Kenya imefungua anga kwa mataifa 11

Mbona ni kauli ya kawaida sana ..taifa kama Nigeria, Egypt , S.Africa mbona hawajatajwa ivyo wandugu msilalamike
Umesahau kauli mbiu yao ya kuombea chakula ukisema jirani yako ni ndugu sasa vipi majiran wa mbali wameruhusiwa alafu wa karibu kazuiliwa
 
See a sample of flights between Kilimanjaro and Dar per day
This is only ATCL, bado precision, hapo ukigusa Mwanza ndio balaa, Bado Mbeya na Dodoma
Visit
Www.atcl.co.tz View attachment 1522349

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna professor mmoja nilimuona akiizungumzia Tz through NTV, jamaa akasema shida Wakenya hawaijui Tz kqma ambavyo wa Tz wanajua kuhusu Kenya, mtangazaj akamuuliza kujua inasaidia nn yule professor akamjibu "ukimjua mshindani wako ni wazi umeahinda vita"

Sasa nikivyo ona hapo huyu binadamu wa kenya anafikir Tz watu hawapandi ndege sijui jamaa yupo sayari ya ngapi.
 
Kenya watafeli huwezi kushindana na tz .alafu itawapa motivation ATCl kuexpand sana kwa sababu ya soko litakalo achwa na Kenya airways.

Soko ipi kwenye dala dala hilo ATCL?, mzungu yupi mtalii aliamini hilo shirika uchwara, labda soko kwa Emirates,KLM,n.k
 
See a sample of flights between Kilimanjaro and Dar per day
This is only ATCL, bado precision, hapo ukigusa Mwanza ndio balaa, Bado Mbeya na Dodoma
Visit
Www.atcl.co.tz View attachment 1522349

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupee takwimu za idadi ya abiria bwege weye, safari zaweza kua ndege zinasafirisha korosho hamna nguvu hizo kiuchumi kama watanzania kusafiri kwa maelfu na ndege na per capita ya 1080 hahahhaha!

kalb hayawan
 
Mbona ni kauli ya kawaida sana ..taifa kama Nigeria, Egypt , S.Africa mbona hawajatajwa ivyo wandugu msilalamike

Na hao Niigeria,SA pamoja na Misri ndio wenye mihela zao huku Afrika sembuse makajamba kama nyie mitanganyika?
 

Siku zote mjinga mwenye akili kiduchu ukishajua trigger yake ni hasira za haraka za kijinga unajaribu kumbipu, unamvuta vuta zikifika za kufika unamtandika na kumchinjia kabisaaaaa baharini, kama yule mtangulizi wa hapo alivyowatumbukiza kwenye lindi la umasikini miaka mia moja sasa.

Uongozi unahitaji busara baba, mwambieni asijeteleza tuu, nyang'au ametumwa kumwinda., macho yote njeeee😎😎😎 😆 😹.
 
Tupee takwimu za idadi ya abiria bwege weye, safari zaweza kua ndege zinasafirisha korosho hamna nguvu hizo kiuchumi kama watanzania kusafiri kwa maelfu na ndege na per capita ya 1080 hahahhaha!

kalb hayawan
The same way your politicians have been fucking you with fake cosmetically butifièd statistics cooked by Ford Kenya and Jubilee conmen, tafuta mitandaoni huko you wicked witch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The same way your politicians have been fucking you with fake cosmetically butifièd statistics cooked by Ford Kenya and Jubilee conmen, tafuta mitandaoni huko you wicked witch

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaa kalb,
Sitafuti nnachojua, purchasing power ipo wazi, raia wenye huo ubavu Afrika ni ,Nigeria, SA,Egypt,Kenya ,Morocco, Angola na Ghana.
Nyie MAKAJAMBA.
KALB HAYAWAN
 
Yaa kalb,
Sitafuti nnachojua, purchasing power ipo wazi, raia wenye huo ubavu Afrika ni ,Nigeria, SA,Egypt,Kenya ,Morocco, Angola na Ghana.
Nyie MAKAJAMBA.
KALB HAYAWAN
Kenyans mazee, Show some respect to your bosses,
Are you sure you are not among hundreds of Kenyans teaching our kids English in elementary schools in Tz?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenu kuna korona lakini tukitaka kuja hamtaweza kutuzuia baba wa afrika mashariki.
Jaribuni, tutalifanyia figisu kabisa, litagonganishwa angani tutarusha kijidege kisichokua na rubani(drone),oops!
 
Mimi Mkenya nakuambia kuwa Tanzania ndio iliyozuia ndege kutua. Hatujui sababu ya kitendo hicho ila lilitendeka na Wakenya wakarudi kwao. Nyie pia hamutatua kwetu.
Safi Sana, kila mtu abaki kwao, tusubiri Magufuli atakavyo react
 
Tupee takwimu za idadi ya abiria bwege weye, safari zaweza kua ndege zinasafirisha korosho hamna nguvu hizo kiuchumi kama watanzania kusafiri kwa maelfu na ndege na per capita ya 1080 hahahhaha!

kalb hayawan
Soma hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…