Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Kila kitu!! Don't confuseHata kwenye medical services wametuacha mbali sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu!! Don't confuseHata kwenye medical services wametuacha mbali sana.
Umaskini haulingani mkuu... Angalia ukubwa wa uchumi, makusanyo ya kodi etc, tumewazidi umaskini!Imetuacha vipi ndugu, nchi zote hizi ni maskani
subutu eti magufuli alikuwa ameshawapita aliwapita kwalipi labda kuminya democrasia unadhani kenya wao wamelala au wameridhika na hali yao lah sisi tumejenga bwawa la nyerere lenye 2100mgwatt wakati kenya wao wanaanda kinu cha kuzalisha umeme wa kutumia urenium itamalizika 2034 watazalisha mgwt 35,000sasa wewe utawapita wapi wanarusha chombo agani wana viuo vingi na sekondary nyingi kuliko sisi mtaala wao wa elimu uko juu wakulima na wafugaji wanafuga kisasa wanauza nyama nje na mazao mengi wana export shirika lao la kenya airways liko hai wanapokea watalii wengi kwakuwa na hotel zenye hadhi kenya wako juu ndugu hujatembea kenya vizuri gata mji wa turukana uko juu kuliko mji wa Tabora japo ni jangwaSGR na Nyerere Dam vikiisha Kenya watatafutana maana bandari ya Mombasa itakosa mizigo yote ya maziwa makuu!
Kenya elimu inafundishwa in English na kuiunga nchi na international transfer of capital , technology and international market maana Kenya wanauza nje bidhaa nyingi kuliko Tz sababu ya kuweza kuwasiliana in English
Kenya ni nchi masikini kuliko Tz ni suala la muda tu kuipita iwapo Rais atakomaa na miundombinu na kuzuia upigaji ambao tayari umeshamiri. Magufuli alishaipita Kenya katika ukuaji uchumi ila akafa kwasasa tumerudi nyuma!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
Hio inamaanisha elimu yetu ni chanzo mojawapo kinacho fanya watuzidiShida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
wakenya wanaotamani bongo ni wale wanaoona fursa nyingi huko kwakuwa wengi wamelala na duniani kote maskini wapo hata burney inayo masikini na matajiri tukubali kenya imetupita sana mkuu hujatembea bongo vijiji bora jehanamuMtoa mada nahisi uwenda huijui Kenya kwa marefu na mapana,sijajua labda unazungumzia kenya inatuzidi nini sisi Tanzania,nafikiri kama ungekuwa specific ingekuwa bora sana lakini ngoja nikutoe tongotongo mkuu…….
Mimi ni mjaluo au mluo,ninaenda sana kenya kuliko maelezo ata sasa nipo kenya kula x-mass..
Kenya ni nchi ya kibepari tena ule ulio kolea ukimkuta tajiri kenya jua ni tajiri kweli lakni pia ukimkuta maskini kenya jua ni maskini kweli,kiufupi Kenya wana maskini wengi sana kuliko Tanzania kwa kipato cha mmoja mmoja ata ukienda kwenye levels za matajiri,kenya hawana Billionaires kama wabongo TZ tuna billionaires wengi sana kuliko kenya (kama huamini nitakuelewesha kwa ushahidi)
Kwenye miundombinu wenzetu walianza kujenga flyovers,barabara ata njia za ndege toka kitambo sana tena nyingi vimefanywa na Wazungu sio wakenya ndio maana kuna barabara nyingi za kulipia lakini kitu ambacho huwez kukikuta TZ…Kiufupi Kenya uchumi unajengwa na wazungu na watu wa Asia sio wakenya,mfano mzuri ni Kenya airways juzi imefilisika na serikali ameuza hisa zake zote kwa mzungu
Kenya ni taifa linalo mtegemea sana mzungu kuliko chochote na wanakopa kweli kweli lakini wana ufisadi wa kutisha huku ata choo cha shule kinatafutiwa pesa za mkopo ili waweze kupga pesa
