Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Haha, mkuu, ni kweli lakini nampa vitu real huyo, ka hela hana, alafu anatarajia mambo yanyooke, urongo huo. Sahi kisomo kinaambatana na hela + connection. Bila hivyo, atabaki kulia lia tu wakati ndugu zake wanapiga kazi za kishua huku.Kijana 254 nakuona unatetea nchi yako
Wewe uko ndani ya system?Asee ni vile mko mbali na systeam...hivo amuwez jua lolote...
Hakuna watu wanaopambana usiku na mchana kama Tz Intell!genc!!!!!(Tiss"""Mi"")
Kenyatta amekulia Marekani, Samia Kidogo chekunduKenyatta amemtega Rais Mama Samia
Kwanza unatakiwa kujifunza kwa aliyekutangulia kuliko kung'ang'ana na BurundiUo ujasusi kwani Tanzania imezuiwa kuwafanyia Kenya ?
Fanyeni kazi vijana mpate pesa tuache kulia lia
Mambo ya kufanyiwa ujasusi mbona ni ya kawaida tu hata sisi kwani hatufanyi ujasusi kwa Kenya?
Na nchi zote za maziwa makuu? Acheni utoto.
Watz wengi bado mabwege wengi mpaka sasa bado wanataka Serikali iwasaidie kwa kila kitu.Tanzania inaweza kushindana na Kenya Ila watanzania hawawezi kushindana na wakenya
Huu ndio ukweli.Swadakta kabisa mkuu, kinachoigharimu Tz yetu ni mifumo ya hovyo na ujanja² wa kiswahili. Mtoa mada + MATAGA wanahangaika sana kulinda legacy ya Jiwe, hawataki kusema ukweli kwamba uchumi wa Tz kudorora ni matokeo ya;
Hamna cha ujasusi wala nini.
- Sheria kandamizi
- siasa chafu
- ulimbukeni wa viongozi
- visasi
- wivu wa kitoto kwa wenzetu n.k n.k
Tatizo watz maskini wa mawazo Fursa zimefunguliwa Kenya na tz utaona wenzetu watavyochangamkia Fursa sisi tutaanza kuvaa fulana za cccm nakuanza kulaumu wakenya wanachukua Fursa zetu ujinga.Kwani baada ya kumkataa Sylivia Mulinge kuna mtanzania anayeendesha VodaCom kama CEO au shida ni Mkenya ??
Ziara ya Rais Samia ni kubwa na imechukuliwa kwa ukubwa sana na wakenya ila kwetu sisi,
Muda wote ni wanyonge kazi yetu ni kujishuku shuku muda wote, kujiona wanyonge tutapigwa, hatujiwezi. Aisee
Huu ni ulemavu hakika.
Ningekuwa Rais nchi hii, ningegawa passport kwa kila mtu akazurule huko nje labda unyoronyoro ungetoka.
Mbongo muda wote ni kulalamika na kuhisihisi kujiona anaonewa muda wote.
This is too much.
Akikujibu nami niite nisome ccm imeharibu akili za matz mengi.1-umesoma?
2-umeomba kazi ukanyimwa?
3-una connection hata ya jamaa zako KE?
4-una hela ya ziada ya kujisaidia ukiwa ugenini?
5-unaweza kujituma bila kulalamika?
6-mwisho, what's your future plans wakati unataka kufanya kazi inje?
NB:Ukijijibu hayo, bila shaka hutaona wa kukubwaga maishani kwa lolote utakalotaka kufanya, pahali popote pale duniani!
Mkwamo wetu hapa ndipo ulipoSuala la viwanda kufa Tanzania ni kutokana na mtazamo wa uchumi wa kidola tulionao pamoja na siasa.
Kuna mashirika mazuri nchi hii, lakini wakurugenzi badala ya kuwekwa wenye weledi mtu anakabidhiwa shirika kwasababu alimsaidia fulani kwenye kampeni za uchaguzi.
Au yuko karibu na mwenye madaraka au kutoka chama fulani.
Tafsiri yake mtu anapewa shirika ili atafune wakati wake, shirika likifa utamlaumu nani
Mkuu tatizo letu ni moja,sisi kazi ya usalama wa taifa ni kuwawinda wapinzani na kuwapoteza, imagine akina bashite ndio walikuwa viongozi wao wa kupanga misheni,..nadhani tunakosea sana kuwakweza TISS na kukabidhi maisha yetu mikononi mwao.
..suala la viwanda kufa au kustawi linategemeana na mazingira ya kibiashara yaliyoko Tz.
sema huyo alikuwa mbongo tuu hahahaInanikumbusha ile stori ya jamaa aliyeambiwa na "mungu" aombe kitu kimoja kwa sharti kwamba chochote atakachoomba atapewa lakini nduguye atapewa mara mbili yake! Jamaa alivyo na roho mbaya akaomba atobolewe jicho moja.....! (Ili nduguye awe kipofu kabisa)
Hili lina connection gani na mada mkuu hizo ndo tabia za wstanzania hatuwezi kuchambua masuala muhimu ya uchumi tunatanguliza dharau tu.Kenyatta amekulia Marekani, Samia Kidogo chekundu
Mazingira mkuu yanachangia snHili lina connection gani na mada mkuu hizo ndo tabia za wstanzania hatuwezi kuchambua masuala muhimu ya uchumi tunatanguliza dharau tu.
Mkuu tatizo letu ni moja,sisi kazi ya usalama wa taifa ni kuwawinda wapinzani na kuwapoteza, imagine akina bashite ndio walikuwa viongozi wao wa kupanga misheni,
Wakati wenzetu wanaangalia fulsa na kuzinyakua ,
Usalama wanamlinda mtu kwa maslahi yake wanaacha nchi na uchumi unakimbiziwa nje ya nchi,
Na shida nyingine wakajigeuza wambea wa kuchunguza wananchi wenye hela na kuwanyang'anya, ili kunusuru mitaji watu wakaangalia wapi hakuna wanyang'anyi wakakimbilia huko,
Wakati huo huku tunaimbishwa wimbo wa wanyonge
Kwani huyu mama umemuona na kasoro gani....ndo nyie muliokua mnamshabikia mwendazake kwasabb anatesa nakufunga matajiri wakati anaua uchumi....huyu mama ameanza kurekebisha mmeanza dharau zenuMazingira mkuu yanachangia sn
Wajifunze Kiingereza lakini wasikitelekeze Kiswahili...Vijana nao wanaambiwa wasijifunze Kiingereza watakuwa watumwa na ni kukosa uzalendo.