rais Kikwete na Kagame. Sidhani kama kuna kitu kitabadilika katika mambo ya ujasusi wa kiuchumi kati yetu na wao watadeal nao perpendicular.
 
Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??

Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,

Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee

Huu ni ulemavu hakika.

Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.

Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.

This is too much.
Yaan we jamaa kula likes 1m.

Huwa sipendi kabisa kuinekana mnyonge katika hii dunia.

Uzembe wetu utufanye tuendelee kujifingia.

Eti voda ife kisa mkenya.

Tujiandae kupambana kwa akili na maarifa kukuza uchumi wetu na maslahi ya nchi yetu lakn sio kwa ujinga huu mnaotaka tuogpe kila mtu asiye mtanzania.
 
Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??

Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,

Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee

Huu ni ulemavu hakika.

Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.

Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.

This is too much.
Mentality ya mtanzania kulalamikalalamika na kuhisi anaonewa na kuibiwa ilipaliliwa sana na mwendazake.

Kwenye hotuba zake mara nyingi amekuwa akiwalalamikia mabeberu wanatupiga mara nchi hii imechezewa sana.

Now hayupo mataga waliobaki wanaendeleza mwendo wa kulalamika tunaibiwa mara sijui wakenya wezi na blah blah nyingine.
 
Sisi kama Watanzania tukubali au tukatae, lakini ukweli utabakia pale pale, Wakenya wametuacha mbali sana kiuchumi, kitaaluma na kiujanja. Huo ni ukweli mchungu na hakuna namna bali kukubaliana nao.
Tanzania bado tuko nyuma sana kwenye kila sekta ukilinganisha na Kenya. Tulichowazidi Wakenya ni hii "amani" yetu nayo ni amani sababu ya "uwoga" wetu (cowardice) na siyo amani halisi.
Hivyo basi ni lazima tukubali tu katika maakubaliano waliofanya Rais SSH na UMK, atakayenufaika zaidi ni KENYA na sio TANZANIA.
 
Hawa hawa walioshindwa kudhibiti siri nzito za serikali kuvuja kwa Kigogo kwa miaka mitano mizima au wengine? Ulishaona wapi taasisi makini ya intelijensia inakuwa na mole miaka na miaka bila kumgundua?

Hopulesi !!!
word
 
Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
  • Sheria kandamizi
  • siasa chafu
  • ulimbukeni wa viongozi
  • visasi
  • wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Hamna cha ujasusi wala nini.
Kwenye mambo ya uchumi analeta mabavu!!na visasi, akiambiwa anasema watakuja wengine!hao wengine wako wapi, siasa za miaka ya 60, za kupigania uhuru ndio uzitumie miaka hii LAZIMA U FAIL TU MJINI!!
 
sema kenya sijawahi kuwa na imani nayo kwenye uchumi wetu
rais mwenyewe mtoto wa mjini kama wanavosema watoto wa town
 
Hivi niwaulize,corporate tax ni asilimia ngapi Tanzania?Ninaskia mnalia sana kuhusu sheria kandamizi na kampuni za TZ kutorokea kenya...sielewi kwa sababu huko kwenu Income tax naskia ni 8% tu na huku kwetu ni 30% lakini ni progressive hadi 35% kwa wale wanaolipwa $60,000 per year.
 
1-Waendeshaji magari ya kitalii wa Tz wanaruhusiwa kuenda hadi JKIA bila shida,wa Kenya kupita staight ivo hakuna.
2-kuvuka game parks from KE to Tz, unatozwa hela kibao, wanaotoka Tz kuingia KE, hawapitii hayo.
3-bidhaa za KE, kama maziwa, mayai, kuku, ukija Tz, taxes ziko juu. Bidhaa za Tz zikija KE, sivyo.

Juzi, Uhuru kaweka sheria ya kutozwa kodi kwa chupa za glass kutoka Tz, imekuwa balaa hadi kesi inaendelea.
NB;mnaosema KE inawanyemelea kwa nia fiche isiyonzuri kwa taifa la Tz, hivi hapo juu unaona nani ndio anafaa alalamike, KE ama Tz! Na bado KE wamenyamaza, nyie ndio fujo tu!
 
Back
Top Bottom