antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Nakazia ✍️✍️✍️Tz siasa za hovyo Sana, chama kimoja mpaka sasa! Kenya wanabadilisha kila mara! Tz siasa za kishamba Sana!
Bila kupiga chini ccm hatutoboi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia ✍️✍️✍️Tz siasa za hovyo Sana, chama kimoja mpaka sasa! Kenya wanabadilisha kila mara! Tz siasa za kishamba Sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli ardhi yenu inapendeza lakini kumbuka pia si wakenya tu. Any foreign investor akija kuwekeza, land will be a basic requirement. Sasa akishamaliza kudeal na vikwazo vya work permit anakutana na vikwazo vya ardhi. Kwa nini mnaogopa ku-compete?
Hili jambo nimelifuatilia sana kutoka enzi za kikweete and I think Tanzania will never change on issues of immigration and land ownership so usijali no one will take your land
60% u have exaggerated labda kwa vitunguu tuHapo kwenye kilimo mbona umetupiga mkuu,60% ya chakula kenya wanategemea Tanzania,kilimo gani walichotupita wakenya!?
Shida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
Kwa hicho ndio kigezo ulichotumia?
Eleza kwa nini Tz tunawazidi kwenye Inclusive Economy hao Wakenya?
wewe utakuwa ni nyang'au wa kikuyuland ukisikia sgr ya tz inajengwa unaharisha kwa hofu! Sgr ya kenya haikuifika mwisho kwa ufisadi na deni liko pale pale!Umeandika pointless tupu,
Hujui sababu za wafanyabiashara kuikimbia bandari ya Dar es Salaam.
Hujui SGR ni mahususi kwa nini na itamalizika lini kufika hizo nchi zote za maziwa makuu.
Shida ni kubwa sana ! Ona hata wewe, " unazani" badala ya unadhani✓Shida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
Tofauti yetu ni Elimu/exposure kati ya Kenya na Tanzania kuanzia viongozi wa kisiasa hadi raia...tatizo la Watanzanio sio kutokufanya kazi kwa bidii.
..we work as hard as Kenyans, if not harder.
..tofauti kati yetu, na haswa nikiangazia kilimo na ufugaji, ni kutokutumia maarifa na utaalamu wa kisasi.
..ukitaka kulitambua hilo angalia jinsi Wakenya wanavyolima na kufuga ulinganishe na Watanzania.
..Majirani na ndugu zetu wa Kenya wanatumia mbegu bora iwe kwenye kilimo au ufugaji, na mbinu zao ni za kisasa.
Hata masikini wanapishana kwa umasikini wao.Imetuacha vipi ndugu, nchi zote hizi ni maskani
Nafikiri at that time Nyerere alifanya vizuri sana na huo mfumo wake. I wouldn't blame him.Ujamaa ndio the best way ya kufanya nchi iwe stable na kuunganisha jamii. Nyinyi hamna ukabila na makabila yanatumika tu for identity,si discrimination kama hapa Kenya. Kwa hivyo hongera hapo.Haya ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
Nafikiri at that time Nyerere alifanya vizuri sana na huo mfumo wake. I wouldn't blame him.Ujamaa ndio the best way ya kufanya nchi iwe stable na kuunganisha jamii. Nyinyi hamna ukabila na makabila yanatumika tu for identity,si discrimination kama hapa Kenya. Kwa hivyo hongera hapo.
Waliokuja baada ya Nyerere kama kina Kikwete should have led you to follow huu mfumo wa ubepari ,as the world was changing ,baada ya Nyerere kuwapa a good social foundation. They did not do that na hapo ndo ninawezakuwakosoa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU
na ASP na baadae CCM, imejengwa katika misingi ya ujamaa na kujitegemea
inayozingatia utu, usawa na haki. Misingi hii imeimarishwa na siasa safi na
uongozi bora wa CCM na imekuwa ndio nguzo ya kudumisha amani, umoja
na mshikamano wa kitaifa. CCM itaendelea kuzisimamia Serikali zake
kuhakikisha kuwa zinazingatia, kulinda na kudumisha misingi hii adhimu.
Tofauti yetu ni Elimu/exposure kati ya Kenya na Tanzania kuanzia viongozi wa kisiasa hadi raia.
Hapo kwenye Elimu mwingine anaweza kuniuliza ina maana Tanzania hakuna wasomi?
Jibu ni kwamba Tanzania pia wasomi wapo ila wamekosa exposure hii inafanya kudumaza akili na kuishi kwa mazoea.
Mtu aliyeishia high school Kenya anaweza akawa mjanja sana wa kuona mambo na kuchungulia nje ya box kuliko mwenye Graduate Degree wa Tanzania kutokana na kukosa exposure.
Hapa sijui naeleweka
Unazani ~unadhaniShida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?