Kenya imeiacha Tanzania parefu sana kimaendeleo, shida ni nini?

Exposure kwa huyo wa high school una maanisha nini?
Ukiishi na watu wenye exposure kwenye mazingira yaliyokuzunguka automatically ubongo wako unafunguka mkuu.
Ila kama watu waliokuzunguka wote wana uono mdogo automatically inakuathiri pia hata kama uko na vyeti.
 

Tanazania tunahitji kiongozi creative wa nchi maono ya kiuchumi foward mzuri wa trick za kufunga magori sio kukata chenga tu tutatoboa tu ni bahati mbaya kiongoz wa wa nchi mungu amemtanguliza kabla ya kutumia kipaji chake vizuri sio lazima kuongea mengi nyie wenyewe mnajua na mnajionea
 

British east africa colony walichagua kenya nairobi kuwa headquoter wakikusanya malighafi za uganda na tanzania ili kujenga viwanda kenya na vituo vya kibiashara pia;lingine watanzania na hasa wenye uelewa ndio wanatuangusha wanapotuletea wawekezaji wababaishaji halafu wanaungana na wapinga maendeleo mf;kiongozi fulani anaposema bwawa la mwalimu nyerere halina faida kwa taifa na baadhi ya watanzania wanasapoti huu ujinga hatuwez fika kwa maono finyu hivi
 

Mdugu tumia mbinu hizo sasa unataka elimu gani tena zaidi ya hiyo
 

GDP ya kenya ni $91 bn ya Tanzania ni $68 bn sio mbali sana ila madeni yanatuangusha
 

Kenya nawakubali asee you tells facts kazi kwetu watanzania kurekebisha hizo mapungufu pia tunapeana tu kazi kwenye sehemu nyeti za kiuchumi bila kuangalia weledi wa mtu kuna watu positivity na negativity huwezi kumpatia mtu wizara ambaye mawazo yake ni kuifirisi badala ya kuiendeleza ukategemea kufanikiwa never
 

Wewe ndugu yangu nimekukubali watu wa nje ya tanzania wanaona fulsa za uchumi wetu kupaa like plane hivi ila walioko huku hawaoni najiuliza 5th prezident hivi vitu alitoawaga wapi;msemo wa one day tanzania could be a donner country like those which donates
 
Kasage chupa umeze na panado we mlalamikaji usiyekuwa na majawabu ya unachokilalamikia! IDIOT!
Huna hoja popoma wewe!!

Watanzania wa namna yako ndio ninao zungumzia..mijitu kama nyie mnachojua ni Uchawa na kusifia viongozi wenu wajinga na wapumbavu na kusherehekea maendeleo ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…