JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Hakuna kufungua mipaka,kwao hakuna fulsa,kwetu zipo kibao,tukifungua mipaka,wao ndio watafaidi zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya wametutega lakini tumeshtukia ujanja waoHakuna kufungua mipaka,kwao hakuna fulsa,kwetu zipo kibao,tukifungua mipaka,wao ndio watafaidi zaidi.
Nairobi wasomi wamejaa halafu kazi ni chache sana. Sasa wanataka na sisi tuseme "Tunaruhusu Wakenya waje kufanya kazi Tanzania bila vibali vyovyote vile" hahahahaaaa itakula kwetu big time mzee baba.Hakuna kufungua mipaka,kwao hakuna fulsa,kwetu zipo kibao,tukifungua mipaka,wao ndio watafaidi zaidi.
Wakikuyu wanatuona Tanzania kama mafala sana. Tutawapiga kama Idd AminHakuna kufungua mipaka,kwao hakuna fulsa,kwetu zipo kibao,tukifungua mipaka,wao ndio watafaidi zaidi.
Mkuu, kwani watanzania hakuna katika nchi zingine wanachama wa EAC?
Mbona viwanda vingi sana vimejengwa wakati wa uongozi wa awamu ya 5?..sioni mipango madhubuti ya kufanya Tz itoke kuwa mzalishaji mkuu wa raw materials za viwandani kwenda kuwa mzalishaji mkuu wa finished products za viwandani.
Itapendeza sana kama utatona na mfano kidogo juu ya hili mkuu. Elimu bure ujue sasa hivi?..sioni mikakati ya kuiboresha elimu ya Tz iwe the best in eac. Sidhani kama mitaala yetu ni ya kisasa kuliko majirani zetu. Sidhani kama tuna invest per student kuzidi majirani zetu.
Tayari Rostam alikwisha shamiri Tanzania hivyo akataka kwenda na Kenya akakutana na vizuizi kama vyote...malalamiko ya Rostam Aziz kule Nairobi yalinisikitisha. Alitakiwa alaumu serikali ya Tz kwa kutoweka mazingira yanayowezesha viwanda kushamiri huku kwetu.
Eti unasema "why should the Kny govt be responsible with Tz industrialization" wakati mnapiga kelele kuwa hao ni so-called "ndugu zetu". Huu ndio unafiki ambao mimi siutaki mkuu.Hakutakiwa alaumu serikali ya Kny. Hakuna Mtz aliipigia kura serikali ya Kny, why should the Kny govt be responsible with Tz industrialization?
Itapendeza sana kama utatona na mfano kidogo juu ya hili mkuu. Elimu bure ujue sasa hivi?
Kenya sio ndugu zetu. Sisi ndugu zetu ni Uganda..kama tunajiamini kwamba elimu yetu ni nzuri na wahitimu wetu wanaweza kushindana kwanini tunapiga mayowe kila kunapotokea pendekezo la kufungua milango ya ajira ktk EAC?
Uimara wa soko la ajira la ndani na kudhibiti "employment rate" ndio moja ya viashiria kwamba uchumi wakua...kama tunajiamini kwamba elimu yetu ni nzuri na wahitimu wetu wanaweza kushindana kwanini tunapiga mayowe kila kunapotokea pendekezo la kufungua milango ya ajira ktk EAC?
Kenya sio ndugu zetu. Sisi ndugu zetu ni Uganda
Misconceptions! Kazi ya elimu si kuajiriwa bali kujiajiri. Hapa napo ndipo hoja ya JokaKuu inapoanza kupata 'miguu' kwamba, ikiwa tuna resources lakini vijana wa jirani wanaweza kuja na kushamiri , je elimu yetu ipo sawa ?Hatua za kufungua milango ya ajira kwa wengine ilhali vijana wako wanahitimu vyuoni lakini hawana kazi hiyo si dalili nzuri.
Hapana! kuna zaidi ya Employement katika Brexit. Unajua Pound Sterling iliendelea hata baada ya EuroNdo maana nchi za Ulaya kama Uingereza waliona athari ya open door policy na free movements kwamba vilikuwa vikiwafaidisha zaidi raia wa kigeni na vijana wao wakiishi kwa "handouts".
Hapana, bado wana tatizo hakuna wachuma matunda na mboga na wameanza kwa siri kampango ka kuwaingiza watu wa EU kwa muda na mkataba. Tatizo la ajira za UK lilikuwepo na hilo haliishi kwa BrexitNa tangu Brexit ifanyike Uingereza wameanza kukufaidika kiuchumi zaidi kwa kuwaingiza vijana wao kwenye schems kama apprenticenships ili kuwapatia ujuzi kabla ya hawajaajiriwa.