Ata hii GDP yao ya 100+B$ ni ya kutengenezwa kumbuka hii nchi ni kibaraka mkubwa wa mzungu(nikipata muda nitakuelezea vizuri kabisa)
Kiufupi,Kenya na Tanzania hakuna tofauti kubwa yoyote na bora Tanzania kuliko Kenya ndio maana ata wakenya wenyewe hawapendi nchi Yao wanaikubali Bongo kuliko maelezo na ndoto ya vijana wengi wa huku Nyanza na Mombasa wanapenda sana kuja bongo(kama ambavyo vijana wetu wanavyo penda kwenda SAUZI)
Kuna vingi nataman nikuweke sawa ila ngoja nikuachie hapa maana ninawahi Ibadani nikipata muda nitakuelezea Kinaga ubaga
Watu wenye kiwango chako cha akili ndio walioletewa yale mabehewa chakavu!!tatizo lenu wabogo hata ukilalia ngozi ukijisaidia vichakani mnajisifia acha wengine wakusifiye hayo ya magufuli ni siasa tu hakuna reality yoyote alikuwa anakopa anawadanganya tunajenga napesa zetu bwawa la nyerere alisema litamaliza tatizo na umeme juzi waziri kasema hata bwawa likiisha bado tutaendelea na mgawo tukubali tumepitwa siyo dhambi bali tupambane tutoke huku tulipo
Hapa umeconclude man, umeandika kitaalam zaidi nq ndio hali halisi ya Kenya kwa anaejuaMiji mikubwa minne ya Kenya Nairobi, Mombasa, Nakuru na Kisumu imeendelea sana tu kama miji ya Africa Kusini na hiyo ina beba kama robo ya kenya. Robo nyingine imeendelea kawaida tu kama kanda ya ziwa hivi au niseme kanda ya kaskakazini huku Tanzania ILA nusu ya Nchi ya kenya ni masikini wa kutupwa, hawana hakika na mlo, hakuna shule, Hospitali , hakuna usalama nk wanaishi maisha ya taabu na wanakufa kwa njaa kila mwaka
Nahisi utafiti wako umeangukia kwenye hiyo miji minne ambayo inabeba kama robo tu ya Kenya.
Kwenye hiyo miji kuna viwanda vikubwa vya wazungu ambavyo vinafanya pato la Nchi liwe kubwa.
Wako mbele kiuchumi ila kwa pato la mtu mmoja mmoja hali si shwari!
mimi na wewe na maguma kama siyo wewe unasifia ujamaa na viongozi wako wa ccm wanalogwa na kukimbiza mwenge nimeishi kenya vijijini na mijini nimeishi uganda vijijini na mjini nimeushi japan vijijini na mjini na tanzania nimeishi vijijini vingi vya shida sisi tukubali tumepitwa tunazo resimali lakini sifuri tunataka katiba mpya ndiyo tunaweza kuwakuta wakenya nduguWatu wenye kiwango chako cha akili ndio walioletewa yale mabehewa chakavu!!
Huwezi kutoboa kwa akili kama zako za kijamaa!
Kwasasa world economy is characterized by competition, lazima tuipite Kenya kiuchumi na sio mbali sana!! Soma data za WB nimeweka utaona foreign investors wanatua tz sio kenya tena!!
Wananchi wanalia njaa Kila siku, Kenya tajiri ni tajiri na maskini ni maskiniWakuu twende mbele turudi nyuma, nchi ya Kenya imeitupa Tanzania mbali sana kimaendeleo. Nakiri sijawahi kufika Kenya, lakini nimekuwa mfuatiliaji sana wa mafanikio ya wenzetu kupitia kupitia Luninga na hasahasa Google Earth ambayo inaweza kukupeleka popote pale na kukuonesha mandhari mbalimbali duniani.
Nchi ya Kenya eneo lake kubwa ni Jangwa kama ionekavyo hapo chini ukifananisha na Tanzania. Pia eneo lake ni dogo ukilinganisha na Tanzania.
Sijaainisha ni maendeleo gani wametupita ila karibu nyanja zote utakazozifikiria wewe wao wapo mbele yetu.
Sisi Tz tunakwama wapi?
~ Je, ni historia ndio iliyoturudisha nyuma?
~ Je, ni mfumo wa Elimu?
~ Je, ni wanasiasa?
