Wakenya mlikuja kutoa lawama tu, Huwezi Tuma yoyote aje kuwasilisha msiba wa rais wa zamani. Mlituletea ujumbe hafifu... Na tukaona SIO sahihi ... Vile mmeleta kutoa ushahidi. Rais wenu anaogopa virusi... Tukawapiga pini...Mimi Mkenya nakuambia kuwa Tanzania ndio iliyozuia ndege kutua. Hatujui sababu ya kitendo hicho ila lilitendeka na Wakenya wakarudi kwao. Nyie pia hamutatua kwetu.
Hamna ni kwa sababu wakenya wako na akiliYote hii sababu tu wewe ni chadema?
Kabisa huu ndo ukweli mchunguNaunga mkono hoja. Afya na usalama ni kitu mzuri sana kwa mwanadamu.
Hao walikuwa chambo cha kudanganya wakenya kuwa Tz kuna Corona.Mimi Mkenya nakuambia kuwa Tanzania ndio iliyozuia ndege kutua. Hatujui sababu ya kitendo hicho ila lilitendeka na Wakenya wakarudi kwao. Nyie pia hamutatua kwetu.
Ha ha ha sasa hapa inaanza kuingia akilini.Hao walikuwa chambo cha kudanganya wakenya kuwa Tz kuna Corona.
Wangerudi wangepimwa na kukutwa na Corona afu wangesema wameitoa Tz.
Usalama wakawashtukia.
Afu pia ni dharau, ujumbe wetu kwa msiba wa moi ulikuwa wa heshima kuliko mliotuma nyinyi.