Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Njoo uwe mwenzetu huku Kenya
Kama mtu wa kupiga soga kama hivi huwezi kuelewa Kenya walivyotuzidi.
Unaijua paypal? Kenya wanatuma na kupokea pesa kutoka paypal. Mtandaoni kuna fursa nyingi sana tunazikosa.
Kuna makampuni yanalipa kwa Paypal na Payoneer. Mfumo wa paypal ni rahisi unaingia kwenye simu moja kwa moja.
Wakati mwingine huwa natamani hata ningekuwa mkenya.