Shida ni nini hasa? Au sisi ni wavivu kufanya kazi? Nchi yetu imebarikiwa kila rasli mali, mito mingi, maziwa yametuzunguka, bahari, mbuga za wanyama, mlima Kilimanjaro, madini mbalimbali... Tufanye nini kuisaidia nchi yetu kusonga mbele?
Nimewiwa tu kuandika hivi nikiamini wapo wajuvi humu ndani na tunaweza kujadili pamoja.
Mungu ibariki Tanzania.
View attachment 2456941
Hii ndio point ya msingi.Tz bado ina wajinga wengi sana na sera za kijinga na kipumbavu za Uchawa na kusifia ujinga wa viongozi wao.
Tanzania is doomed to remain poor!!!
'unazani'! Nyani haoni kundule!Shida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
Yes, you are very right...Wakenya ni wapambanaji wakubwa (Hustlers) wametapakaa kila pembe ya dunia kusaka fursa pia wanapeana sapoti wao kwa wao kwenda ughaibuni kusaka fursa na demokrasia yao ipo vizuri hasa sera ya kuruhusu Uraia pacha kwa raia wake.
Hii inawasaidia watu kwenda nje kutafuta ujuzi, Ajira na "in return" fedha wanazopata kama Diaspora zinachangia ukuaji wa uchumi
Pia Kenya wana mfumo mzuri wa Elimu na katiba yao pia ni nzuri.
Njoo bongo sasa Kupata pasipoti ya kusafiria tu hadi uzungushwe weeeehh!!! Utoe Rushwa weeeh! Uhojiwe maswali ya kijinga! Uambiwe mara leta barua ya uthibitisho uendako,mara barua ya Afisa mtendaji, Mara wakwambie majina yako kwenye vyeti hayafanani!!???? Process kibao!
Tz bado ina wajinga wengi sana na sera za kijinga na kipumbavu za Uchawa na kusifia ujinga wa viongozi wao.
Tanzania is doomed to remain poor!!!
Hapo kwenye kilimo mbona umetupiga mkuu,60% ya chakula kenya wanategemea Tanzania,kilimo gani walichotupita wakenya!?
Tofauti yetu ni Elimu/exposure kati ya Kenya na Tanzania kuanzia viongozi wa kisiasa hadi raia.
Hapo kwenye Elimu mwingine anaweza kuniuliza ina maana Tanzania hakuna wasomi?
Jibu ni kwamba Tanzania pia wasomi wapo ila wamekosa exposure hii inafanya kudumaza akili na kuishi kwa mazoea.
Mtu aliyeishia high school Kenya anaweza akawa mjanja sana wa kuona mambo na kuchungulia nje ya box kuliko mwenye Graduate Degree wa Tanzania kutokana na kukosa exposure.
Hapa sijui naeleweka
Huijui Kenya, na hata kusoma habari zake unazisoma lakini huzielewi.Wakuu twende mbele turudi nyuma, nchi ya Kenya imeitupa Tanzania mbali sana kimaendeleo. Nakiri sijawahi kufika Kenya, lakini nimekuwa mfuatiliaji sana wa mafanikio ya wenzetu kupitia kupitia Luninga na hasahasa Google Earth ambayo inaweza kukupeleka popote pale na kukuonesha mandhari mbalimbali duniani.
Nchi ya Kenya eneo lake kubwa ni Jangwa kama ionekavyo hapo chini ukifananisha na Tanzania. Pia eneo lake ni dogo ukilinganisha na Tanzania.
Sijaainisha ni maendeleo gani wametupita ila karibu nyanja zote utakazozifikiria wewe wao wapo mbele yetu.
Sisi Tz tunakwama wapi?
~ Je, ni historia ndio iliyoturudisha nyuma?
~ Je, ni mfumo wa Elimu?
~ Je, ni wanasiasa?
Shida ni nini hasa? Au sisi ni wavivu kufanya kazi? Nchi yetu imebarikiwa kila rasli mali, mito mingi, maziwa yametuzunguka, bahari, mbuga za wanyama, mlima Kilimanjaro, madini mbalimbali... Tufanye nini kuisaidia nchi yetu kusonga mbele?
Nimewiwa tu kuandika hivi nikiamini wapo wajuvi humu ndani na tunaweza kujadili pamoja.
Mungu ibariki Tanzania.
View attachment 2456941