Ndiyo maana JokaKuu anauliza mfumo wetu wa elimu upo sawa? Huwezi kuongelea apprentceships bila kuangalia mfumo mzima wa elimu. Kwahiyo unaungana na JokaKuuSasa suali kwa sisi watanzania je tunazo apprenticeships za kutosha kuwasaidia vijana wanomaliza VETA na vyuo vingine?
Nakubaliana nawe na hasa kuweka siasa nje ya utaalamHivyo masuala haya si ya kuyaangalia kwa haraka bali yataka ujuzi wa kuchambua uchumi, sera na mipango ya kuliendeleza taifa lenye vijana na watu wenye welewa wa what is going on.
Halafu kuna amri ya kutafsiri na kutoa hukumu kwa Kiswahili. Hili nalo ni tatizo..sawa.
..ila usisahau kwamba Uganda hata muuza matembele anaongea Kiingereza
..hapa Tz Jaji Mkuu analalamika kwamba mawakili wanaoomba usajili hawawezi kuzungumza Kiingereza.
Natamani sana EAC iweke pendekezo hilo..sasa tusije tukaanza kutafutana siku pendekezo la kufungua milango ya ajira linawekwa mezani.
Watu hawataki kusikia ukweli wanataka hoja 'sugar coated'..Kama kweli tunaipenda nchi yetu basi ni vizuri tukaambiana ukweli.
Na hakuna strategy za kurekebisha hali. Kinachoendelea ni 'protections'..Serikali imekuwa ikiwadanganya Watz tangu EAC ianzishwe miaka ya 90.
Kuwepo kwao na manufaa wanayopata ni vitu viwili tofauti...Compare makampuni zaidi ya 500 vs 30 equity ipo wapi hapo?Mkuu, kwani watanzania hakuna katika nchi zingine wanachama wa EAC?
1. Si misconceptions bali ni hali halisi. Vijana wanahitaji kuanza kujifanyia shughuli zao wenyewe baada ya kumaliza apprenciteships kinachohitajika ni uwezo wa kupata mitaji ya kuianzisha shughuli zao.Misconceptions! Kazi ya elimu si kuajiriwa bali kujiajiri. Hapa napo ndipo hoja ya JokaKuu inapoanza kupata 'miguu' kwamba, ikiwa tuna resources lakini vijana wa jirani wanaweza kuja na kushamiri , je elimu yetu ipo sawa ?
Hapana! kuna zaidi ya Employement katika Brexit. Unajua Pound Sterling iliendelea hata baada ya Euro
Uingereza ilipewa haki tofauti na za EU hata suala la ajira pia. Yaani UK ilikuwa 'special' katika EU
Wageni waliokwenda UK walitoka Poland. Walikwenda kuchuma matunda, si kazi za maofisini
Ironically, vijana wa UK walikwenda nchi nyingine kupata kazi na hiyo ilikuwa sababu ya upinzani wa Brexit
Walikuwa na advantage ya lugha kwasababu English ilikuwa ni '' Lingua franca''
Hapana, bado wana tatizo hakuna wachuma matunda na mboga na wameanza kwa siri kampango ka kuwaingiza watu wa EU kwa muda na mkataba. Tatizo la ajira za UK lilikuwepo na hilo haliishi kwa Brexit
Kuna short and long-term effects za haya mambo
Ndiyo maana JokaKuu anauliza mfumo wetu wa elimu upo sawa? Huwezi kuongelea apprentceships bila kuangalia mfumo mzima wa elimu. Kwahiyo unaungana na JokaKuu
Nakubaliana nawe na hasa kuweka siasa nje ya utaalam
Alichokisema JokaKuu ni kuwa;Kuwepo kwao na manufaa wanayopata ni vitu viwili tofauti...Compare makampuni zaidi ya 500 vs 30 equity ipo wapi hapo?
Hakuna graduate wa Tanzania asiyeweza kuzungumza kiingereza. Sema watu kama nyie mnaona mtu mwenye swagger za american english kuwa ndiye msomi na mbobezi wa lugha ya malkia...ila usisahau kwamba Uganda hata muuza matembele anaongea Kiingereza.
..hapa Tz Jaji Mkuu analalamika kwamba mawakili wanaoomba usajili hawawezi kuzungumza Kiingereza.
..nadhani tunakosea sana kuwakweza TISS na kukabidhi maisha yetu mikononi mwao.
..suala la viwanda kufa au kustawi linategemeana na mazingira ya kibiashara yaliyoko Tz.