Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania. Should this necessarily be "quid pro quo"?

Bora tushirikiane na wakenya majirani wetu wengine sio wazuri eg Rwanda
 
Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??

Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,

Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee

Huu ni ulemavu hakika.

Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.

Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.

This is too much.
Kila siku tunaambiwa sisi ni wanyonge na tumeamini hivyo! Hata ukigawa hizo passport hatutatoka nje ya mipaka yetu kwa sababu ya unyonge .wetu. Huko nje tutaende kuongea na nani maana lugha za wajanja hatuzijui ni za mabeberu. Tutaendelea kulialia mpaka mwisho wa dahali!!!
 
Natamani sana TISS ingekua na msemaji ila ndo haiwezekani wanakufa na tai shingoni...

Naipongeza sana sana TISS wanatimiza wajibu wao ambapo machon pa wengi hili halionekani
 
Natamani sana TISS ingekua na msemaji ila ndo haiwezekani wanakufa na tai shingoni...

Naipongeza sana sana TISS wanatimiza wajibu wao ambapo machon pa wengi hili halionekani
TISS ni mashujaa wa Tanzania
 
..hebu nipe mfano mmoja wa hiyo " michezo ya kijasusi wa uchumi " ambao sisi watz tumewahi kufanya.
Mimi nimekuuliza tu mkuu je, unaamini kuwa michezo ya ujasusi wa kiuchumi huwa inafanyika sana hapa duniani?
 
Mwaka juzi wa 2019 Mwezi November, JF Member My Son drink water aliwahi kusema kwamba "Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"
==========
==========
Habari zenu waungwana wa jamiiforums

FRIDAY SEPTEMBER 28, 2018: Vodacom Tanzania said on Friday the government had denied its incoming chief executive officer, a Kenyan, a work permit, and it would have to restart the recruitment process.

In April, Vodacom Tanzania named Sylvia Mulinge, at the time head of business at Kenya's biggest telecoms operator Safaricom to the post. She was meant to take up her position on June 1.
==========
==========
Kwani kama mtu alikuchangia USD 200 katika maandalizi ya harusi yako ni lazima na wewe umpe kiasi hicho hicho cha pesa yeye atakapokuwa anajiandaa kuoa/kuolewa?

Kwani kitendo cha Rais Uhuru Kenyatta kufuta work permits pamoja na Business Visas ni lazima kiwe nipe nikupe (quid pro quo) kwa taifa kubwa la Tanzania? Kuna ulazima wowote wa Tanzania nayo kufuta vibali hivyo kwa raia wa Kenya?
==========
==========
Baada ya Rais Kenyatta kufuta documents kwa wafanyakazi wa Tanzania ndio ninakumbuka maneno yaliyopo humu humu JF ya member mmoja anayetumia jina la My Son drink water kwamba;

"65% ya viwanda vilivyokufa Tanzania vilikuja kufufukia Kenya, tafsiri yake ni kwamba, Usalama wa Taifa wa Kenya, KNIA walifanya yao huku TISS yetu ikiwa imelala, na Kiwanda cha mwisho kuhamia Kenya ni cha General Tyres, yaani ajira zinakufa Tanzania kisha zinawafufukia Wakenya. Kenya imecheza sana ujasusi wa kiuchumi dhidi ya Tanzania, nashukuru Mungu tena dakika za mwisho TISS walistukia mchezo vinginevyo VodaCom nayo ilikuwa inakufa na ingekuja kufufukia Kenya"

SWALI: Tutegemee "Sylvia Mulinge" wa Safaricom kurudi kuwa CEO wa Vodacom endapo Tanzania itafuta work permits pamoja na Business Visas kwa raia wa Kenya?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Sasa sielew vodacoma wangeiuwa kwamba wa TZ wangehamia safaricom which is no zaid zaid wangesajili line za tigo,halotel au Airtel, sioni mahusiano hapo labda mtoa maada aeleze kwa kina maana CEO wa voda hata sio mtz bado ni mmisri Sasa hapo uo ujasusi ulikuwa unasaidia vipi Kenya Kama taifa endapo Vodacom ambayo hata sio Mali ya tz ingeanguka
 
Sasa sielew vodacoma wangeiuwa kwamba wa TZ wangehamia safaricom which is no zaid zaid wangesajili line za tigo,halotel au Airtel, sioni mahusiano hapo labda mtoa maada aeleze kwa kina maana CEO wa voda hata sio mtz bado ni mmisri Sasa hapo uo ujasusi ulikuwa unasaidia vipi Kenya Kama taifa endapo Vodacom ambayo hata sio Mali ya tz ingeanguka
Ni utapeli tu
 
Back
Top Bottom