Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Zinaepukika kwa kufuata welediTaaluma za watu zinataka ufanye kazi katika kila sehemu siasani hakuepukiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaepukika kwa kufuata welediTaaluma za watu zinataka ufanye kazi katika kila sehemu siasani hakuepukiki.
Muhimu ni ushindani. Na kwenye dunia kama hii huwezi kukwepa ushindani kwasababu ndicho kichocheo cha ubora.Wao wenyewe huko Kenya wanalia, hivi unadhani vita hivi ni mchezo?
'Cartels' wanacheza na uchumi wa kenya, halafu wewe unasema waTanzania wanalialia?
Subiri utakaposhuhudia 'full blast' ya 'tenderpreneurs' itakapohamia hapa ndipo utaelewa vizuri.
Ninajua nakujibu wewe mkuu 'Mkaruka', naelewa mara nyingi hatujawahi kuwa pembe tofauti kimtazamo kama leo.
Mkuu mimi nimefanya kazi na wakenya.Watu wanashangilia kitu kitakachokuja kuwagharimu siku za usoni bila wao kujua! Majamaa yata lobby, yatafanya kila aina ya mbinu aggressively kushika usukani na tabia yao ya rushwa ile ikipandikizwa vizuri nchini tutaimba na kucheza nyimbo moja!
Barabara kampuni za kikenya! Madini kampuni za Kikenya! Supplies kampuni za Kikenya maana smartness wametuzidia na ni sababu kwao ku survive inahitaji akili nyingi sio mtori mtori kama sisi huku! Sehemu pekee tutakula nao sawa ni mashambani tu ndio watu watafaidi kutuma mizigo mpakani ikauzwe Kenya ila itaenda nao watakuwa wananunua Mashamba bongo na kulima wenyewe hapo ndio tutajua hatujui 😂😂😂!
Mkenya na mchagga tofauti yao ni shimboni shaffo tu tena bora wachaga ni ndugu zetu wale! Hao mahuni from Nai watakuja kutunyoosha ni swala la muda tu!
Wacha tukomae nao tuoneMkuu mimi nimefanya kazi na wakenya.
Wana strength zao na weakness zao lakini siyo kwamba hatuwaezi.
Tuachane na hii inferiority complex.
Imagine, bongo fleva ime take over Kenya na kila wanavyojaribu kujinasua imeshindikana, kwanini tuwaogope kwa vitu vingine?
Ukiachana na uthubutu na kuongea kiingereza Wakenya hawana jipya.
Hivi kama tukiwaogopa wakenya, wanigeria tutawaweza?
Kama ni rushwa, hakuna mabingwa wa rushwa kama wachina na wahindi ila tunaishi nao humu humu.
Nani kakwambia uchumi wa Tanzania umedorola kipindi cha JPM? JPM kaitoa hii Nchi shimoni na mumshukuru sana.Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
Hamna cha ujasusi wala nini.
- Sheria kandamizi
- siasa chafu
- ulimbukeni wa viongozi
- visasi
- wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Hiyo itakua sio nchi kama ipo nchi ya namna hiyo itakuwa Jamuhuri ya watu wa Twitter Rais wao kigogo.Zinaepukika kwa kufuata weledi
Utu hauhusiani na ujamaa. Ni roho ya mtu tu.Wajamaa wana roho za utu tofauti na mabepari ambao wapo tayari kuua kwa sababu ya mali ambazo akina Bush Sr. wamekufa wameacha.
Wajamaa wanapambana kiungwana na kwa askili nyingi. Jaribu kulinganisha REPUBLICANS na DEMOCRATS kwa kule Marekani.
Wewe ni mwanasiasa?Hiyo itakua sio nchi kama ipo nchi ya namna hiyo itakuwa Jamuhuri ya watu wa Twitter Rais wao kigogo.
Mapambano yao kwa sehemu kubwa yame base kuifanya ccm kua madarakani na asilimia kidogo ndio wanawekeza kwenye ustawi wa nchi.Asee ni vile mko mbali na systeam...hivo amuwez jua lolote...
Hakuna watu wanaopambana usiku na mchana kama Tz Intell!genc!!!!!(Tiss"""Mi"")
Vodacom haijawahi kuendeshwa na Mtanzanzia ila watu wanaona ni bora kuliko alivyopewa Mkenya !Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??
Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,
Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee
Huu ni ulemavu hakika.
Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.
Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.
This is too much.
Kwanza VodaCom ni kampuni la kibeberu na limeletwa nchi hii na Rostam Aziz.Ni mpumbavu tu anayeweza kuamini Vodacom Tanzania inaweza kuondoshwa katika soko la Tanzania na mkenya.
Kuna wengine hata hiyo Work permit hawajui ni kitu gani.Vodacom haijawahi kuendeshwa na Mtanzanzia ila watu wanaona ni bora kuliko alivyopewa Mkenya !
Tatizo kubwa nadhan ni exposure pamoja na kujiona wanyonge ,
tumebaki kulalamika mama asiruhusu work permit , badala ya kujiuliza na sisi tutanufaika vipi na ujio wao hapa kwetu.
mkuu ujssusi wa kiuchumi upoo sana - USA vs China..nadhani tunakosea sana kuwakweza TISS na kukabidhi maisha yetu mikononi mwao.
..suala la viwanda kufa au kustawi linategemeana na mazingira ya kibiashara yaliyoko Tz.
Mimi huwa sielewani kabisa na wewe humu JF lakini kwa point hii ninakusifia. Umeandika point ya maana sana.Sisi tumebaki kulalamika tu. Ukimwajiri mbongo yaani Jumatatu anaumwa, Jumanne, kafiwa na bibi yake, Jumatano baba yake wa babu yake ana birthday, Alhamisi amepata dhatula mke wake anaumwa, Ijumaa akijitahidi atakuja kazini lakini ataomba ruhusa saa 4 asubuhi.
JPM na Rais Samia wote wana nia njema na Tanzania yetu.Nani kakwambia uchumi wa Tanzania umedorola kipindi cha JPM? JPM kaitoa hii Nchi shimoni na mumshukuru sana.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mkuu, je, unaamini kuwa michezo ya ujasusi wa kiuchumi huwa inafanyika sana hapa duniani?..nadhani tunakosea sana kuwakweza TISS na kukabidhi maisha yetu mikononi mwao.
..suala la viwanda kufa au kustawi linategemeana na mazingira ya kibiashara yaliyoko Tz.
Tanzania na Kenya ni kama Simba na YangaKwenye work permit mama asijaribu,huku tayari wakenya wengi sana kwenye mahoteri ya kitalii kuliko watz na sisi hawawezi kutupa ajira huko.
Ni lugha za kisiasa tu.
Mimi sio mwanasiasa.Wewe ni mwanasiasa?
Hatuwataki Wakenya bora WagandaKuna wengine hata hiyo Work permit hawajui ni kitu gani.
Ilimradi ni kubishana tu.